Mwita Mtu Mrefu
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 739
- 1,113
Shamba linauzwa Mkoani Morogoro, wilaya ya Mvomero, kata ya Turiani, kijiji cha Dihinda.
Shamba lina mitiki ndani yake, minazi, michungwa na miembe.
Shamba lina ukubwa wa hekari 60, lina bonde na miinuko, maji yapo karibu ukichimba kisima.
Shamba liko umbali wa KM 5 Toka Barabara ya Turiani - Tanga
Bei ni mil 30
Maongezi kidogo yapo
Shamba lina hati ya kimila.
Mawasiliano :; 0744033555
Shamba lina mitiki ndani yake, minazi, michungwa na miembe.
Shamba lina ukubwa wa hekari 60, lina bonde na miinuko, maji yapo karibu ukichimba kisima.
Shamba liko umbali wa KM 5 Toka Barabara ya Turiani - Tanga
Bei ni mil 30
Maongezi kidogo yapo
Shamba lina hati ya kimila.
Mawasiliano :; 0744033555