Arturo mateo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 636
- 1,076
- Thread starter
-
- #21
Ndio Mkuu,kutoka mlandizi barabara nzuri,maana ndo inayokwenda bagamoyo,Nile Mteja tuyajenge mkuuDuu mkuu. Aisee. Ni vile sina cash tu hapa. Kutoka mlandizi kuna barabara nzuri? Naweza kukupa mteja
Vipi haukodishiNdio Mkuu,kutoka mlandizi barabara nzuri,maana ndo inayokwenda bagamoyo,Nile Mteja tuyajenge mkuu
Niliongea nae alishapata mashamba moro huko. Sema alitafuta hata ekari 40 mitaa ya hadi chalinzi alikosa. Akaamua kuzama MoroNdio Mkuu,kutoka mlandizi barabara nzuri,maana ndo inayokwenda bagamoyo,Nile Mteja tuyajenge mkuu
Hapana mkuuVipi haukodishi
Nakutumia,shamba liko hii ya mto ,halijai maji ngoja uone videohebu nitumie picha za hii shamba kwa my pm, na mengi tutaongea huko, lakini shamba iko na ready TITLE DEED?? hati miliki
oky nangonja hio video, na nimejaribu kukupigia kupitia hii no umepeana hapa ila hupatikaniNakutumia,shamba liko hii ya mto ,halijai maji ngoja uone video
Nimekutumia namba ya whatsup mkuu,nicheki, Airtel network shidaoky nangonja hio video, na nimejaribu kukupigia kupitia hii no umepeana hapa ila hupatikani
Poa poa mkuu,hizo 40 mbona zipo sehemu nyingi tu,au alikua anaangalia na beiNiliongea nae alishapata mashamba moro huko. Sema alitafuta hata ekari 40 mitaa ya hadi chalinzi alikosa. Akaamua kuzama Moro
Network ilikua inasumbua mkuuNakupigia kiongozi hupokei tiyajenge
Hujaliuza kwani mpaka sasa?
Nimeuza kadhaa,shamba kubwa iloHujaliuza kwani mpaka sasa?
Limebaki kiasi ganiNimeuza kadhaa,shamba kubwa ilo
30Limebaki kiasi gani