Acha kauli za kijingaSafi mkuu subiri sisi tuendelee kukaa store...... hapa dar maana kilimo hatukitaki
Kwa bei cheeLima tununue😘
[emoji23] hakuna bei chee!! Kwa jinsi garama zilivyopanda na hii miundombinu alafu uje na bei ya udalaliView attachment 2445771View attachment 2445772Kwa bei chee
.[emoji23] hakuna bei chee!! Kwa jinsi garama zilivyopanda na hii miundombinu alafu uje na bei ya udalaliView attachment 2445771View attachment 2445772View attachment 2445773
Ustaarabu ni kitu chema sana sijaona sababu ya kunitusi ...Acha kauli za kijinga
Kama watu wote wataamua kurudi kulima unadhani utamuuzia Nani tabia zakise Kama hizi hazifai
Ushakua mkulima tayari kazi ya udalali tuachie.[emoji23][emoji23] me mwenye dalali nimeamua kuingia shamban asa sijui tutawezana dalali mwenzangu
Home sweet homeSingida kiomboi
ashakubali kuingia shamba, udalali hatauweza. udalali ni kiwango cha taarifa za masoko uliyonayoUshakua mkulima tayari kazi ya udalali tuachie.
#MaendeleoHayanaChama