Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wakati wa kampeni walikuwa watu wema sahivi ni malaghai?Ngoja Chama kipate ripoti kwanza, Huenda ni malaghai tu
Shigongo nae kuna wakati alilalamika sana juu ya deni lake; hayumo kwenye hilo kundi?Ngoja Chama kipate ripoti kwanza, Huenda ni malaghai tu
sana. wadai wenyewe ni akina shigongo. hiyo yote ni kumchafua mwenda zake kwamba alitengeneza deniCCM ni waongo waongo, mtaletewa hadithi nyingine.
Duuuh,Wafu na wazike wafu wenzao
Wanahusakaje ?!
CHADOMO ukweli wao uko wapi?CCM ni waongo waongo, mtaletewa hadithi nyingine.
Chohoni ndio wapi huko??Mswalipe wakome mabwege hao wanachapisha vipeperushi vya kishenzi vinabandikwa mpaka chohoni.
EwaaaWakate deni kwenye kiinua mgongo cha shujaa...maendeleo hayana chama
Inawachukua miaka 2 kuhakiki madeni?Wakati wa kampeni walikuwa watu wema sahivi ni malaghai?
Huu wako ni Uchochezi, Bejamini NetanyahuWakati wa kampeni walikuwa watu wema sahivi ni malaghai?
Ndiyo zenu CCMHuu wako ni Uchochezi, Bejamini Netanyahu
Ndiyo gia zao kuhakiki madeniInawachukua miaka 2 kuhakiki madeni?