Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa makamanda wao wakuu wanaishi nje ya nchi. Hata Yule wa Hamas yuko Qatar anakula maisha. in other words hao makamanda wa Mudi ni keyboard warriors.Israel inatakiwa imfyatue na Nasrallah aende kwa mabikira anatupigia kelele kwenye media sana
Umekuwa msemaji wa hezbollah?Unabisha!?
Hizbollah ana;
-Tanks.
-Ballistic missiles.
-Heavy artilleries.
-Multi rocket launchers.
-Attacking drones.
Na ammunitions zingine za kawaida.
Air defense system Iran wako mbioni kupeleka.
Anachokosa Hizbollah ni fighter jets Na nuclear weapons tu pamoja na attacking helicopters.
We unaonaje!?Umekuwa msemaji wa hezbollah?
Pesa (itakuwa kuna dau watu wanalipwa waseme flan yupo wapi), intelijensia na teknolojiaDuuh!; Yahudi Si mchezo!🙄
Yaani mabomu yanawalenga Makamanda Wakuu tu!
Halafu wanajuajd mahali walipo??
Huyu Nasilalla nahisi ni pandikizi la Yahudi....
Cha kuongezea ni kwamba Toka vita ianze Hizbullah imeshapoteza wanamgambo zaid ya 300 na hapo vita haijaanza rasmi.Huyo ni kamanda wa kawaida kijana,acha kuropoka.
Kiongozi mkuu ni HASSAN NASRALLAH.
Tokea October 8 Hizbollah imepoteza makamanda 20 na bado wanapambana.
Hao akifa kiongozi basi mori ya kisasi inapanda zaidi.
Hizbollah sio Hamas,wao wana silaha sawa na Israel.
Una habari kama IDF imepoteza zaidi ya wanajeshi 500 na majeruhi ambao wengi wao ni walemavu wa kudumu takriban 5k!?Cha kuongezea ni kwamba Toka vita ianze Hizbullah imeshapoteza wanamgambo zaid ya 300 na hapo vita haijaanza rasmi.
Hizbullah tuko na nyinyi mpaka nyote muishe
Kamanda ngazi ya juu IDF kawahishwa mbinguni na makombora ya hizbu leoCha kuongezea ni kwamba Toka vita ianze Hizbullah imeshapoteza wanamgambo zaid ya 300 na hapo vita haijaanza rasmi.
Hizbullah tuko na nyinyi mpaka nyote muishe
Ni zaidi ya 500. Hezbollah wanapukutikaCha kuongezea ni kwamba Toka vita ianze Hizbullah imeshapoteza wanamgambo zaid ya 300 na hapo vita haijaanza rasmi.
Hizbullah tuko na nyinyi mpaka nyote muishe