Shamba ekari 60 linauzwa Mufindi, linafaa kwa Parachichi au Miti ya mbao

Shamba ekari 60 linauzwa Mufindi, linafaa kwa Parachichi au Miti ya mbao

The Puncher

Member
Joined
Mar 5, 2019
Posts
11
Reaction score
5
Habari wakuu,

Pesa isikae mfukoni, tununue ardhi.

Kwa aliyekuwa anahitaji ardhi kwa ajili ya kilimo cha parachichi, sasa jibu limepatikana. Kuna shamba la ekari 60 Mufindi linauzwa kwa bei nzuri. Shamba halijatumika kwa miaka mingi, kwa hiyo lina rutuba na linafaa kwa kilimo cha parachichi na mazao mengine.

Sifa za shamba:
-- Liko eneo la Mufindi, kata ya Kibengu karibu na msitu wa Sao Hill
-- Lina ukubwa wa eka 60 zenye rutuba
-- Linafikika kwa gari kwani limepitiwa na barabara, kwa hiyo ni rahisi kusafirisha mazao yako.
-- Liko karibu na mito miwili - huhitaji kuchimba visima kwa ajili ya kumwagilia (unaweza kufuga samaki na mifugo mingine)


Mawasiliano: 0676373070
 
Habari wakuu,

Pesa isikae mfukoni, tununue ardhi.

Kwa aliyekuwa anahitaji ardhi kwa ajili ya kilimo cha parachichi, sasa jibu limepatikana. Kuna shamba la ekari 60 Mufindi linauzwa kwa bei nzuri. Shamba halijatumika kwa miaka mingi, kwa hiyo lina rutuba na linafaa kwa kilimo cha parachichi na mazao mengine.

Sifa za shamba:
-- Liko eneo la Mufindi, kata ya Kibengu karibu na msitu wa Sao Hill
-- Lina ukubwa wa eka 60 zenye rutuba
-- Linafikika kwa gari kwani limepitiwa na barabara, kwa hiyo ni rahisi kusafirisha mazao yako.
-- Liko karibu na mito miwili - huhitaji kuchimba visima kwa ajili ya kumwagilia (unaweza kufuga samaki na mifugo mingine)


Mawasiliano: 0676373070
Kata ya Kibengu kijiji gani pale au Kitongoji gani ( Usokami, Ilogombe, Kipanga au Igeleke, Masege).
 
Habari wakuu,

Pesa isikae mfukoni, tununue ardhi.

Kwa aliyekuwa anahitaji ardhi kwa ajili ya kilimo cha parachichi, sasa jibu limepatikana. Kuna shamba la ekari 60 Mufindi linauzwa kwa bei nzuri. Shamba halijatumika kwa miaka mingi, kwa hiyo lina rutuba na linafaa kwa kilimo cha parachichi na mazao mengine.

Sifa za shamba:
-- Liko eneo la Mufindi, kata ya Kibengu karibu na msitu wa Sao Hill
-- Lina ukubwa wa eka 60 zenye rutuba
-- Linafikika kwa gari kwani limepitiwa na barabara, kwa hiyo ni rahisi kusafirisha mazao yako.
-- Liko karibu na mito miwili - huhitaji kuchimba visima kwa ajili ya kumwagilia (unaweza kufuga samaki na mifugo mingine)


Mawasiliano: 0676373070
Weka bei na real location ( Village), Kibengu ni kata.
 
Habari wakuu,

Pesa isikae mfukoni, tununue ardhi.

Kwa aliyekuwa anahitaji ardhi kwa ajili ya kilimo cha parachichi, sasa jibu limepatikana. Kuna shamba la ekari 60 Mufindi linauzwa kwa bei nzuri. Shamba halijatumika kwa miaka mingi, kwa hiyo lina rutuba na linafaa kwa kilimo cha parachichi na mazao mengine.

Sifa za shamba:
-- Liko eneo la Mufindi, kata ya Kibengu karibu na msitu wa Sao Hill
-- Lina ukubwa wa eka 60 zenye rutuba
-- Linafikika kwa gari kwani limepitiwa na barabara, kwa hiyo ni rahisi kusafirisha mazao yako.
-- Liko karibu na mito miwili - huhitaji kuchimba visima kwa ajili ya kumwagilia (unaweza kufuga samaki na mifugo mingine)


Mawasiliano: 0676373070
jana nimempigia simu jamaa ili anielekeze shamba lilipo sababu nataka kuongeza shamba lingine maeneo yale, jamaa akaahidi kunirudia, mpaka leo kimyaaa.
 
Back
Top Bottom