Shaka : Simba ni Simba tu, Simba kamwe hachezewi sharubu lake

Shaka : Simba ni Simba tu, Simba kamwe hachezewi sharubu lake

Anapigia mbuzi gitaaaa, tangu meanza sikia ufisadi/mafisadi na mahakama ya mafisadi sidhani ka anachoongea anamaanisha
 
Huyu Shaka Namuona mbali Sana kiuongozi, Anapaswa kupanda na kupandishwa juu zaidi ya hapo Alipo, Anapaswa kuaminiwa katika nafasi za juu zaidi kiuongozi zitakazo mpa mamlaka ya kuwawajibisha watu, Anapaswa kuongezewa nguvu za kimamlaka kwa kuwa Ni kijana aliyeonyesha kuwa na uchungu na Rasilimali za nchi hii, Ni kiongozi aliyeonyesha kuumizwa na matatizo ya watanzania.

Ni kiongozi mwenye kiu ya kuona watanzania wanapata Milo mitatu kila Siku, Ni kiongozi mwenye uchu wa maendeleo, Ni kiongozi mwenye utulivu,busara, upendo, unyenyekevu, uvumilivu hekima na huruma kwa watu, Ni kiongozi anayetambua kuwa cheo Ni dhamana,Ni kiongozi asiye na majivuno ya kiuongozi, Nikiongozi asiye na ulevi wa kimadaraka,

Kwake Shaka uongozi Ni utumishi kwa watu na siyo kutumikiwa na kuumiza watu, kwake Shaka uongozi Ni kusaidia watu na siyo kuwa didimiza na kuwaonea,Shaka ana uchungu mkubwa na uzalendo mkubwa na nchi hii,

Nampongeza Sana mama Samia suluhu Hassani Mwenyekiti wetu Taifa kutuletea kiongozi huyu mwenye Maono na uzalendo mkubwa kwa Taifa letu, Hakika Timu ya uongozi ya CCM Taifa Ni timu iliyosheheni wazalendo watupu ambao wamekuwa mfano wa kuigwa kwetu wanachama wa kawaida

Kazi iendeleee
 
Huyu Shaka Namuona mbali Sana kiuongozi, Anapaswa kupanda na kupandishwa juu zaidi ya hapo Alipo, Anapaswa kuaminiwa katika nafasi za juu zaidi kiuongozi zitakazo mpa mamlaka ya kuwawajibisha watu, Anapaswa kuongezewa nguvu za kimamlaka kwa kuwa Ni kijana aliyeonyesha kuwa na uchungu na Rasilimali za nchi hii, Ni kiongozi aliyeonyesha kuumizwa na matatizo ya watanzania, Ni kiongozi mwenye kiu ya kuona watanzania wanapata Milo mitatu kila Siku, Ni kiongozi mwenye uchu wa maendeleo, Ni kiongozi mwenye utulivu,busara, upendo, unyenyekevu, uvumilivu hekima na huruma kwa watu, Ni kiongozi anayetambua kuwa cheo Ni dhamana,Ni kiongozi asiye na majivuno ya kiuongozi, Nikiongozi asiye na ulevi wa kimadaraka,

Kwake Shaka uongozi Ni utumishi kwa watu na siyo kutumikiwa na kuumiza watu, kwake Shaka uongozi Ni kusaidia watu na siyo kuwa didimiza na kuwaonea,Shaka ana uchungu mkubwa na uzalendo mkubwa na nchi hii,

Nampongeza Sana mama Samia suluhu Hassani Mwenyekiti wetu Taifa kutuletea kiongozi huyu mwenye Maono na uzalendo mkubwa kwa Taifa letu, Hakika Timu ya uongozi ya CCM Taifa Ni timu iliyosheheni wazalendo watupu ambao wamekuwa mfano wa kuigwa kwetu wanachama wa kawaida

Kazi iendeleee
Umeongea kwa hisia Sana, Jamaa anathubutu kusema na kutenda
 
Yule bibi si alisema awamu iliyopita palikua na simba wa yuda ukichezea mali za umma anakurarua akasema yeye hataki nidhamu hiyo ya uoga yeye anataka afoke kwa kalamu? Kiko wapi? Leo huyu mpemba anayejichubua anamuita na yeye simba wa yuda tena? Si alimponda simba wa yuda aliyelala chato? Nauliza kiko wapi?
 
Yule bibi si alisema awamu iliyopita palikua na simba wa yuda ukichezea mali za umma anakurarua akasema yeye hataki nidhamu hiyo ya uoga yeye anataka afoke kwa kalamu? Kiko wapi? Leo huyu mpemba anayejichubua anamuita na yeye simba wa yuda tena? Si alimponda simba wa yuda aliyelala chato? Nauliza kiko wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23]Muda ni mwalimu mzuri sana mkuu
 
Huyu Shaka Namuona mbali Sana kiuongozi, Anapaswa kupanda na kupandishwa juu zaidi ya hapo Alipo, Anapaswa kuaminiwa katika nafasi za juu zaidi kiuongozi zitakazo mpa mamlaka ya kuwawajibisha watu, Anapaswa kuongezewa nguvu za kimamlaka kwa kuwa Ni kijana aliyeonyesha kuwa na uchungu na Rasilimali za nchi hii, Ni kiongozi aliyeonyesha kuumizwa na matatizo ya watanzania.

Ni kiongozi mwenye kiu ya kuona watanzania wanapata Milo mitatu kila Siku, Ni kiongozi mwenye uchu wa maendeleo, Ni kiongozi mwenye utulivu,busara, upendo, unyenyekevu, uvumilivu hekima na huruma kwa watu, Ni kiongozi anayetambua kuwa cheo Ni dhamana,Ni kiongozi asiye na majivuno ya kiuongozi, Nikiongozi asiye na ulevi wa kimadaraka,

Kwake Shaka uongozi Ni utumishi kwa watu na siyo kutumikiwa na kuumiza watu, kwake Shaka uongozi Ni kusaidia watu na siyo kuwa didimiza na kuwaonea,Shaka ana uchungu mkubwa na uzalendo mkubwa na nchi hii,

Nampongeza Sana mama Samia suluhu Hassani Mwenyekiti wetu Taifa kutuletea kiongozi huyu mwenye Maono na uzalendo mkubwa kwa Taifa letu, Hakika Timu ya uongozi ya CCM Taifa Ni timu iliyosheheni wazalendo watupu ambao wamekuwa mfano wa kuigwa kwetu wanachama wa kawaida

Kazi iendeleee
Shaka aliyekula rushwa ya watia Nia mkoa wa Morogoro, au kuna Shaka mwingine?
 
Back
Top Bottom