Shaka: Ikitokea kuna dalili za Uhuru wetu kutaka kuwekwa rehani na sisi tukakaa kimya tusishangae makaburi ya wasisi wetu yatakapotetemeka

Shaka: Ikitokea kuna dalili za Uhuru wetu kutaka kuwekwa rehani na sisi tukakaa kimya tusishangae makaburi ya wasisi wetu yatakapotetemeka

==
"Kazi ya kulinda tunu ya uhuru na Mapinduzi matukufu ya Zanzibar ni jukumu la kufa na kupona kwa kila mzalendo kwani fatiki ya kupigania uhuru imepoteza maisha na mali za watu, nguvu na jasho jingi" Shaka Mwenezi Taifa

"Urithi wa Uhuru unapaswa kuthaminiwa na watanzania wote ambao ni warithi halali bila kutazama rangi za watu wake, asili zao, makabila au imani za dini zao" Shaka Mwenezi Taifa

"Haikuwa kazi nyepesi na rahisi kwa viongozi walioasisi mapambano ya kupigania uhuru kinadharia na vitendo hivyo itakuwa kituko endapo matunda ya uhuru itashindikana kulindwa au kutetewa" Shaka Mwenezi Taifa

"Wakati Taifa likielekea kuadhimisha miaka 60 ya uhuru wa uliopatikana disemba 9 mwaka 1961 kwa iliokuwa tanganyika, kazi muhimu inayotakiwa kutekelezwa ni kuhakikisha uhuru huo unabaki kwa manufaa toka kizazi kimoja hadi kingine" Shaka Mwenezi Taifa

"Iwapo atatokea mtu yeyote atakayeridhia kuwa kibaraka toka miongoni au kuwapigia magoti maadui wa uhuru lazima asutwe na kumulikwa kwa macho yote mawili" Shaka Mwenezi Taifa

"Kutoweka kwa uhuru wetu ni kuhatarisha maisha na ustawi kwa kila mmoja wetu. Kupoteza uhuru ni kazi rahisi lakini ikumbukwe jukumu la kupigania uhuru limegharimu na kupoteza maisha ya babu na bibi zetu hadi kizazi hiki wakaikuta nchi ikijitawala" Shaka Mwenezi Taifa

"Uamuzi wa kuunda taifa jipya la Tanzania ambalo halikuachwa na wakoloni ieleweke haikuwa kwa njia ya mkato badala yake waasisi wa Muungano walipitisha maamuzi magumu kwa muktadha wa kupigania maslahi ya kizazi hiki na vijavyo" Shaka Mwenezi Taifa

"Ikitokea kuwa na dalili za uhuru wetu kutaka kuwekwa rehani na sisi tukikaa kimya tusishangae makaburi ya wasisi wetu yatakapotetemeka. Watanzania wasiwe tayari kuona uhuru wao ukiporwa" Shaka Mwenezi Taifa

"Kila mmoja wetu ajione ana kazi ya kulinda uhuru ili usinyakuliwe hivyo mnalo jukumu la kuhakikisha mnatunza na kueneza machapisho ya historia ya nchi yetu" Shaka Mwenezi Taifa

"Wapo watu hawafurahi na kupendezwa kutuona tukijiongoza kwa kufuata matakwa ya sera zetu. Watu hao hawataacha vituko badala yake wataendeleza maneno maneno hadi pale watakapotuona tukigawanyika na kupoteza nguvu ya mshikamano wetu" Shaka Mwenezi Taifa

Niwahakikishie wakati tukiadhimisha miaka 60 Serikali ya Rais Samia ataendelea, kuondosha vikwazo vyote ambavyo vinakwamisha utendaji wenu ikiwa ni utekelezaji wa ibara ya 80 (b)ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025" Shaka Mwenezi Taifa

HIZI NI NASAHA YAKINIFU ZA KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA ITIKADI NA UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA WAKATI AKIONGEA NA WAANDISHI NA WACHAPISHAJI VITABU LEO 01|12|2021

View attachment 2029646
 
==
"Kazi ya kulinda tunu ya uhuru na Mapinduzi matukufu ya Zanzibar ni jukumu la kufa na kupona kwa kila mzalendo kwani fatiki ya kupigania uhuru imepoteza maisha na mali za watu, nguvu na jasho jingi" Shaka Mwenezi Taifa

"Urithi wa Uhuru unapaswa kuthaminiwa na watanzania wote ambao ni warithi halali bila kutazama rangi za watu wake, asili zao, makabila au imani za dini zao" Shaka Mwenezi Taifa

"Haikuwa kazi nyepesi na rahisi kwa viongozi walioasisi mapambano ya kupigania uhuru kinadharia na vitendo hivyo itakuwa kituko endapo matunda ya uhuru itashindikana kulindwa au kutetewa" Shaka Mwenezi Taifa

"Wakati Taifa likielekea kuadhimisha miaka 60 ya uhuru wa uliopatikana disemba 9 mwaka 1961 kwa iliokuwa tanganyika, kazi muhimu inayotakiwa kutekelezwa ni kuhakikisha uhuru huo unabaki kwa manufaa toka kizazi kimoja hadi kingine" Shaka Mwenezi Taifa

"Iwapo atatokea mtu yeyote atakayeridhia kuwa kibaraka toka miongoni au kuwapigia magoti maadui wa uhuru lazima asutwe na kumulikwa kwa macho yote mawili" Shaka Mwenezi Taifa

"Kutoweka kwa uhuru wetu ni kuhatarisha maisha na ustawi kwa kila mmoja wetu. Kupoteza uhuru ni kazi rahisi lakini ikumbukwe jukumu la kupigania uhuru limegharimu na kupoteza maisha ya babu na bibi zetu hadi kizazi hiki wakaikuta nchi ikijitawala" Shaka Mwenezi Taifa

"Uamuzi wa kuunda taifa jipya la Tanzania ambalo halikuachwa na wakoloni ieleweke haikuwa kwa njia ya mkato badala yake waasisi wa Muungano walipitisha maamuzi magumu kwa muktadha wa kupigania maslahi ya kizazi hiki na vijavyo" Shaka Mwenezi Taifa

"Ikitokea kuwa na dalili za uhuru wetu kutaka kuwekwa rehani na sisi tukikaa kimya tusishangae makaburi ya wasisi wetu yatakapotetemeka. Watanzania wasiwe tayari kuona uhuru wao ukiporwa" Shaka Mwenezi Taifa

"Kila mmoja wetu ajione ana kazi ya kulinda uhuru ili usinyakuliwe hivyo mnalo jukumu la kuhakikisha mnatunza na kueneza machapisho ya historia ya nchi yetu" Shaka Mwenezi Taifa

"Wapo watu hawafurahi na kupendezwa kutuona tukijiongoza kwa kufuata matakwa ya sera zetu. Watu hao hawataacha vituko badala yake wataendeleza maneno maneno hadi pale watakapotuona tukigawanyika na kupoteza nguvu ya mshikamano wetu" Shaka Mwenezi Taifa

Niwahakikishie wakati tukiadhimisha miaka 60 Serikali ya Rais Samia ataendelea, kuondosha vikwazo vyote ambavyo vinakwamisha utendaji wenu ikiwa ni utekelezaji wa ibara ya 80 (b)ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025" Shaka Mwenezi Taifa

HIZI NI NASAHA YAKINIFU ZA KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA ITIKADI NA UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA WAKATI AKIONGEA NA WAANDISHI NA WACHAPISHAJI VITABU LEO 01|12|2021

View attachment 2029646
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 
expand...
#nakupenda Tanzania

Quote Reply
Report Edit Delete
==
"Kazi ya kulinda tunu ya uhuru na Mapinduzi matukufu ya Zanzibar ni jukumu la kufa na kupona kwa kila mzalendo kwani fatiki ya kupigania uhuru imepoteza maisha na mali za watu, nguvu na jasho jingi" Shaka Mwenezi Taifa

"Urithi wa Uhuru unapaswa kuthaminiwa na watanzania wote ambao ni warithi halali bila kutazama rangi za watu wake, asili zao, makabila au imani za dini zao" Shaka Mwenezi Taifa

"Haikuwa kazi nyepesi na rahisi kwa viongozi walioasisi mapambano ya kupigania uhuru kinadharia na vitendo hivyo itakuwa kituko endapo matunda ya uhuru itashindikana kulindwa au kutetewa" Shaka Mwenezi Taifa

"Wakati Taifa likielekea kuadhimisha miaka 60 ya uhuru wa uliopatikana disemba 9 mwaka 1961 kwa iliokuwa tanganyika, kazi muhimu inayotakiwa kutekelezwa ni kuhakikisha uhuru huo unabaki kwa manufaa toka kizazi kimoja hadi kingine" Shaka Mwenezi Taifa

"Iwapo atatokea mtu yeyote atakayeridhia kuwa kibaraka toka miongoni au kuwapigia magoti maadui wa uhuru lazima asutwe na kumulikwa kwa macho yote mawili" Shaka Mwenezi Taifa

"Kutoweka kwa uhuru wetu ni kuhatarisha maisha na ustawi kwa kila mmoja wetu. Kupoteza uhuru ni kazi rahisi lakini ikumbukwe jukumu la kupigania uhuru limegharimu na kupoteza maisha ya babu na bibi zetu hadi kizazi hiki wakaikuta nchi ikijitawala" Shaka Mwenezi Taifa

"Uamuzi wa kuunda taifa jipya la Tanzania ambalo halikuachwa na wakoloni ieleweke haikuwa kwa njia ya mkato badala yake waasisi wa Muungano walipitisha maamuzi magumu kwa muktadha wa kupigania maslahi ya kizazi hiki na vijavyo" Shaka Mwenezi Taifa

"Ikitokea kuwa na dalili za uhuru wetu kutaka kuwekwa rehani na sisi tukikaa kimya tusishangae makaburi ya wasisi wetu yatakapotetemeka. Watanzania wasiwe tayari kuona uhuru wao ukiporwa" Shaka Mwenezi Taifa

"Kila mmoja wetu ajione ana kazi ya kulinda uhuru ili usinyakuliwe hivyo mnalo jukumu la kuhakikisha mnatunza na kueneza machapisho ya historia ya nchi yetu" Shaka Mwenezi Taifa

"Wapo watu hawafurahi na kupendezwa kutuona tukijiongoza kwa kufuata matakwa ya sera zetu. Watu hao hawataacha vituko badala yake wataendeleza maneno maneno hadi pale watakapotuona tukigawanyika na kupoteza nguvu ya mshikamano wetu" Shaka Mwenezi Taifa

Niwahakikishie wakati tukiadhimisha miaka 60 Serikali ya Rais Samia ataendelea, kuondosha vikwazo vyote ambavyo vinakwamisha utendaji wenu ikiwa ni utekelezaji wa ibara ya 80 (b)ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025" Shaka Mwenezi Taifa

HIZI NI NASAHA YAKINIFU ZA KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA ITIKADI NA UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA WAKATI AKIONGEA NA WAANDISHI NA WACHAPISHAJI VITABU LEO 01|12|2021

View attachment 2029646
expand...
#nakupenda Tanzania

Quote Reply
Report Edit Delete
 
==
"Kazi ya kulinda tunu ya uhuru na Mapinduzi matukufu ya Zanzibar ni jukumu la kufa na kupona kwa kila mzalendo kwani fatiki ya kupigania uhuru imepoteza maisha na mali za watu, nguvu na jasho jingi" Shaka Mwenezi Taifa

"Urithi wa Uhuru unapaswa kuthaminiwa na watanzania wote ambao ni warithi halali bila kutazama rangi za watu wake, asili zao, makabila au imani za dini zao" Shaka Mwenezi Taifa

"Haikuwa kazi nyepesi na rahisi kwa viongozi walioasisi mapambano ya kupigania uhuru kinadharia na vitendo hivyo itakuwa kituko endapo matunda ya uhuru itashindikana kulindwa au kutetewa" Shaka Mwenezi Taifa

"Wakati Taifa likielekea kuadhimisha miaka 60 ya uhuru wa uliopatikana disemba 9 mwaka 1961 kwa iliokuwa tanganyika, kazi muhimu inayotakiwa kutekelezwa ni kuhakikisha uhuru huo unabaki kwa manufaa toka kizazi kimoja hadi kingine" Shaka Mwenezi Taifa

"Iwapo atatokea mtu yeyote atakayeridhia kuwa kibaraka toka miongoni au kuwapigia magoti maadui wa uhuru lazima asutwe na kumulikwa kwa macho yote mawili" Shaka Mwenezi Taifa

"Kutoweka kwa uhuru wetu ni kuhatarisha maisha na ustawi kwa kila mmoja wetu. Kupoteza uhuru ni kazi rahisi lakini ikumbukwe jukumu la kupigania uhuru limegharimu na kupoteza maisha ya babu na bibi zetu hadi kizazi hiki wakaikuta nchi ikijitawala" Shaka Mwenezi Taifa

"Uamuzi wa kuunda taifa jipya la Tanzania ambalo halikuachwa na wakoloni ieleweke haikuwa kwa njia ya mkato badala yake waasisi wa Muungano walipitisha maamuzi magumu kwa muktadha wa kupigania maslahi ya kizazi hiki na vijavyo" Shaka Mwenezi Taifa

"Ikitokea kuwa na dalili za uhuru wetu kutaka kuwekwa rehani na sisi tukikaa kimya tusishangae makaburi ya wasisi wetu yatakapotetemeka. Watanzania wasiwe tayari kuona uhuru wao ukiporwa" Shaka Mwenezi Taifa

"Kila mmoja wetu ajione ana kazi ya kulinda uhuru ili usinyakuliwe hivyo mnalo jukumu la kuhakikisha mnatunza na kueneza machapisho ya historia ya nchi yetu" Shaka Mwenezi Taifa

"Wapo watu hawafurahi na kupendezwa kutuona tukijiongoza kwa kufuata matakwa ya sera zetu. Watu hao hawataacha vituko badala yake wataendeleza maneno maneno hadi pale watakapotuona tukigawanyika na kupoteza nguvu ya mshikamano wetu" Shaka Mwenezi Taifa

Niwahakikishie wakati tukiadhimisha miaka 60 Serikali ya Rais Samia ataendelea, kuondosha vikwazo vyote ambavyo vinakwamisha utendaji wenu ikiwa ni utekelezaji wa ibara ya 80 (b)ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025" Shaka Mwenezi Taifa

HIZI NI NASAHA YAKINIFU ZA KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA ITIKADI NA UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA WAKATI AKIONGEA NA WAANDISHI NA WACHAPISHAJI VITABU LEO 01|12|2021

View attachment 2029646
Nawasalimu kwa jina la JMT,

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amefanya ziara ya kuhamasisha uhai wa Chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025, kupokea taarifa za mashina na kuhamasisha wananchi kushiriki zoezi la sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 katika Mkoa wa Mtwara.

Shaka ameonekana kutoridhishwa na kasi ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2020-2025,Pamoja na serikali kutoa 157.8BL kwaajili ya Ukarabati wa bandari ya Mtwara kwaajili ya kutoa ajira mpya kwa Watanzani mradi bado unasuasua hali iliyopelekea Shaka kutoa Kalipio kali kwa Uongozi wa Mkoa wa Mtwara.

Shaka amewaonya vikali watendaji wa Serikali wanaotaka kukwamisha maendeleo ya Watanzania na kwakufanya hivyo Wanamkwamisha Rais Samia Suluhu Hassan katika juhudi zake za kuharakisha na kurahisisha maendeleo ya Wanamtwara na Watanzania kwa ujumla wake.

View attachment 1943022
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania,

#Endeleeni kumsapoti Mama,
 
==
"Kazi ya kulinda tunu ya uhuru na Mapinduzi matukufu ya Zanzibar ni jukumu la kufa na kupona kwa kila mzalendo kwani fatiki ya kupigania uhuru imepoteza maisha na mali za watu, nguvu na jasho jingi" Shaka Mwenezi Taifa

"Urithi wa Uhuru unapaswa kuthaminiwa na watanzania wote ambao ni warithi halali bila kutazama rangi za watu wake, asili zao, makabila au imani za dini zao" Shaka Mwenezi Taifa

"Haikuwa kazi nyepesi na rahisi kwa viongozi walioasisi mapambano ya kupigania uhuru kinadharia na vitendo hivyo itakuwa kituko endapo matunda ya uhuru itashindikana kulindwa au kutetewa" Shaka Mwenezi Taifa

"Wakati Taifa likielekea kuadhimisha miaka 60 ya uhuru wa uliopatikana disemba 9 mwaka 1961 kwa iliokuwa tanganyika, kazi muhimu inayotakiwa kutekelezwa ni kuhakikisha uhuru huo unabaki kwa manufaa toka kizazi kimoja hadi kingine" Shaka Mwenezi Taifa

"Iwapo atatokea mtu yeyote atakayeridhia kuwa kibaraka toka miongoni au kuwapigia magoti maadui wa uhuru lazima asutwe na kumulikwa kwa macho yote mawili" Shaka Mwenezi Taifa

"Kutoweka kwa uhuru wetu ni kuhatarisha maisha na ustawi kwa kila mmoja wetu. Kupoteza uhuru ni kazi rahisi lakini ikumbukwe jukumu la kupigania uhuru limegharimu na kupoteza maisha ya babu na bibi zetu hadi kizazi hiki wakaikuta nchi ikijitawala" Shaka Mwenezi Taifa

"Uamuzi wa kuunda taifa jipya la Tanzania ambalo halikuachwa na wakoloni ieleweke haikuwa kwa njia ya mkato badala yake waasisi wa Muungano walipitisha maamuzi magumu kwa muktadha wa kupigania maslahi ya kizazi hiki na vijavyo" Shaka Mwenezi Taifa

"Ikitokea kuwa na dalili za uhuru wetu kutaka kuwekwa rehani na sisi tukikaa kimya tusishangae makaburi ya wasisi wetu yatakapotetemeka. Watanzania wasiwe tayari kuona uhuru wao ukiporwa" Shaka Mwenezi Taifa

"Kila mmoja wetu ajione ana kazi ya kulinda uhuru ili usinyakuliwe hivyo mnalo jukumu la kuhakikisha mnatunza na kueneza machapisho ya historia ya nchi yetu" Shaka Mwenezi Taifa

"Wapo watu hawafurahi na kupendezwa kutuona tukijiongoza kwa kufuata matakwa ya sera zetu. Watu hao hawataacha vituko badala yake wataendeleza maneno maneno hadi pale watakapotuona tukigawanyika na kupoteza nguvu ya mshikamano wetu" Shaka Mwenezi Taifa

Niwahakikishie wakati tukiadhimisha miaka 60 Serikali ya Rais Samia ataendelea, kuondosha vikwazo vyote ambavyo vinakwamisha utendaji wenu ikiwa ni utekelezaji wa ibara ya 80 (b)ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025" Shaka Mwenezi Taifa

HIZI NI NASAHA YAKINIFU ZA KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA ITIKADI NA UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA WAKATI AKIONGEA NA WAANDISHI NA WACHAPISHAJI VITABU LEO 01|12|2021

View attachment 2029646
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 
==
"Kazi ya kulinda tunu ya uhuru na Mapinduzi matukufu ya Zanzibar ni jukumu la kufa na kupona kwa kila mzalendo kwani fatiki ya kupigania uhuru imepoteza maisha na mali za watu, nguvu na jasho jingi" Shaka Mwenezi Taifa

"Urithi wa Uhuru unapaswa kuthaminiwa na watanzania wote ambao ni warithi halali bila kutazama rangi za watu wake, asili zao, makabila au imani za dini zao" Shaka Mwenezi Taifa

"Haikuwa kazi nyepesi na rahisi kwa viongozi walioasisi mapambano ya kupigania uhuru kinadharia na vitendo hivyo itakuwa kituko endapo matunda ya uhuru itashindikana kulindwa au kutetewa" Shaka Mwenezi Taifa

"Wakati Taifa likielekea kuadhimisha miaka 60 ya uhuru wa uliopatikana disemba 9 mwaka 1961 kwa iliokuwa tanganyika, kazi muhimu inayotakiwa kutekelezwa ni kuhakikisha uhuru huo unabaki kwa manufaa toka kizazi kimoja hadi kingine" Shaka Mwenezi Taifa

"Iwapo atatokea mtu yeyote atakayeridhia kuwa kibaraka toka miongoni au kuwapigia magoti maadui wa uhuru lazima asutwe na kumulikwa kwa macho yote mawili" Shaka Mwenezi Taifa

"Kutoweka kwa uhuru wetu ni kuhatarisha maisha na ustawi kwa kila mmoja wetu. Kupoteza uhuru ni kazi rahisi lakini ikumbukwe jukumu la kupigania uhuru limegharimu na kupoteza maisha ya babu na bibi zetu hadi kizazi hiki wakaikuta nchi ikijitawala" Shaka Mwenezi Taifa

"Uamuzi wa kuunda taifa jipya la Tanzania ambalo halikuachwa na wakoloni ieleweke haikuwa kwa njia ya mkato badala yake waasisi wa Muungano walipitisha maamuzi magumu kwa muktadha wa kupigania maslahi ya kizazi hiki na vijavyo" Shaka Mwenezi Taifa

"Ikitokea kuwa na dalili za uhuru wetu kutaka kuwekwa rehani na sisi tukikaa kimya tusishangae makaburi ya wasisi wetu yatakapotetemeka. Watanzania wasiwe tayari kuona uhuru wao ukiporwa" Shaka Mwenezi Taifa

"Kila mmoja wetu ajione ana kazi ya kulinda uhuru ili usinyakuliwe hivyo mnalo jukumu la kuhakikisha mnatunza na kueneza machapisho ya historia ya nchi yetu" Shaka Mwenezi Taifa

"Wapo watu hawafurahi na kupendezwa kutuona tukijiongoza kwa kufuata matakwa ya sera zetu. Watu hao hawataacha vituko badala yake wataendeleza maneno maneno hadi pale watakapotuona tukigawanyika na kupoteza nguvu ya mshikamano wetu" Shaka Mwenezi Taifa

Niwahakikishie wakati tukiadhimisha miaka 60 Serikali ya Rais Samia ataendelea, kuondosha vikwazo vyote ambavyo vinakwamisha utendaji wenu ikiwa ni utekelezaji wa ibara ya 80 (b)ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025" Shaka Mwenezi Taifa

HIZI NI NASAHA YAKINIFU ZA KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA ITIKADI NA UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA WAKATI AKIONGEA NA WAANDISHI NA WACHAPISHAJI VITABU LEO 01|12|2021

View attachment 2029646
#Tanzania kaziiendelee
 
==
"Kazi ya kulinda tunu ya uhuru na Mapinduzi matukufu ya Zanzibar ni jukumu la kufa na kupona kwa kila mzalendo kwani fatiki ya kupigania uhuru imepoteza maisha na mali za watu, nguvu na jasho jingi" Shaka Mwenezi Taifa

"Urithi wa Uhuru unapaswa kuthaminiwa na watanzania wote ambao ni warithi halali bila kutazama rangi za watu wake, asili zao, makabila au imani za dini zao" Shaka Mwenezi Taifa

"Haikuwa kazi nyepesi na rahisi kwa viongozi walioasisi mapambano ya kupigania uhuru kinadharia na vitendo hivyo itakuwa kituko endapo matunda ya uhuru itashindikana kulindwa au kutetewa" Shaka Mwenezi Taifa

"Wakati Taifa likielekea kuadhimisha miaka 60 ya uhuru wa uliopatikana disemba 9 mwaka 1961 kwa iliokuwa tanganyika, kazi muhimu inayotakiwa kutekelezwa ni kuhakikisha uhuru huo unabaki kwa manufaa toka kizazi kimoja hadi kingine" Shaka Mwenezi Taifa

"Iwapo atatokea mtu yeyote atakayeridhia kuwa kibaraka toka miongoni au kuwapigia magoti maadui wa uhuru lazima asutwe na kumulikwa kwa macho yote mawili" Shaka Mwenezi Taifa

"Kutoweka kwa uhuru wetu ni kuhatarisha maisha na ustawi kwa kila mmoja wetu. Kupoteza uhuru ni kazi rahisi lakini ikumbukwe jukumu la kupigania uhuru limegharimu na kupoteza maisha ya babu na bibi zetu hadi kizazi hiki wakaikuta nchi ikijitawala" Shaka Mwenezi Taifa

"Uamuzi wa kuunda taifa jipya la Tanzania ambalo halikuachwa na wakoloni ieleweke haikuwa kwa njia ya mkato badala yake waasisi wa Muungano walipitisha maamuzi magumu kwa muktadha wa kupigania maslahi ya kizazi hiki na vijavyo" Shaka Mwenezi Taifa

"Ikitokea kuwa na dalili za uhuru wetu kutaka kuwekwa rehani na sisi tukikaa kimya tusishangae makaburi ya wasisi wetu yatakapotetemeka. Watanzania wasiwe tayari kuona uhuru wao ukiporwa" Shaka Mwenezi Taifa

"Kila mmoja wetu ajione ana kazi ya kulinda uhuru ili usinyakuliwe hivyo mnalo jukumu la kuhakikisha mnatunza na kueneza machapisho ya historia ya nchi yetu" Shaka Mwenezi Taifa

"Wapo watu hawafurahi na kupendezwa kutuona tukijiongoza kwa kufuata matakwa ya sera zetu. Watu hao hawataacha vituko badala yake wataendeleza maneno maneno hadi pale watakapotuona tukigawanyika na kupoteza nguvu ya mshikamano wetu" Shaka Mwenezi Taifa

Niwahakikishie wakati tukiadhimisha miaka 60 Serikali ya Rais Samia ataendelea, kuondosha vikwazo vyote ambavyo vinakwamisha utendaji wenu ikiwa ni utekelezaji wa ibara ya 80 (b)ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025" Shaka Mwenezi Taifa

HIZI NI NASAHA YAKINIFU ZA KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA ITIKADI NA UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA WAKATI AKIONGEA NA WAANDISHI NA WACHAPISHAJI VITABU LEO 01|12|2021

View attachment 2029646
 
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
Kuna watu wanapandisha bei za bidhaa kiholela kumchafua Rais Samia,

Waziri Mkuu pambana na hawa watu nia yao si njema kabisa,
 
Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 
Happy Boxing Day kwa hisani ya Mhe Samia Suluhu Hassan
 
Happy Boxing Day kwa hisani ya Mhe Samia Suluhu Hassan
 
Back
Top Bottom