Arturo mateo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 636
- 1,076
Miono iko wilaya ya bagamoyo,km 3 kutoka stend,la binafsi sio la kijijiFafanua....plz.miono ipo wilaya ganii...umbali kutoka stend kuu..... Shanna NI lako au serial ya kijiji.....na mengineyo
Huko miono hata laki/ekari unapata.Mashamba pori ya kumwaga.Shamba linauzwa miono ,mkoa wa pwani,zipo eka Mia,Kila eka moja laki mbili na nusu,zipo pembeni ya mto wenye maji muda wote,linafaa kwa kilimo Cha umwagiliaji na Cha msimu,mazao yanakubali mahindi,matikiti,nanasi,mihogo,alizeti,ufuta,mitikiti,Nazi,migomba,embe ,michugwa n.k.
Mawasiliano :0693786080
Nina laki na nusu. Nataka eka moja.Shamba linauzwa miono ,mkoa wa pwani,zipo eka Mia,Kila eka moja laki mbili na nusu,zipo pembeni ya mto wenye maji muda wote,linafaa kwa kilimo Cha umwagiliaji na Cha msimu,mazao yanakubali mahindi,matikiti,nanasi,mihogo,alizeti,ufuta,mitikiti,Nazi,migomba,embe ,michugwa n.k.
Mawasiliano :0693786080
Karibu mkuu,namba iko Apo ,unaweza kupigaNina laki na nusu. Nataka eka moja.
Nashidwa kuattach kwa Sasa ,unaweza nicheki nikutumie kwa whatsupTuone hiyo picha ya mto
Sawa mkuuKaribu mkuu,namba iko Apo ,unaweza kupiga
Karibu
Karibu
Sawa mkuuPokea simu mkuu
Nashidwa kuattach kwa Sasa ,unaweza nicheki nikutumie kwa whatsup
Nitume Mara ngapi mzee.si nilishakutumiaHivi mkuu hii biashara uko nayo serios kweli mbn nimekucheki kule hutumi zile picha?!!!!watu tupo serious bhn
Sawa mkuuKwasasa ni kweli nakili wazi kuwa umenitumia na hii message nilikuandikia muda hata kabla hujaituma