The Puncher
Member
- Mar 5, 2019
- 11
- 5
Habari wakuu,
Pesa isikae mfukoni, tununue ardhi.
Kwa aliyekuwa anahitaji ardhi kwa ajili ya kilimo cha parachichi, sasa jibu limepatikana. Kuna shamba la ekari 60 Mufindi linauzwa kwa bei nzuri. Shamba halijatumika kwa miaka mingi, kwa hiyo lina rutuba na linafaa kwa kilimo cha parachichi na mazao mengine.
Sifa za shamba:
-- Liko eneo la Mufindi, kata ya Kibengu karibu na msitu wa Sao Hill
-- Lina ukubwa wa eka 60 zenye rutuba
-- Linafikika kwa gari kwani limepitiwa na barabara, kwa hiyo ni rahisi kusafirisha mazao yako.
-- Liko karibu na mito miwili - huhitaji kuchimba visima kwa ajili ya kumwagilia (unaweza kufuga samaki na mifugo mingine)
Mawasiliano: 0676373070
Pesa isikae mfukoni, tununue ardhi.
Kwa aliyekuwa anahitaji ardhi kwa ajili ya kilimo cha parachichi, sasa jibu limepatikana. Kuna shamba la ekari 60 Mufindi linauzwa kwa bei nzuri. Shamba halijatumika kwa miaka mingi, kwa hiyo lina rutuba na linafaa kwa kilimo cha parachichi na mazao mengine.
Sifa za shamba:
-- Liko eneo la Mufindi, kata ya Kibengu karibu na msitu wa Sao Hill
-- Lina ukubwa wa eka 60 zenye rutuba
-- Linafikika kwa gari kwani limepitiwa na barabara, kwa hiyo ni rahisi kusafirisha mazao yako.
-- Liko karibu na mito miwili - huhitaji kuchimba visima kwa ajili ya kumwagilia (unaweza kufuga samaki na mifugo mingine)
Mawasiliano: 0676373070