Shaka : Simba ni Simba tu, Simba kamwe hachezewi sharubu lake

Uko vizuri sana
 
Hakuna kitu kama hicho, upigaji upo pale pale...
 
Shaka aliyekula rushwa ya watia Nia mkoa wa Morogoro, au kuna Shaka mwingine?
Acha upotoshaji,Leta ushahidi wako hapa ,acha kumchafua kiongozi wetu,hata hivyo maneno yako hayawezi kumkatisha Tamaa maana Shaka Ni kiongozi shupavu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…