Shamba linauzwa

TheTrf

Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
10
Reaction score
9
Shamba la miti ya mbao Aina ya pines yenye muda wa miaka 7 na ukubwa wa ekari 200 linauzwa,bei Kwa kila ekari ni 1.8milion. Shamba lipo mpakani mwa njombe na songea,kijiji cha wino. Barabara inafika mpaka shambani(MITI TU NDO INAUZWA,UKITAKA NA ARDHI TUNAONGEA)
0673608867/0756803116
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…