Shamba la miti linauzwa.Miti aina ya pines. Ukubwa wa ekari moja na nusu. Shamba lipo tanga lushoto kata ya migambo. Bei ni 5.5M piga cm hapa 0712773128
Sawa Mgosi. Nimekuona hapo, umejikalia mwenyewe chini ukiwa umechoka kweli kweli! Nitakupigia muda fulani ili nije kuliona. Maana sipo mbali sana na hapo ulipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.