Shaka : Rais Samia ni kama Nyerere kwa mwaka mmoja huu ametumia TZS 79bl kujenga vyuo vya VETA kwenye halmashauri 29 na mikoa 4

Shaka : Rais Samia ni kama Nyerere kwa mwaka mmoja huu ametumia TZS 79bl kujenga vyuo vya VETA kwenye halmashauri 29 na mikoa 4

Mkuu ugonjwa/tatizo tulionalo waTz na hasa hawa viongozi ni ubinafsi, kujipendekeza ili mradi tu mkono wake upeleke kitu mdomoni. Hili suala la kulinganisha performance za Marais nalaiona halina afya yeyote na hasa ukizingatia matokeo ya research yao ni ILE ILE Rais aliye Madarakani kwa wakati huo na kwa kuwa yeye ameteuliwa/chaguliwa nae basi huyo ndiye aliyefanyakazi kupita Marais wote walio tangulia. Kila Rais anatoka Chama cha MAPINDUZI ambacho ndicho kinatoa Sera na kuipelekea Serikali kwa UTEKELEZAJI baada Bunge kuidhinisha Matumizi ya BAJETI YA NCHI kulingana haWakuu hili jambo sio zuri kwa AFYA ya UMOJA wetu, UZALENDO wetu na MAENDELEO yetu.
 
Mkuu ugonjwa/tatizo tulionalo waTz na hasa hawa viongozi ni ubinafsi, kujipendekeza ili mradi tu mkono wake upeleke kitu mdomoni. Hili suala la kulinganisha performance za Marais nalaiona halina afya yeyote na hasa ukizingatia matokeo ya research yao ni ILE ILE Rais aliye Madarakani kwa wakati huo na kwa kuwa yeye ameteuliwa/chaguliwa nae basi huyo ndiye aliyefanyakazi kupita Marais wote walio tangulia. Kila Rais anatoka Chama cha MAPINDUZI ambacho ndicho kinatoa Sera na kuipelekea Serikali kwa UTEKELEZAJI baada Bunge kuidhinisha Matumizi ya BAJETI YA NCHI kulingana haWakuu hili jambo sio zuri kwa AFYA ya UMOJA wetu, UZALENDO wetu na MAENDELEO yetu.
Mkuu nadhani unapashwa Kuwa na Uzalendo Walau kidogo tu,
 
Namuunga mkono mama Samia, lakini ni ufinyu wa aikili kumlinganisha Mama Samia na Mwalimu Nyerere.
Hapo Shaka anaonyesha ufinyu wa upeo wa uelewa wa kisiasa.

Rais Mwinyi mwenyewe aliwahi kusema yeye ni kichuguu akijilinganisha na Mwalimu.

Bingwa wa kubwabwaja huyo
 
Shaka

Unaharibu taasisi ya urais

Sifa Zina haribu Sana marais waliopita na waliopo!!

Tujifunze kuwakosoa viongozi sio kuwaharibu kwa sifa!!
 
Mtu kama anafanya vizuri Kwanini asisifiwe?
Sijakataa sifa lakini sifa zikizidi ni upofu!

Kazi ya chama ni kuisimamia SERIKALI na ikishasimamia serikali sifa ziende KWA chama sio Rais!

Mnaposifia Rais mnaharibu uimara wa chama mnakidogosha chama na kukweza Rais!matokeo yake ni kufifisha taasisi!!

Mkapa aliwahi mwambia jpm Kwamba tunataka kusikia Serikali ya CCM imefanya HIVI na vile sio mtu kafanya HIVI na vile aligundua WATU wanakuza majina yao kupitia ilani na Kodi za wananchi! HIYO sio sawa!!
 
Back
Top Bottom