Shamba la ekari kumi (10) au zaidi linauzwa eneo la Vianzi, ni umbali wa Km 6 kutokea Vikindu, barabara ya Kilwa, Km 36 kutokea katikati ya jiji la Dar. Linafaa kwa kilimo cha umwagiliaji, kwa mazao ya mbogamboga na matunda, ufugaji na hata kwa mradi ya muda mrefu. Shamba linafikika kwa gari. Bei ni Tshs; M4 kwa ekari moja. Piga 0784 607524 kwa maelezo zaidi.