Shamba linahitajika Chemba (Dodoma)

Shamba linahitajika Chemba (Dodoma)

Mabala21

Senior Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
139
Reaction score
89
Wadau,

Nahitaji shamba kwaajili ya kuweka mifugo (mbuzi na ngombe), wilaya ya Chemba (Dodoma) hasa maeneo ya Soya au kokote kunakofaa kwa ufugaji mbubwa heka 5 na zaidi.

Naomba muongozo.
 
Back
Top Bottom