Shambulio la Israel lamuua kamanda mkuu wa Hezbollah nchini Lebanon

Umekuwa msemaji wa hezbollah?
 
Duuh!; Yahudi Si mchezo!🙄
Yaani mabomu yanawalenga Makamanda Wakuu tu!
Halafu wanajuajd mahali walipo??
Huyu Nasilalla nahisi ni pandikizi la Yahudi....
Pesa (itakuwa kuna dau watu wanalipwa waseme flan yupo wapi), intelijensia na teknolojia
 
Cha kuongezea ni kwamba Toka vita ianze Hizbullah imeshapoteza wanamgambo zaid ya 300 na hapo vita haijaanza rasmi.

Hizbullah tuko na nyinyi mpaka nyote muishe
 
Cha kuongezea ni kwamba Toka vita ianze Hizbullah imeshapoteza wanamgambo zaid ya 300 na hapo vita haijaanza rasmi.

Hizbullah tuko na nyinyi mpaka nyote muishe
Una habari kama IDF imepoteza zaidi ya wanajeshi 500 na majeruhi ambao wengi wao ni walemavu wa kudumu takriban 5k!?
Jiulize vita kamili ikianza itakuaje.
 
Cha kuongezea ni kwamba Toka vita ianze Hizbullah imeshapoteza wanamgambo zaid ya 300 na hapo vita haijaanza rasmi.

Hizbullah tuko na nyinyi mpaka nyote muishe
Kamanda ngazi ya juu IDF kawahishwa mbinguni na makombora ya hizbu leo
 
Cha kuongezea ni kwamba Toka vita ianze Hizbullah imeshapoteza wanamgambo zaid ya 300 na hapo vita haijaanza rasmi.

Hizbullah tuko na nyinyi mpaka nyote muishe
Ni zaidi ya 500. Hezbollah wanapukutika
 

Attachments

  • IMG_4964.jpeg
    374.3 KB · Views: 5
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…