Plot4Sale Shamba linauzwa

Plot4Sale Shamba linauzwa

Arturo mateo

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2020
Posts
636
Reaction score
1,076
Shamba linauzwa miono ,mkoa wa pwani,zipo eka Mia,Kila eka moja laki mbili na nusu,zipo pembeni ya mto wenye maji muda wote,linafaa kwa kilimo Cha umwagiliaji na Cha msimu,mazao yanakubali mahindi,matikiti,nanasi,mihogo,alizeti,ufuta,mitikiti,Nazi,migomba,embe ,michugwa n.k.
Mawasiliano :0629075172
 

Attachments

  • tmp-cam-4372078733657432204.jpg
    tmp-cam-4372078733657432204.jpg
    48.3 KB · Views: 37
Fafanua....plz.miono ipo wilaya ganii...umbali kutoka stend kuu..... Shanna NI lako au serial ya kijiji.....na mengineyo
 
Shamba linauzwa miono ,mkoa wa pwani,zipo eka Mia,Kila eka moja laki mbili na nusu,zipo pembeni ya mto wenye maji muda wote,linafaa kwa kilimo Cha umwagiliaji na Cha msimu,mazao yanakubali mahindi,matikiti,nanasi,mihogo,alizeti,ufuta,mitikiti,Nazi,migomba,embe ,michugwa n.k.
Mawasiliano :0693786080
Huko miono hata laki/ekari unapata.Mashamba pori ya kumwaga.
 
Shamba linauzwa miono ,mkoa wa pwani,zipo eka Mia,Kila eka moja laki mbili na nusu,zipo pembeni ya mto wenye maji muda wote,linafaa kwa kilimo Cha umwagiliaji na Cha msimu,mazao yanakubali mahindi,matikiti,nanasi,mihogo,alizeti,ufuta,mitikiti,Nazi,migomba,embe ,michugwa n.k.
Mawasiliano :0693786080
Nina laki na nusu. Nataka eka moja.
 
Kwasasa ni kweli nakili wazi kuwa umenitumia na hii message nilikuandikia muda hata kabla hujaituma
 
Back
Top Bottom