Shaka Hamdu Shaka: CCM haitavumilia wananchi kubambikwa kesi

Kaziiendelee Tanzania na Samia, Tuko vizuri
 
Kwenye hili naipongeza sana CCM
 
Kama ni kweli mwambieni Mwenyekiti wenu juu ya kesi ya mchongo inayo endelea mahakama ya division ya uhujumu uchumi na ugaidi
 
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 
Tena hili litazamwe upya Kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…