Shaka na porojo za maendeleo imara. Serikali haina kikosi wala vifaa vya uokozi katika majanga

Shaka na porojo za maendeleo imara. Serikali haina kikosi wala vifaa vya uokozi katika majanga

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Majuzi hapa tumemsikia katibu wa propaganda wa CCM akijimwambafy kuhusu uimarishwaji wa kila sekta nchini kupitia serikali ya CCM.
Ameenda mbali zaidi kutuita sisi wakosoaji kama.maadui wa mama na tunamtakia mabaya hivyo azibe masikio achape kazi aachane na sisi wanafiki.

Katika posti zangu nyingi nimekosoa kasumba ya wanasiasa na wahuni serikalini kuwa wanawahadaa wananchi kuwa pesa za maendeleo zinatolewa na Rais. Pesa ya umma inatolewa kwa utaratibu uliopitishwa na Bunge kupitia sheria ya fedha ya mwaka wa fedha. Lakini wanaendelea kujikaanga kwa kusema.uongo mtukuka mbele ya umma.

Tukio la ajali ya ndege pale Bukoba limeleta uwiano na picha halisi ya hali ya nchi kiuchumi, kisayansi na kijamii. Nchi ina ufinyu wa mikakati na mipango endapo kutatokea majanga na dharura.

  1. Tunaishi kwa kudra za Rais kwa sababu hajatoa hela za kununulia vifaa vya uokozi katika majanga mbalimbali.
  2. Rais hajatoa hela ya kuajiri wataalam wa kutosha kwenye uokozi na majanga ambayo.hatuna miadi nayo
  3. Rais hajatoa pesa ya kujenga uzio wa viwanja vya ndege
  4. Rais hajatoa fedha kuwezesha elimu kwa umma hasa katika sekta ya uokozi na dharura mbalimbali
  5. Rais hajatoa hela kwenye ununuzi wa boti za dharura kwenye viwanja vya ndege vilivyo jirani na ziwani aua baharini

Shaka, tumia nafasi yako kusimamia na kufuatilia utekelezwaji wa ilani na kisha pokea malalamiko ya wananchi na kuyawasilisha kwenye vikao vya chama ili kulenga upatikanaji wa suluhu za changamoto hizo.

Mezani kwako kuna taarifa lukuki za malalamiko ya wananchi lakini kutwa kuchwa upo bize na ziara za kuwapiga mikwara wakosoaji wa chama. Wananchi ndiyo wanaotumika (si tunaiba kura bana) kuiweka CCM madarakani. Nasema wanatumika kwa sababu tumeweka sheria kali hakuna kuhoji matokeo ya urais mahakamani... tume imeajiri wakurugenzi wa Halmashauri kama wasimamizi wakuu wa chaguzi katika wilaya zao....

Nilisema, na nitaendelea kusema kuwa kila uongo ambao CCM inawahada wananchi umefikia kikomo. Mtatuua lakini ukweli utabakia kwamba CCM soon itawekwa pembeni ili ijifunze namna ya kuishi kwenye imani ilizojiwekea yenyewe (kumbuka imani za Mwana TANU)

Aibu yetu
IMG-20221106-WA0011.jpg
 
Nimeumia sana hao 19 kufariki kwa uzembe wa viongizi wetu kutokuwekeza kwenye mambo ya msingi.Afadhali wangekuwa viongozi kwenye hiyo ndege kuliko kuliko kupoteza watanzania wema
 
Tukio la ajali ya ndege pale Bukoba limeleta uwiano na picha halisi ya hali ya nchi kiuchumi, kisayansi na kijamii. Nchi ina ufinyu wa mikakati na mipango endapo kutatokea majanga na dharura.


1. Kiuchumi -
Uwiano umeonekana dhahir shahir Tunapigwa majukwaani ni story tu za Shaka hamna kitu

2. Kisayansi -
Uwiano umeonekana tumefeli vibaya sana ndege inavutwa kwa kamba ya mkono sasa V8 zina haja gani

3. Kijamii -
Angalau bado kuna umoja kwa mbaaali japo tumeparaganyishwa baada ya marehem kutuvuruga angalau kwa kaumoja hako watu walishiri kuvuta kamba

CCM hebu achieni nchi jamani msaidiwe mmesha shindwa jamani inatosha mmeisha iba sana.


[emoji20][emoji20][emoji20][emoji20][emoji20][emoji20]
 
Majuzi hapa tumemsikia katibu wa propaganda wa CCM akijimwambafy kuhusu uimarishwaji wa kila sekta nchini kupitia serikali ya CCM.
Ameenda mbali zaidi kutuita sisi wakosoaji kama.maadui wa mama na tunamtakia mabaya hivyo azibe masikio achape kazi aachane na sisi wanafiki.

Katika posti zangu nyingi nimekosoa kasumba ya wanasiasa na wahuni serikalini kuwa wanawahadaa wananchi kuwa pesa za maendeleo zinatolewa na Rais. Pesa ya umma inatolewa kwa utaratibu uliopitishwa na Bunge kupitia sheria ya fedha ya mwaka wa fedha. Lakini wanaendelea kujikaanga kwa kusema.uongo mtukuka mbele ya umma.

Tukio la ajali ya ndege pale Bukoba limeleta uwiano na picha halisi ya hali ya nchi kiuchumi, kisayansi na kijamii. Nchi ina ufinyu wa mikakati na mipango endapo kutatokea majanga na dharura.

  1. Tunaishi kwa kudra za Rais kwa sababu hajatoa hela za kununulia vifaa vya uokozi katika majanga mbalimbali.
  2. Rais hajatoa hela ya kuajiri wataalam wa kutosha kwenye uokozi na majanga ambayo.hatuna miadi nayo
  3. Rais hajatoa pesa ya kujenga uzio wa viwanja vya ndege
  4. Rais hajatoa fedha kuwezesha elimu kwa umma hasa katika sekta ya uokozi na dharura mbalimbali
  5. Rais hajatoa hela kwenye ununuzi wa boti za dharura kwenye viwanja vya ndege vilivyo jirani na ziwani aua baharini

Shaka, tumia nafasi yako kusimamia na kufuatilia utekelezwaji wa ilani na kisha pokea malalamiko ya wananchi na kuyawasilisha kwenye vikao vya chama ili kulenga upatikanaji wa suluhu za changamoto hizo.

Mezani kwako kuna taarifa lukuki za malalamiko ya wananchi lakini kutwa kuchwa upo bize na ziara za kuwapiga mikwara wakosoaji wa chama. Wananchi ndiyo wanaotumika (si tunaiba kura bana) kuiweka CCM madarakani. Nasema wanatumika kwa sababu tumeweka sheria kali hakuna kuhoji matokeo ya urais mahakamani... tume imeajiri wakurugenzi wa Halmashauri kama wasimamizi wakuu wa chaguzi katika wilaya zao....

Nilisema, na nitaendelea kusema kuwa kila uongo ambao CCM inawahada wananchi umefikia kikomo. Mtatuua lakini ukweli utabakia kwamba CCM soon itawekwa pembeni ili ijifunze namna ya kuishi kwenye imani ilizojiwekea yenyewe (kumbuka imani za Mwana TANU)

Aibu yetuView attachment 2408928
Wako
Nimeumia sana hao 19 kufariki kwa uzembe wa viongizi wetu kutokuwekeza kwenye mambo ya msingi.Afadhali wangekuwa viongozi kwenye hiyo ndege kuliko kuliko kupoteza watanzania wema
WAKO busy kujianda na wizi wa kula uchaguzi ujao tuombe sana Mungu janga hili (CCM) lituepuke
 
1. Kiuchumi -
Uwiano umeonekana dhahir shahir Tunapigwa majukwaani ni story tu za Shaka hamna kitu

2. Kisayansi -
Uwiano umeonekana tumefeli vibaya sana ndege inavutwa kwa kamba ya mkono sasa V8 zina haja gani

3. Kijamii -
Angalau bado kuna umoja kwa mbaaali japo tumeparaganyishwa baada ya marehem kutuvuruga angalau kwa kaumoja hako watu walishiri kuvuta kamba

CCM hebu achieni nchi jamani msaidiwe mmesha shindwa jamani inatosha mmeisha iba sana.


[emoji20][emoji20][emoji20][emoji20][emoji20][emoji20]
Kuna baadhi ya mambo CCM inalazimisha kuendelea kuwepo madarakani.

Wanaogopa kuhojiwa dhidi ya mafindofindo mengi waliyoyafanya.

Mwaka 2025 wananchi tujitokeze kupiga kura dhidi ya CCM

Tusihadaike
 
Majuzi hapa tumemsikia katibu wa propaganda wa CCM akijimwambafy kuhusu uimarishwaji wa kila sekta nchini kupitia serikali ya CCM.
Ameenda mbali zaidi kutuita sisi wakosoaji kama.maadui wa mama na tunamtakia mabaya hivyo azibe masikio achape kazi aachane na sisi wanafiki.

Katika posti zangu nyingi nimekosoa kasumba ya wanasiasa na wahuni serikalini kuwa wanawahadaa wananchi kuwa pesa za maendeleo zinatolewa na Rais. Pesa ya umma inatolewa kwa utaratibu uliopitishwa na Bunge kupitia sheria ya fedha ya mwaka wa fedha. Lakini wanaendelea kujikaanga kwa kusema.uongo mtukuka mbele ya umma.

Tukio la ajali ya ndege pale Bukoba limeleta uwiano na picha halisi ya hali ya nchi kiuchumi, kisayansi na kijamii. Nchi ina ufinyu wa mikakati na mipango endapo kutatokea majanga na dharura.

  1. Tunaishi kwa kudra za Rais kwa sababu hajatoa hela za kununulia vifaa vya uokozi katika majanga mbalimbali.
  2. Rais hajatoa hela ya kuajiri wataalam wa kutosha kwenye uokozi na majanga ambayo.hatuna miadi nayo
  3. Rais hajatoa pesa ya kujenga uzio wa viwanja vya ndege
  4. Rais hajatoa fedha kuwezesha elimu kwa umma hasa katika sekta ya uokozi na dharura mbalimbali
  5. Rais hajatoa hela kwenye ununuzi wa boti za dharura kwenye viwanja vya ndege vilivyo jirani na ziwani aua baharini

Shaka, tumia nafasi yako kusimamia na kufuatilia utekelezwaji wa ilani na kisha pokea malalamiko ya wananchi na kuyawasilisha kwenye vikao vya chama ili kulenga upatikanaji wa suluhu za changamoto hizo.

Mezani kwako kuna taarifa lukuki za malalamiko ya wananchi lakini kutwa kuchwa upo bize na ziara za kuwapiga mikwara wakosoaji wa chama. Wananchi ndiyo wanaotumika (si tunaiba kura bana) kuiweka CCM madarakani. Nasema wanatumika kwa sababu tumeweka sheria kali hakuna kuhoji matokeo ya urais mahakamani... tume imeajiri wakurugenzi wa Halmashauri kama wasimamizi wakuu wa chaguzi katika wilaya zao....

Nilisema, na nitaendelea kusema kuwa kila uongo ambao CCM inawahada wananchi umefikia kikomo. Mtatuua lakini ukweli utabakia kwamba CCM soon itawekwa pembeni ili ijifunze namna ya kuishi kwenye imani ilizojiwekea yenyewe (kumbuka imani za Mwana TANU)

Aibu yetuView attachment 2408928
Hii picha hii[emoji2827]
20221107_053032.jpg
 
1. Kiuchumi -
Uwiano umeonekana dhahir shahir Tunapigwa majukwaani ni story tu za Shaka hamna kitu

2. Kisayansi -
Uwiano umeonekana tumefeli vibaya sana ndege inavutwa kwa kamba ya mkono sasa V8 zina haja gani

3. Kijamii -
Angalau bado kuna umoja kwa mbaaali japo tumeparaganyishwa baada ya marehem kutuvuruga angalau kwa kaumoja hako watu walishiri kuvuta kamba

CCM hebu achieni nchi jamani msaidiwe mmesha shindwa jamani inatosha mmeisha iba sana.


[emoji20][emoji20][emoji20][emoji20][emoji20][emoji20]
Hiyo ya 3 mliofarakanishwa ni nyie wapiga dili na ukwasi wa nchi. Kwa sasa mama amewarejeshea.

Ila watu tulioishi kwa pesa halali na maisha halisi hatukuwahi kutenganishwa na chochote. Maana vifaa vya ujenzi vilinunulika, vyakula vilinunulika, umeme tuliweka kwa bei chee na wa uhakika, mabomba ya maji tuliletewa hadi uswahilini, ukienda hospital unahudumiwa chap maana wanadhani ni afisa wa serikali umekuja kuwasoma.

Ila kwa sasa tumetenganishwa na maisha maana kila kitu bei juu. Hata maharage mboga ya wanyonge kwa sasa hayashikiki.
 
Back
Top Bottom