Shakira alianza kushtuka Pique alikuwa anamcheat sababu ya Jam kwenye fridge

Oyaaa [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Oya Kibada ile ya Kigamboni?? πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚ mkuu unataka tujue mpenzi wako wa kike ana gari...

Do not panic..

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Mimi alikuta vipande vya nywele za wigi kwenye dust bin kesi ika anzia hapo
 
Shakira bado anampenda jamaa ila ndio hivyo, kilichonisikitisha ni hilo la Pique kutotaka kuwaona watoto wake, inahitaji roho ya kikatili sana kufanya hivi, kama una mtoto mtoto/ watoto utanielewa.
Husi finalize brother unaweza ukakuta Pique ana mengi kifuani na unaweza ukakuta hata nafasi ya kuwasiliana na watoto hawapewi, husiamini sana machozi ya wanawake mbele public,siku zote wanapenda kuonewa huruma.

Kuna nyimbo aliitoa miezi michache iliyopita ya kumponda Pique, ila Pique hakujibu na sometimes namuona jamas ni smart sana kukaa kimya, siku akisimulia unaweza ukasema alivumilia vp kuishi na Shakira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…