Plot4Sale Shamba la miti ya Mikalebeya linauzwa

Omari Makoo

Member
Joined
Sep 6, 2016
Posts
78
Reaction score
39
Shamba lina ukubwa wa Hekari 2
Lina miti 1000+
Miti ina umri wa miaka
Shamba lipo Mwanza, Ukerewe
Bei yamba pamoja na miti yote iliyopo kwenye shamba ni shilingi milioni tisa na laki tano(9,5000,000) Tu.

 
Ukerewe Kijiji gani au ni Rubya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…