Asante sana,LAT,Malila kwa ushauri,nitaenda segerea kupata uzoefu,wa kupanda mikaratusi,ila swala la mianzi nimefanya tafiti nimegundua ina matumizi mengi mno,na kuwa nchi jirani imekuwa declared na UN kuwa ni semi-desert,hivyo wameamua kuondoa jangwa kwa kupanda mianzi kwa wingi.nadhani kitakachofuata ni Technology transfer from china to East AFrica.
LAT- unaweza kushare research yako kuona ninwezaje kufanikiwa ktk upandaji huu ,ni species ipi inatoa miti yenye thamani zaidi ktk kutengeneza products.nimevutiwa zaidi na hizi products toothpicks, ice cream sticks, hospital spatulas,nadhani kwa bongo zote hizo bado tuna-import