Shall we fight for freedom in Tanzania

Kuna watu wajinga by nature, hivi tanzania toka lini hatuko huru. Watu mnachotaka ni fujo sio uhuru. Umeongea kimombo hata mm nakijua. Let me tell you, there is no freedom beyond freedom. Hivyo kuwa na mipaka ni utaratibu wa Mungu maana hata mbinguni kuna mipaka, hata shetani alivyovuka mipaka alifukuzwa kutoka mbinguni. Hata taifa letu lina mashetani wengi tu, wengine wameshavuka mipaka ya uhuru, sasa watoto wao (mashetani watoto) ndo kama hawa, hebu kama mnaona hamko huru ondokeni mtuachie nchi yetu, mfuateni mwenzenu.
 
Start a new? How do we start, anyway? Any milestone or clear road map to where you think we venture for (from your new-start plan)?
Simple,break the union! Everything JMT goes,contracts ,policies,stupidity ,witchcraft in govt, you name it.........
 
This nation has been free since 1961, I’m confused here!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…