No, dawa ya Deni ni kulipa,Nyie jilipeni hiyo hela tu...hayo madeni yalikuwa kipindi cha JK uchaguzi wa awamu ya kwanza ya JPM na baada ya JPM kuwa mwenyekiti aligoma kuyalipa baada ya kuchunguza na kugundua overpricing na wanaodai ni wanaccm chini ya kivuli cha watu binafsi...uchunguzi mpya wa nini mnataka kufilisi chama?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima tuhakiki vizuri huu uhuni,
CCM hebu lipeni madeni acheni longo longo, mmezoea vya Bure sana
Ni ngumu sana kampuni Saba kudai TZS 1Bl net,
Huu ni usanini wenye nia ya kukichafua chama chetu,
Miaka 2 wanahakiki kitu gani?Nyie jilipeni hiyo hela tu...hayo madeni yalikuwa kipindi cha JK uchaguzi wa awamu ya kwanza ya JPM na baada ya JPM kuwa mwenyekiti aligoma kuyalipa baada ya kuchunguza na kugundua overpricing na wanaodai ni wanaccm chini ya kivuli cha watu binafsi...uchunguzi mpya wa nini mnataka kufilisi chama?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari snImesemekana ile kamba iliyokuwa imewafunga wale urefu wake IMEKATWA.sasa ni kula POPOTE
Wamekuwa CAG etiCCM ni waongo waongo, mtaletewa hadithi nyingine.
😁😁Nchi hii raha sana,Chohoni ndio wapi huko??
Yaani umepewa huduma za Watu kwa Mkopo Wakati wa kulipa unasema unataka kuhakiki? Wezi Wakubwa nyieBila Uhakiki? Ndivyo mnavyofanya CHADOMO?
Najivunia kuwa CCM na sihami ngo'ooo
CCM haijawahi kudhukumu haki ya yeyote, Kila mmoja atapata haki yake,
Huu upendo wako vipi?Hakika huyu kaka ni mtu na nusu,
Miaka 3 wanahakikiYaani umepewa huduma za Watu kwa Mkopo Wakati wa kulipa unasema unataka kuhakiki? Wezi Wakubwa nyie
Hata kama ni mitanoMiaka 3 wanahakiki