Shamba la Miti ukanda wa Pwani

Shamba la Miti ukanda wa Pwani

Umeniambia kitu kizuri sana, nakwenda kununua mianzi yote (ile ya njano) kule Mkuranga na utakapo nishitua tu nakwenda navuna. Asante kwa hilo.

mkuu

very right na transportation itakuwa nafuu compared to Iringa or Mbeya, you need sustainable supply ability, isn't it?
 
mkuu

very right na transportation itakuwa nafuu compared to Iringa or Mbeya, you need sustainable supply ability, isn't it?

Tani ngapi mkuu unakisia za kuanza nazo?
 
Mpaka jioni hii nimepata uhakika wa msitu wa mianzi ya kijani yenye urefu wa kutosha. Ukiwa tayari nipe taarifa mapema hasa za specification na quantity inayotakiwa kwa mkupuo mmoja.
 
Malila,
naomba uniambie ilipo,by PM ,ikiwezekana niwasiliane na JOHN kwa ajili ya ukusanyaji wa mbegu.naona very soon tutaanza kushindana na Majirani zetu wa kenya
 
nimepata ardhi kubwa,ninahitaji kujua shamba la Miti ukanda wa pwani linawezekana?if yes miti gani inahimili mazingira ya ukanda wa pwani [rufiji,kilwa].
nawaza miti ya under 10 years.

Onana na ofisi za bonde la mto wa rifiji wana kitengo cha utafiti wa mazao watakusaidia sana, tena ni watu makini. Hata ukienda wilayani kuna idara ya kilimo, pia kuna msaada wa kutosha kwa hilo.

Mimi nna shamba langu karibu ya huko (Mkuranga) na wilayani Mkuranga walinisaidia sana kujuwa ni mazao yepi tupande.
 
Tani ngapi mkuu unakisia za kuanza nazo?

mkuu Malila

the unit will be measured in running meters and the outer diameter should be 350mm minimum, the thickness or mark of the bamboo layer be more than 6mm.... this is the inside diameter to the outside diameter (hii namaanisha ni nyama ya bamboo)

they should be dry or semi dry...... by the time nitakupa kipimo maalum in length for your cutting of the bamboo shoot according to the length of use ili nisiwe na wastage (off cuts) nyingi

by that time i will advice you get a gasoline chainsaw for harvesting and quality and efficient bamboo cutting
 
mkuu Malila

the unit will be measured in running meters and the outer diameter should be 350mm minimum, the thickness or mark of the bamboo layer be more than 6mm.... this is the inside diameter to the outside diameter (hii namaanisha ni nyama ya bamboo)

they should be dry or semi dry...... by the time nitakupa kipimo maalum in length for your cutting of the bamboo shoot according to the length of use ili nisiwe na wastage (off cuts) nyingi

by that time i will advice you get a gasoline chainsaw for harvesting and quality and efficient bamboo cutting

Asante,
July hii nakwenda kuangalia kijiji fulani hapa ukanda wa Pwani,pia kuna misitu ya mianzi mirefu.Tuko pamoja ktk hili.
 
Malila,
naomba uniambie ilipo,by PM ,ikiwezekana niwasiliane na JOHN kwa ajili ya ukusanyaji wa mbegu.naona very soon tutaanza kushindana na Majirani zetu wa kenya

Mbegu ipi sasa mkuu, ya njano au kijani. Mpigie John mwambie aende kwa Tall akamwonyeshe mbegu ilipo. Tall anawasubiri nimeshaongea naye, mwambie John aongee na Tall kuhusu bei kabla wewe hujaenda, ukienda mapema itakula kwako. Tall nimemwambia naitaka mimi kwa ajili ya shamba langu. Iko sehemu mbili, moja nakuachia wewe na nyingine nabaki nayo mwenyewe. Mbegu ninayosema ni ya rangi ya njano.
 
Asante,
July hii nakwenda kuangalia kijiji fulani hapa ukanda wa Pwani,pia kuna misitu ya mianzi mirefu.Tuko pamoja ktk hili.

mkuu

ulifanikiwa kukutana na Rattan ( bamboo straws) hii ni jamii ya mianzi lakini ni nyembamba about 10mm ... hii ni dili sana
 
mkuu

ulifanikiwa kukutana na Rattan ( bamboo straws) hii ni jamii ya mianzi lakini ni nyembamba about 10mm ... hii ni dili sana

Sijafanikiwa kwa sababu niko nje ya dar mpaka 19july ndo nitamtafuta kwa kila njia. Nimempa PM hajajibu bado. lakini mpaka kieleweke.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Sijafanikiwa kwa sababu niko nje ya dar mpaka 19july ndo nitamtafuta kwa kila njia. Nimempa PM hajajibu bado. lakini mpaka kieleweke.

Hiyo rattan nd'o hii inayopatikana wilaya za mikoa ya Lindi na Mtwara?
Maana huku Masasi, Liwale, Ruangwa, Nachingwea kuna mianzi huwa naiona mizuri ile mbaya (si ya njano); sijaipima, lkn diameter nadhani ni1-5cm. Urefu hadi 8-15m.

Hivi ni deal kiasi gani?
 
Kama uangalizi utakuwa mdogo, basi nadhani usioteshe miti yenye thamani kubwa. Maana wabongo wanaiba hata miche iliyooteshwa shambani.

Sasa hizo bamboo zitakuwa bomba za maji au vipi? Kuna soko Tanzania au uko tayari kuuza Kenya?

Wataalamu wako bize kwenye Jukwaa la Siasa, ndio maana nimeona heri hata mie nikujibu kuliko wote tukae kimya kana kwamba hatuthamini swali lako.

Bamboo hutumika katika ujenzi badala ya mirunda kule mashariki ya mbali......inaweza kulipa na haiharibu ardhi....ukitaka kubadili kilimo ni rahisi pia
 
LAT, mchango wako umeonyesha dhahiri kuwa unataarifa ya kutosheleza ktk Mianzi, naomba fununu juu ya bei zake ktk soko,na uwezekano wa kulisha soko la ndani kwanza.Je huwa inauzwa kwa Kilo/Urefu na upana ,please nielimishe ktk hili
 
sasa mimi nina mbao nyingi sana na natafuta soko nje ya Tanzania je mnaweza nisaidia?

hali kadhalika nina mipira pia (rubber) si mithili kama ya Liberia lakini si haba
 
Naam,
Lile bonde nalipiga mianzi lote, nimefanya majaribio ya kuotesha kwa kutumia cuttings ziko safi. Nitakuonyesha sehemu yenye mbegu za njano, ni za kujichotea tani yako. Ziko kule Yavayava, sio zile za pale njiani kwa Wakorea, ziko pale Sangatini, hazina mwenyewe.
Katika vyote nimefurahi 'ulivyothubutu kukwiba mianzi', ukasonga mbele kwa kuitosha kwa majaribio... tuko pamoja mkuu
 
  • Thanks
Reactions: tyc
Poa bwana,

Kama week tatu zilizopita,nilipitia tena kwa lengo la kununua mbegu,mwenye shamba kaniuzia kila muanzi Tsh 1000/, leo nimemwambia jumatano asiondoke ili nimpitie tena,kapandisha bei mpaka Tsh 2000/. Hiyo ndio Bongo.
 
Wandugu (Malila, LAT, etc), hiyo project ya Mianzi inaendeleaje? Je, inachukua muda gani kupanda hadi kuvuna? Na soko lake je? Nimevutiwa sana na huo mradi.
 
Wengi wanaotesha mitiki, lakini nashauri usifanye hivyo. Sioni ikinenepa. Hata mie nimeotesha mitiki michache, lakini naona inakuwa kama mirunda.

Kwa nini usioteshe mikorosho kitaalamu ukawa umefanya kweli? Miti minene ya mbao siioni huko unakosema. Nimeona ndugu mmoja alijaribu kuotesha mierezi, tena mingi, lakini yote imeshindwa kunenepa. Atavuna mirunda tu.

Mikorosho kaka bei si wanapanga wao mambo ya stakabadhi ghalani?
 
Back
Top Bottom