Nsinambi the Don
Member
- Mar 31, 2017
- 19
- 8
Shamba linauzwa hakuna udalali lipo DODOMA kata ya chihanga Lina ukubwa wa heka 4 linafaa kwa kilimo cha umwagiliaji na ufugaji. Wasiliana nami 0658090695 bei kwa kila heka ni million 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chihanga iko wapiShamba linauzwa hakuna udalali lipo DODOMA kata ya chihanga Lina ukubwa wa heka 4 linafaa kwa kilimo cha umwagiliaji na ufugaji. Wasiliana nami 0658090695 bei kwa kila heka ni million 3
Ipo DODOMA mjini barabara ya arusha karibu na kambi ya jeshi makutuporaChihanga iko wapi
Yes yapo yanauzwa zaidi ya hiyo bei mkuu. Umwagiliaji sijui wewe uweka taswira gani hapo kwani watu wanachimba visima na kumwagilia mashamba pia ufugaji wa kisasa wa kuku, ng'ombe mbuzi na wanyama wengine wafugwao mkuu karibu kama wahitajiDodoma
Umwagiliaji
Shamba
Milioni 3/ekari.
Labda kwa sababu Dodoma nimeondoka muda mrefu
Chihanga ni mbali sana na Kambi ya jeshi makutupora,unapita mchemwa ndo unaingia huko swekeni.Lakini kwa bei hiyo ni sawa Tena utakuwa umetoa Bure,gawaye heka imefika zaidi ya 4.5mIpo DODOMA mjini barabara ya arusha karibu na kambi ya jeshi makutupora
Sorry kwanza location ni mtaa wa nzasa kata ya chihanga.Chihanga ni mbali sana na Kambi ya jeshi makutupora,unapita mchemwa ndo unaingia huko swekeni.Lakini kwa bei hiyo ni sawa Tena utakuwa umetoa Bure,gawaye heka imefika zaidi ya 4.5m