Shaka imezidi kuongezeka kuwa Israel haitoweza kuifuta Hamas

Shaka imezidi kuongezeka kuwa Israel haitoweza kuifuta Hamas

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Wachambuzi mbali mbali wa kivita akiwemo raisi wa Ufaransa wamesema lengo la Israel kuifuta Hamas ni miongoni mwa malengo dhaifu ya vita vinavyoendelea Gaza.
Raisi huyo baada ya kushuhudia hali ya vita inavyojikokota amesema wakati umefika kwa mamlaka ya Israel kutoa maelezo ya wazi kuhusu vita hivi.Kwani iwapo lengo ni kuifuta Hamas basi itachukua hata miaka 10
Naye mchambuzi wa kipalestina Tahani Moustafa amesema kufikiria kuifuta Hamas ni ndoto za mchana kwani Hamas imeingia kwenye fikra ya kila mmoja kuwa inapigania ardhi za wapalestina ambazo zinakaliwa na Israel.Fikra hiyo haiwezi kufutika kabisa kwa kuzingatia kile kinachoonekana.
Naye Michael Milshtein ambaye ni afisa usalama wa Israel wa zamani amesema dhana ya kuishinda Hamas ni dhana isiyoeleweka vyema hasa ukiangalia kuwa kila siku ndio tunashuhudia mapigano makali zaidi
Meja Generali mstaafu,Giora Eiland kwa upande wake amesema kuuliwa kwa makamanda wa Hamas hakukuanza leo na haijawahi kusababisha kudhoofika kwa kundi hilo.Wana uwezo wa kuingiza makamanda wengine kwa haraka na ambao wanakuwa wakali kuliko watangulizi wao.

Skepticism Grows Over Israel’s Ability to Dismantle Hamas

The Telegraph.
 
Wachambuzi mbali mbali wa kivita akiwemo raisi wa Ufaransa wamesema lengo la Israel kuifuta Hamas ni miongoni mwa malengo dhaifu ya vita vinavyoendelea Gaza.
Raisi huyo baada ya kushuhudia hali ya vita inavyojikokota amesema wakati umefika kwa mamlaka ya Israel kutoa maelezo ya wazi kuhusu vita hivi.Kwani iwapo lengo ni kuifuta Hamas basi itachukua hata miaka 10
Naye mchambuzi wa kipalestina Tahani Moustafa amesema kufikiria kuifuta Hamas ni ndoto za mchana kwani Hamas imeingia kwenye fikra ya kila mmoja kuwa inapigania ardhi za wapalestina ambazo zinakaliwa na Israel.Fikra hiyo haiwezi kufutika kabisa kwa kuzingatia kile kinachoonekana.
Naye Michael Milshtein ambaye ni afisa usalama wa Israel wa zamani amesema dhana ya kuishinda Hamas ni dhana isiyoeleweka vyema hasa ukiangalia kuwa kila siku ndio tunashuhudia mapigano makali zaidi
Meja Generali mstaafu,Giora Eiland kwa upande wake amesema kuuliwa kwa makamanda wa Hamas hakukuanza leo na haijawahi kusababisha kudhoofika kwa kundi hilo.Wana uwezo wa kuingiza makamanda wengine kwa haraka na ambao wanakuwa wakali kuliko watangulizi wao.

Skepticism Grows Over Israel’s Ability to Dismantle Hamas

The Telegraph.
Netanyau anajua kama vita itaisha leo, basi ndio utakuwa mwisho wake ktk siasa za Israel. Anatumia hii vita kama chaka la kutafuta upenyo wa kusavaivu
 
Netanyau anajua kama vita itaisha leo, basi ndio utakuwa mwisho wake ktk siasa za Israel. Anatumia hii vita kama chaka la kutafuta upenyo wa kusavaivu
Ndio akili za kifisadi zilivyo.
Kuna taarifa kuwa habari za matayarisho ya shambulia la Hamas zilimfikia lakini akadhani likitokea angepata sehemu ya kuonesha ubabe kubadili fikra za wapinzani wake,
Alichokuwa hakujua na hakutegemea na ukubwa wa shambulio lenyewe.
 
Wachambuzi mbali mbali wa kivita akiwemo raisi wa Ufaransa wamesema lengo la Israel kuifuta Hamas ni miongoni mwa malengo dhaifu ya vita vinavyoendelea Gaza.
Raisi huyo baada ya kushuhudia hali ya vita inavyojikokota amesema wakati umefika kwa mamlaka ya Israel kutoa maelezo ya wazi kuhusu vita hivi.Kwani iwapo lengo ni kuifuta Hamas basi itachukua hata miaka 10
Naye mchambuzi wa kipalestina Tahani Moustafa amesema kufikiria kuifuta Hamas ni ndoto za mchana kwani Hamas imeingia kwenye fikra ya kila mmoja kuwa inapigania ardhi za wapalestina ambazo zinakaliwa na Israel.Fikra hiyo haiwezi kufutika kabisa kwa kuzingatia kile kinachoonekana.
Naye Michael Milshtein ambaye ni afisa usalama wa Israel wa zamani amesema dhana ya kuishinda Hamas ni dhana isiyoeleweka vyema hasa ukiangalia kuwa kila siku ndio tunashuhudia mapigano makali zaidi
Meja Generali mstaafu,Giora Eiland kwa upande wake amesema kuuliwa kwa makamanda wa Hamas hakukuanza leo na haijawahi kusababisha kudhoofika kwa kundi hilo.Wana uwezo wa kuingiza makamanda wengine kwa haraka na ambao wanakuwa wakali kuliko watangulizi wao.

Skepticism Grows Over Israel’s Ability to Dismantle Hamas

The Telegraph.
Subiri utulize matako uone, unaruka ruka nini kama maharage yanayoiva jikoni muislam
 
Kuwaza kwamba israhell ataifuta hamas niujinga nanimatumizi mabaya ya akili
Sababu halitakaa litokee
 
Huwezi futa wazo, HAMAS ni wazo
As long as wapelistina wapo na wanahitaji nchi ya kwao, kutakua na HAMAS kwa majina mengine

Kuna idadi sawa ya wapelestina na wa Israel, so wapelestina bado watakuepo

Pia uhai wa project ya Israel unategemea ushawishi wa kimarekani kisiasa na kiuchumi

Ushawishi unaozjdi kupungua kila siku na haraka.
 
Wachambuzi mbali mbali wa kivita akiwemo raisi wa Ufaransa wamesema lengo la Israel kuifuta Hamas ni miongoni mwa malengo dhaifu ya vita vinavyoendelea Gaza.
Raisi huyo baada ya kushuhudia hali ya vita inavyojikokota amesema wakati umefika kwa mamlaka ya Israel kutoa maelezo ya wazi kuhusu vita hivi.Kwani iwapo lengo ni kuifuta Hamas basi itachukua hata miaka 10
Naye mchambuzi wa kipalestina Tahani Moustafa amesema kufikiria kuifuta Hamas ni ndoto za mchana kwani Hamas imeingia kwenye fikra ya kila mmoja kuwa inapigania ardhi za wapalestina ambazo zinakaliwa na Israel.Fikra hiyo haiwezi kufutika kabisa kwa kuzingatia kile kinachoonekana.
Naye Michael Milshtein ambaye ni afisa usalama wa Israel wa zamani amesema dhana ya kuishinda Hamas ni dhana isiyoeleweka vyema hasa ukiangalia kuwa kila siku ndio tunashuhudia mapigano makali zaidi
Meja Generali mstaafu,Giora Eiland kwa upande wake amesema kuuliwa kwa makamanda wa Hamas hakukuanza leo na haijawahi kusababisha kudhoofika kwa kundi hilo.Wana uwezo wa kuingiza makamanda wengine kwa haraka na ambao wanakuwa wakali kuliko watangulizi wao.

Skepticism Grows Over Israel’s Ability to Dismantle Hamas

The Telegraph.
Sasa si mkae kimya tuone kama Israel itashindwa kuwafuta Hamas nini mnaipigia ramli
 
Netanyau anajua kama vita itaisha leo, basi ndio utakuwa mwisho wake ktk siasa za Israel. Anatumia hii vita kama chaka la kutafuta upenyo wa kusavaivu
Wala sio kweli!! Yule ndiye mtu sahihi wa ku deal na Hamas, na ndio maana licha ya kashfa nyingi zinazomkumba lakini bado wanamuona ndio mtu sahihi.
 
Wala sio kweli!! Yule ndiye mtu sahihi wa ku deal na Hamas, na ndio maana licha ya kashfa nyingi zinazomkumba lakini bado wanamuona ndio mtu sahihi.
Wanaomuona hivyo ni wale wenzake wanaojulikana kwa siasa kali.Wananchi wa kawaida muda ukifika wala hawatasikiliza viongozi hao.Wataamua vita viiishe tu.
 
Na jina lako ni Alwaz, jina la kiarabu maana yake brightness or light
 
Wanaomuona hivyo ni wale wenzake wanaojulikana kwa siasa kali.Wananchi wa kawaida muda ukifika wala hawatasikiliza viongozi hao.Wataamua vita viiishe tu.
Hamas wameshinda vita , ila kilichotokea ni Gaza kuwa kifusi tu
 
Hamas wameshinda vita , ila kilichotokea ni Gaza kuwa kifusi tu
wanarudi kwenye majumba yao karibuni.Watazaliana na kufikia milioni 2.5 katika miaka 2 ijayo inshaAllah.
 
Back
Top Bottom