OffOnline
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 644
- 478
- Thread starter
- #41
No, dawa ya Deni ni kulipa,Nyie jilipeni hiyo hela tu...hayo madeni yalikuwa kipindi cha JK uchaguzi wa awamu ya kwanza ya JPM na baada ya JPM kuwa mwenyekiti aligoma kuyalipa baada ya kuchunguza na kugundua overpricing na wanaodai ni wanaccm chini ya kivuli cha watu binafsi...uchunguzi mpya wa nini mnataka kufilisi chama?
Sent using Jamii Forums mobile app