Oyaaa [emoji3][emoji3][emoji3]Wanawake ni wapelelezi sana na kila jambo ulifanya kwa hisia, nilipigiwa simu mara 4 usiku sikupokea mtoto wa watu kawasha gari yake saa 11 kasoro alfajiri toka Mbweni mpaka Kibada kapaki gari nje ili aje kufumania tu ile nafungua geti naona mtu kanuna ananiangalia usoni wa macho makali. mapenzi haya!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si bora hata shakira ana hela, sisi sasa....[emoji16]
Ooh baba sema na sisi
Siamini kama Shakira ana hela [emoji1787]Si bora hata shakira ana hela, sisi sasa....[emoji16]
Ooh baba sema na sisi
Oya Kibada ile ya Kigamboni?? ππWanawake ni wapelelezi sana na kila jambo ulifanya kwa hisia, nilipigiwa simu mara 4 usiku sikupokea mtoto wa watu kawasha gari yake saa 11 kasoro alfajiri toka Mbweni mpaka Kibada kapaki gari nje ili aje kufumania tu ile nafungua geti naona mtu kanuna ananiangalia usoni wa macho makali. mapenzi haya!!!
Mtu anakutapeli moyo wako hivi hiviMapenzi ni utapeli.
Ila sio ya kinondoni, yale ya kinondoni marehemu wanasheaCha pekee kaburi tuu
[emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2]Ila sio ya kinondoni, yale ya kinondoni marehemu wanashea
Daaah! Itakuwa kafuliaSiamini kama Shakira ana hela [emoji1787]View attachment 2749821
Bora waachane tu, huu ni unyanyasajiView attachment 2749823
Kwani wazee wenzie hawaoni ?
Anacholilia Shakira sio jeradi ila pumzi ya jeradi kitandani ,sisi tunaocheza mpira na mazoezi yetu ya kutafuta pumzi ,wAkezetu huomba kupumzika wenyeweView attachment 2749823
Kwani wazee wenzie hawaoni ?
Anacholilia Shakira sio jeradi ila pumzi ya jeradi kitandani ,sisi tunaocheza mpira na mazoezi yetu ya kutafuta pumzi ,wAkezetu huomba kupumzika wenyewe
Wakati wakuziba pancha hatunaga siala
π π ππ mkuu unataka tujue mpenzi wako wa kike ana gari...Wanawake ni wapelelezi sana na kila jambo ulifanya kwa hisia, nilipigiwa simu mara 4 usiku sikupokea mtoto wa watu kawasha gari yake saa 11 kasoro alfajiri toka Mbweni mpaka Kibada kapaki gari nje ili aje kufumania tu ile nafungua geti naona mtu kanuna ananiangalia usoni wa macho makali. mapenzi haya!!!
Mzee asikwambie mtu wahenga walinena ZA MWIZI NI 40.Asimlaumu Gerald pique alaumu strawberry zake ,sikilakitu lazima upenye nacho
Pique nae chizi ,alitakiwa kurejesha strawberry za mkewe akute vilevile
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Shakira wa Bigwa Morogoro huyu.Siamini kama Shakira ana hela [emoji1787]View attachment 2749821
Kwa mwanamke sijui shida nn hakunaga kwa kistaarabu siku ukidankwa jua tangu dunia iumbwe mwanaume hasameiNitahakikisha nacheat kistaraab
Huku nikiendelea kuheshim baba chanja
Eti bigwa [emoji16][emoji16][emoji1787] Sio kihonda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Shakira wa Bigwa Morogoro huyu.
Mimi alikuta vipande vya nywele za wigi kwenye dust bin kesi ika anzia hapoWanawake ni wapelelezi sana na kila jambo ulifanya kwa hisia, nilipigiwa simu mara 4 usiku sikupokea mtoto wa watu kawasha gari yake saa 11 kasoro alfajiri toka Mbweni mpaka Kibada kapaki gari nje ili aje kufumania tu ile nafungua geti naona mtu kanuna ananiangalia usoni wa macho makali. mapenzi haya!!!
Husi finalize brother unaweza ukakuta Pique ana mengi kifuani na unaweza ukakuta hata nafasi ya kuwasiliana na watoto hawapewi, husiamini sana machozi ya wanawake mbele public,siku zote wanapenda kuonewa huruma.Shakira bado anampenda jamaa ila ndio hivyo, kilichonisikitisha ni hilo la Pique kutotaka kuwaona watoto wake, inahitaji roho ya kikatili sana kufanya hivi, kama una mtoto mtoto/ watoto utanielewa.