Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Utafika, mdogo Mdogo, jifunze pia kucheza na soko kulima sio shida.Sawa mkuu mdogomdogo hatua hazifanani
Kumbuka me dalali wa nafaka na matunda nalima mazao ambayo na jua soko lake na pia naweza kuyachakata mafano alizet naweza kamua mafuta na kuuza na mahindi pia naweza saga unga nauza kwa oda mashulen n.k sitegemei sana kuuza mazao ghafi mungu ajaalieUtafika, mdogo Mdogo, jifunze pia kucheza na soko kulima sio shida.
Wanaotudai wakija kuchukua chao wakija hawaongei wananchi nyie mtasikia tu nchi imeuzwa ....Kwan walivyokopa walotuambia watatunulia nn ata pipi hawajatununulia isitoshe uku mbolea yenyewe ya mchongo
Mkuu hayo mawe yatapasua hiyo mipira[emoji23] hakuna bei chee!! Kwa jinsi garama zilivyopanda na hii miundombinu alafu uje na bei ya udalaliView attachment 2445771View attachment 2445772View attachment 2445773
Ooih sawa. Nilijua unafukia ivyo ivyoNimeyato mkuu ilikua kutenganisha tu
Msamehe tu ndugu yatapita tu.Ustaarabu ni kitu chema sana sijaona sababu ya kunitusi ...