Unamdanganya mwenzio, atakaenunua milioni 15 eka 1 hilo eneo ni chizi, bei ya ardhi upande huo ni milion 3 kwa eka.Huwezi ukawa serious.... heka moja milioni 4???????? Yaani sqm 4046 unaziuza milioni 4??????
Kuna jamaa kauza heka moja mil 15.... tena hapo kwa kuwa alikuwa na shida ya haraka. (Maana hata ukikata vipande vya 20 kwa 20 ukiuza kwa bei ya kutupa mil 2 kwa kipande heka moja utapata almost vipande 10 ambavyo ni mil 20 kwa hekari.....
(Unless hilo shamba lipo mbali na halifikiki au bondeni)
Review bei yako mkubwa... (samahani nimeongea mengi yasiyohusiana na ununuzi)
Kama huna hiyo hela lazima uone unadanganywa. Unajua ukubwa wa ekari moja??????? Na kumbuka hawa hawauzi ekari moja bali almost ekari moja na robo (m70 kwa 70)Unamdanganya mwenzio, atakaenunua milioni 15 eka 1 hilo eneo ni chizi, bei ya ardhi upande huo ni milion 3 kwa eka.
Wewe na huyo mtoa Tangazo wote ni mtu mmoja, tumeshtukia. Haumpigi mtu hapa..Kama huna hiyo hela lazima uone unadanganywa. Unajua ukubwa wa ekari moja??????? Na kumbuka hawa hawauzi ekari moja bali almost ekari moja na robo (m70 kwa 70)
Plus eneo na jinsi palivyo
Wewe na huyo mtoa Tangazo wote ni mtu mmoja, tumeshtukia. Haumpigi mtu hapa..
Shamba liko Vianzi (Majumba Sita) ni umbali wa kilometa sita (6) kutokea Vikindu barabara ya lami
Kama barabara ya lami kwa nini mnauza bei ya kutupa????? Kama eneo ni nzuri sio bonde hapana mgogoro wala tatizo...... kwa nini usilikate vipande....ungepata zaidi kuliko kuuza eka mil 4
Ingawa ingekuwa mimi nisingeuza mpaka angalau miaka 2 mbele maana ardhi ina-appreciate.... na vikindu patakua keki karibuni (samahani nimekupa ishauri badala yake)
Mkuu km 6 kutoka kwenye lami bado unasema barabara ya lami? Lakini kwa serikali hii hizi bei za kukuza kuza za viwanja zitatoweka....watu wamezoea kununua kwa bei kubwa kwa sababu ya wizi wizi na madili dili tu ... sasa mihanya yote itatiwa kufuli, heshima inarudi mtaani....pesa inakuwa na dhamani.!
Mkuu kama upo hai nakushukuru sanaa
2015 baada ya kuona huu uzi nilienda kununua eneo mita 30*25 elfu 30
Vikindu-kazole-komakoma january 2024 nimeenda hakika elfu 30 yangu ilienda sawa kabisa
4-5m tuKwa sasa huo ukubwa unanunua kwa bei gani?