Shaka Hamdu Shaka: Tunahakiki deni la Bilioni 1 wanalodaiwa Uhuru Media kama lina ukweli wowote

No, dawa ya Deni ni kulipa,
 
Ni ngumu sana kampuni Saba kudai TZS 1Bl net,

Huu ni usanini wenye nia ya kukichafua chama chetu,

Mnahakiki deni la 1b zaidi ya mwaka mmoja? Chama la majizi ya kura linachafuka kwani ni safi?
 
Miaka 2 wanahakiki kitu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…