Shakira alianza kushtuka Pique alikuwa anamcheat sababu ya Jam kwenye fridge

Aloooo.....mbweni hii nayoijua Mimi na kibada!!!![emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Strawberry chanzo cha mafarakano duuu kwakweli tuna safari ndefu
Mtego

Kama namwona Gerard pique anavojitetea Kwa Shakira

Shakira ,mkewangu sikia ukiwa haupo sikweli niliingiza MwAnaMkE hapa ndani Wala mgeni ila ,kilichotokea nilikumisi Sana nikatamani uwepo wako ,akili ikanijia nifungue friji Ili Nile kitu unachokipendaga wewe kikuwakilishe uwepo wako NAMI nilale vizuri ,Shakira wangu ...
 
Kosa ni la Pique. Mchepuko ukija kulala kwako haitakiwi aache vitu vyake. Aondoke na vitu vyake alivyokuja navyo. Huyo mpuuzi kuacha strawberry ilikua kosa kubwa sana.
 
😅😅😅umejitahidi sanaa mkuu kutunga sentensi ya kujitetea
 
Mtenda hutendwa, alimuacha ex wake Kwa mbwembwe akakimbilia kwa huyo Pique. Jamaa alilalamika kaibiwa demu wake Shakira haambiliki. Nadhani amekipata
 
Pique kidume Shakira kamwimba, mwamba kakaa kimya,hajajibu wala kufanya intvw yoyote. Japo ukimya wa mwanaume huwaga unaonyesha yy anamakosa,ila hatuwezi fahamu yaliyo kifuani mwa Pique,wanawake wanapenda sana kuonewa huruma,mbele za watu.

Hakuna kitu kinawaumiza sana wanawake kama amepanga akuumize nawe ukawa kimya tu na wala kujali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…