Shambulio la Israel lamuua kamanda mkuu wa Hezbollah nchini Lebanon

Shambulio la Israel lamuua kamanda mkuu wa Hezbollah nchini Lebanon

uzio usio onekana

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2019
Posts
836
Reaction score
2,658
Hezbollah imesema mmoja wa makamanda wake wakuu aliuawa katika shambulio la anga la Israel kusini mwa Lebanon, huku kundi hilo la waasi linaloungwa mkono na Iran likilipiza kisasi kwa msururu wa makombora dhidi ya Israel.

Mohammed Nimah Nasser ndiye mjumbe mkuu wa hivi punde zaidi wa Hezbollah kulengwa na Israel katika kipindi cha takriban miezi tisa ya ghasia za kuvuka mpaka ambazo zimezua hofu ya vita vya pande zote.

Hezbollah ilisema kuwa imerusha roketi na makombora 100 katika vituo vya kijeshi vya Israel "kama sehemu ya kukabiliana na mauaji". Jeshi la Israel lilisema kuwa makombora kadhaa yaliyoanguka katika maeneo ya wazi yalizua moto, lakini hakuna majeruhi yoyote yaliyoripotiwa.

Jeshi lilisema Nasser aliamuru Kitengo cha Aziz cha Hezbollah, ambacho kinahusika na kurusha roketi kutoka kusini-magharibi mwa Lebanon, na kumshutumu kwa kuongoza "idadi kubwa ya mashambulizi ya kigaidi".

Pia ilimtaja"mwenzake" Taleb Sami Abdullah, kamanda wa kitengo kingine ambaye mauaji yake yalifanyika mwezi uliopita yaliifanya Hezbollah kurusha Zaidi ya roketi 200 na makombora kaskazini mwa Israel kwa siku moja.

Tangu wakati huo, kumekuwa na msururu wa juhudi za kidiplomasia za kupunguza mvutano, huku Umoja wa Mataifa na Marekani zikionya kuhusu matokeo yanayoweza kuwa mabaya ya vita ambavyo vinaweza pia kuvuta Iran na makundi mengine washirika.

Kumekuwa na kurushiana risasi karibu kila siku katika mpaka wa Israel na Lebanon tangu siku moja baada ya kuanza kwa vita kati ya Israel na Hamas huko Gaza tarehe 7 Oktoba.

Hezbollah imesema inafanya kazi katika kuunga mkono kundi la Palestina ambalo pia linaungwa mkono na Iran. Vikundi vyote viwili vimetangazwa kuwa mashirika ya kigaidi na Israel, Uingereza na nchi zingine.

Screenshot_20240704_080030_Chrome.jpg
 
Kama Vita lasmi havijaanza hezbollah tayari wameisha mpoteza mkuu wao.

Sasa sijui vita ikianza lasmi itakuwaje.
Jamani wakina abdala mnaowapa jeuri wenzenu hezbollah washaulini wakaombe msamaha Israel mapema sana kabla mambo hayajawa mengi.

Kwa sababu huwa hamkawiagi kulalamika utasikia Israel anaua watoto.
Na hiyo ya kumuua huyo kamanda wenu amewaonyesha tu kwamba Israel ni bingwa wa vita.
 
Kama Vita lasmi havijaanza hezbollah tayari wameisha mpoteza mkuu wao.

Sasa sijui vita ikianza lasmi itakuwaje.
Jamani wakina abdala mnaowapa jeuri wenzenu hezbollah washaulini wakaombe msamaha Israel mapema sana kabla mambo hayajawa mengi.

Kwa sababu huwa hamkawiagi kulalamika utasikia Israel anaua watoto.
Na hiyo ya kumuua huyo kamanda wenu amewaonyesha tu kwamba Israel ni bingwa wa vita.
Huyo ni kamanda wa kawaida kijana,acha kuropoka.
Kiongozi mkuu ni HASSAN NASRALLAH.
Tokea October 8 Hizbollah imepoteza makamanda 20 na bado wanapambana.
Hao akifa kiongozi basi mori ya kisasi inapanda zaidi.
Hizbollah sio Hamas,wao wana silaha sawa na Israel.
 
Huyo ni kamanda wa kawaida kijana,acha kuropoka.
Kiongozi mkuu ni HASSAN NASRALLAH.
Tokea October 8 Hizbollah imepoteza makamanda 20 na bado wanapambana.
Hao akifa kiongozi basi mori ya kisasi inapanda zaidi.
Hizbollah sio Hamas,wao wana silaha sawa na Israel.
Hiyo ni taarifa tu, na kamanda ni kamanda.
 
Hiyo ni taarifa tu, na kamanda ni kamanda.
Ndio nakwambia hivi,ingekua kamanda analidhohofisha jeshi basi tokea mwaka jana Hizbollah wangeshadhohofika.
Kwani vita ya 2006 ya Israel-Lebanese war Hizbollah alipoteza makamanda wangapi!?
Mbona alipambana mpaka akampora Israel Bint Jubeir!?
 
Kama Vita lasmi havijaanza hezbollah tayari wameisha mpoteza mkuu wao.

Sasa sijui vita ikianza lasmi itakuwaje.
Jamani wakina abdala mnaowapa jeuri wenzenu hezbollah washaulini wakaombe msamaha Israel mapema sana kabla mambo hayajawa mengi.

Kwa sababu huwa hamkawiagi kulalamika utasikia Israel anaua watoto.
Na hiyo ya kumuua huyo kamanda wenu amewaonyesha tu kwamba Israel ni bingwa wa vita.
kama mfatiliaji wa hizi mambo basi utakuwa umesikia viongozi kadhaa wa wa Hamas kuuliwa na wanamgambo wa israel ila vita GAZA bado mbichi kana kwamba hajafa mtu
 
Hezbollah imesema mmoja wa makamanda wake wakuu aliuawa katika shambulio la anga la Israel kusini mwa Lebanon, huku kundi hilo la waasi linaloungwa mkono na Iran likilipiza kisasi kwa msururu wa makombora dhidi ya Israel.

Mohammed Nimah Nasser ndiye mjumbe mkuu wa hivi punde zaidi wa Hezbollah kulengwa na Israel katika kipindi cha takriban miezi tisa ya ghasia za kuvuka mpaka ambazo zimezua hofu ya vita vya pande zote.

Hezbollah ilisema kuwa imerusha roketi na makombora 100 katika vituo vya kijeshi vya Israel "kama sehemu ya kukabiliana na mauaji". Jeshi la Israel lilisema kuwa makombora kadhaa yaliyoanguka katika maeneo ya wazi yalizua moto, lakini hakuna majeruhi yoyote yaliyoripotiwa.

Jeshi lilisema Nasser aliamuru Kitengo cha Aziz cha Hezbollah, ambacho kinahusika na kurusha roketi kutoka kusini-magharibi mwa Lebanon, na kumshutumu kwa kuongoza "idadi kubwa ya mashambulizi ya kigaidi".

Pia ilimtaja"mwenzake" Taleb Sami Abdullah, kamanda wa kitengo kingine ambaye mauaji yake yalifanyika mwezi uliopita yaliifanya Hezbollah kurusha Zaidi ya roketi 200 na makombora kaskazini mwa Israel kwa siku moja.

Tangu wakati huo, kumekuwa na msururu wa juhudi za kidiplomasia za kupunguza mvutano, huku Umoja wa Mataifa na Marekani zikionya kuhusu matokeo yanayoweza kuwa mabaya ya vita ambavyo vinaweza pia kuvuta Iran na makundi mengine washirika.

Kumekuwa na kurushiana risasi karibu kila siku katika mpaka wa Israel na Lebanon tangu siku moja baada ya kuanza kwa vita kati ya Israel na Hamas huko Gaza tarehe 7 Oktoba.

Hezbollah imesema inafanya kazi katika kuunga mkono kundi la Palestina ambalo pia linaungwa mkono na Iran. Vikundi vyote viwili vimetangazwa kuwa mashirika ya kigaidi na Israel, Uingereza na nchi zingine.

View attachment 3033037
Duuh!; Yahudi Si mchezo!🙄
Yaani mabomu yanawalenga Makamanda Wakuu tu!
Halafu wanajuajd mahali walipo??
Huyu Nasilalla nahisi ni pandikizi la Yahudi....
 
Hezbollah imesema mmoja wa makamanda wake wakuu aliuawa katika shambulio la anga la Israel kusini mwa Lebanon, huku kundi hilo la waasi linaloungwa mkono na Iran likilipiza kisasi kwa msururu wa makombora dhidi ya Israel.

Mohammed Nimah Nasser ndiye mjumbe mkuu wa hivi punde zaidi wa Hezbollah kulengwa na Israel katika kipindi cha takriban miezi tisa ya ghasia za kuvuka mpaka ambazo zimezua hofu ya vita vya pande zote.

Hezbollah ilisema kuwa imerusha roketi na makombora 100 katika vituo vya kijeshi vya Israel "kama sehemu ya kukabiliana na mauaji". Jeshi la Israel lilisema kuwa makombora kadhaa yaliyoanguka katika maeneo ya wazi yalizua moto, lakini hakuna majeruhi yoyote yaliyoripotiwa.

Jeshi lilisema Nasser aliamuru Kitengo cha Aziz cha Hezbollah, ambacho kinahusika na kurusha roketi kutoka kusini-magharibi mwa Lebanon, na kumshutumu kwa kuongoza "idadi kubwa ya mashambulizi ya kigaidi".

Pia ilimtaja"mwenzake" Taleb Sami Abdullah, kamanda wa kitengo kingine ambaye mauaji yake yalifanyika mwezi uliopita yaliifanya Hezbollah kurusha Zaidi ya roketi 200 na makombora kaskazini mwa Israel kwa siku moja.

Tangu wakati huo, kumekuwa na msururu wa juhudi za kidiplomasia za kupunguza mvutano, huku Umoja wa Mataifa na Marekani zikionya kuhusu matokeo yanayoweza kuwa mabaya ya vita ambavyo vinaweza pia kuvuta Iran na makundi mengine washirika.

Kumekuwa na kurushiana risasi karibu kila siku katika mpaka wa Israel na Lebanon tangu siku moja baada ya kuanza kwa vita kati ya Israel na Hamas huko Gaza tarehe 7 Oktoba.

Hezbollah imesema inafanya kazi katika kuunga mkono kundi la Palestina ambalo pia linaungwa mkono na Iran. Vikundi vyote viwili vimetangazwa kuwa mashirika ya kigaidi na Israel, Uingereza na nchi zingine.

View attachment 3033037
Israel inatakiwa imfyatue na Nasrallah aende kwa mabikira anatupigia kelele kwenye media sana
 
Huyo ni kamanda wa kawaida kijana,acha kuropoka.
Kiongozi mkuu ni HASSAN NASRALLAH.
Tokea October 8 Hizbollah imepoteza makamanda 20 na bado wanapambana.
Hao akifa kiongozi basi mori ya kisasi inapanda zaidi.
Hizbollah sio Hamas,wao wana silaha sawa na Israel.
Hayo ndio yale mambo ya kiswahili tunayosema waislam wanayo wakati mnauwawa mnaisha. Hao magaidi wa Hezbollah sio muda mrefu wataanza kujificha chini ya uvungu wa vitanda vya wanawake na watoto.
 
Israel inatakiwa imfyatue na Nasrallah aende kwa mabikira anatupigia kelele kwenye media sana
Siku yake inakuja atapokelewa na mabikra 72 huko akhera akaburudishwe pia na pombe inayotiririka kwenye mito ya huko akhera.
 
Huyo ni kamanda wa kawaida kijana,acha kuropoka.
Kiongozi mkuu ni HASSAN NASRALLAH.
Tokea October 8 Hizbollah imepoteza makamanda 20 na bado wanapambana.
Hao akifa kiongozi basi mori ya kisasi inapanda zaidi.
Hizbollah sio Hamas,wao wana silaha sawa na Israel.
 

Attachments

  • IMG_4964.jpeg
    IMG_4964.jpeg
    374.3 KB · Views: 10
Hezbollah imesema mmoja wa makamanda wake wakuu aliuawa katika shambulio la anga la Israel kusini mwa Lebanon, huku kundi hilo la waasi linaloungwa mkono na Iran likilipiza kisasi kwa msururu wa makombora dhidi ya Israel.

Mohammed Nimah Nasser ndiye mjumbe mkuu wa hivi punde zaidi wa Hezbollah kulengwa na Israel katika kipindi cha takriban miezi tisa ya ghasia za kuvuka mpaka ambazo zimezua hofu ya vita vya pande zote.

Hezbollah ilisema kuwa imerusha roketi na makombora 100 katika vituo vya kijeshi vya Israel "kama sehemu ya kukabiliana na mauaji". Jeshi la Israel lilisema kuwa makombora kadhaa yaliyoanguka katika maeneo ya wazi yalizua moto, lakini hakuna majeruhi yoyote yaliyoripotiwa.

Jeshi lilisema Nasser aliamuru Kitengo cha Aziz cha Hezbollah, ambacho kinahusika na kurusha roketi kutoka kusini-magharibi mwa Lebanon, na kumshutumu kwa kuongoza "idadi kubwa ya mashambulizi ya kigaidi".

Pia ilimtaja"mwenzake" Taleb Sami Abdullah, kamanda wa kitengo kingine ambaye mauaji yake yalifanyika mwezi uliopita yaliifanya Hezbollah kurusha Zaidi ya roketi 200 na makombora kaskazini mwa Israel kwa siku moja.

Tangu wakati huo, kumekuwa na msururu wa juhudi za kidiplomasia za kupunguza mvutano, huku Umoja wa Mataifa na Marekani zikionya kuhusu matokeo yanayoweza kuwa mabaya ya vita ambavyo vinaweza pia kuvuta Iran na makundi mengine washirika.

Kumekuwa na kurushiana risasi karibu kila siku katika mpaka wa Israel na Lebanon tangu siku moja baada ya kuanza kwa vita kati ya Israel na Hamas huko Gaza tarehe 7 Oktoba.

Hezbollah imesema inafanya kazi katika kuunga mkono kundi la Palestina ambalo pia linaungwa mkono na Iran. Vikundi vyote viwili vimetangazwa kuwa mashirika ya kigaidi na Israel, Uingereza na nchi zingine.

View attachment 3033037
MK 254 kafa kwenye maandamano?!..maana ni habari zake hizi
 
Kama Vita lasmi havijaanza hezbollah tayari wameisha mpoteza mkuu wao.

Sasa sijui vita ikianza lasmi itakuwaje.
Jamani wakina abdala mnaowapa jeuri wenzenu hezbollah washaulini wakaombe msamaha Israel mapema sana kabla mambo hayajawa mengi.

Kwa sababu huwa hamkawiagi kulalamika utasikia Israel anaua watoto.
Na hiyo ya kumuua huyo kamanda wenu amewaonyesha tu kwamba Israel ni bingwa wa vita.
Lasmi ndiyo nini we nyang'au?
 
Huyo ni kamanda wa kawaida kijana,acha kuropoka.
Kiongozi mkuu ni HASSAN NASRALLAH.
Tokea October 8 Hizbollah imepoteza makamanda 20 na bado wanapambana.
Hao akifa kiongozi basi mori ya kisasi inapanda zaidi.
Hizbollah sio Hamas,wao wana silaha sawa na Israel.
😂😂😂😂😂😂
Et sila sawa na israel mmerogwa nyie magaidi
 
😂😂😂😂😂😂
Et sila sawa na israel mmerogwa nyie magaidi
Unabisha!?
Hizbollah ana;
-Tanks.
-Ballistic missiles.
-Heavy artilleries.
-Multi rocket launchers.
-Attacking drones.
Na ammunitions zingine za kawaida.
Air defense system Iran wako mbioni kupeleka.
Anachokosa Hizbollah ni fighter jets Na nuclear weapons tu pamoja na attacking helicopters.
 
Unabisha!?
Hizbollah ana;
-Tanks.
-Ballistic missiles.
-Heavy artilleries.
-Multi rocket launchers.
-Attacking drones.
Na ammunitions zingine za kawaida.
Air defense system Iran wako mbioni kupeleka.
Anachokosa Hizbollah ni fighter jets Na nuclear weapons tu pamoja na attacking helicopters.
Sawa msemaji mkuu wa kikundi cha kigaidi cha Hizboolah
 
Back
Top Bottom