Safi sana Iko vzr kiongozi.piga KAZIYeah hati hipo na document zote muhimu zipo.
Pia unaweza kuelekezwa shamba lilipo then ukafutilia wewe mwenyewe kwa njia zako kujua uhalali wa shamba.
Karibu sana mkuu.
Bado linapatikana? unaweza kuniwekea clip ya google maps kuonyesha lilipo?Shamba lipo Zinga kwa Mtoro kilomita moja na nusu kutoka barabara kuu ya lami ya Bagamoyo(Bagamoyo road).
Shamba lina ukubwa wa heka sita na nusu(6.5).
Linafaa kwa matumizi ya kilimo, kujenga kiwanda, kujenga shule,kujenga godowns
Shamba halina migogoro na document zote muhimu zipo.
Bei ni milioni mia moja na ishirini(120,000,000/=).
Tuwasiliane kwa namba;
-0746722646
-0683467907
KARIBUNI.
Ninaishi nje sana ya Dar es Salaam ndiyo maana naomba ramani ya google.Linapatikana.
Ntakuwekea mkuu.
Na wewe unaishi Marekani? You better go there physically if you're not very far.Nasubiri pia