Shambulio la Kigaidi Ferry Likoni: Kenya yaponea chupu chupu

Shambulio la Kigaidi Ferry Likoni: Kenya yaponea chupu chupu

Kafrican

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2015
Posts
7,251
Reaction score
7,037
Kenya imeponea shambulio lengine la kigaidi baada ya kikosi cha Anti-Terror ATPU kushika washukiwa wawili kabla ya kuingia kivukio vha Ferry pale likoni , Washukiwa hao wawili walikua ndani ya gari aina ya probox numbari ya usajili KCE 695U.

Tukio hilo la kushika hao washukiwa lilikua la kushangaza wakaazi ambao mwanzo walifikiri ni jaribio (training) kumbe ndo maisha yao yalikua yanaokolewa manake washukiwa hao kama hawangeshikwa ingekua stori tofauti..

Tazama video


Inasemekana infomation iliopeleka kushikwa kwa hili gari na washukiwa wake ilitoka kwa mkenya alierudi kutoka Somalia baada kuenda huko kujiunga na alshabaab...
Kwenye oparesheni hio iliofanywa na ATPU pia kulionekana komando mmoja wa kutoka kikosi maalum cha NIS (Intelligence) akiwa na vazi la brown, ambaye ndo inasemekana alikuja na hio infomation na kuwapatia ATPU ndo oparesheni ifanyike kwa dharura bila kupoteza wakati...


Kwenye buti la gari kulipatikana AK-47 mbili zikiwa zimefichwa vizuri, mimi nashuku jamaa walikua wanalenga hoteli za huko South Coast manake kumekua na watalii wengii walioingia Kenya tangu mwezi uanze, alafu bunduki zenyewe zilikua zimefichwa kwa buti kwahivyo sidhani kama shambulio ilikua lifanyike hapo kivukoni au kwenye ferry manake wangepatikana kama tayari wameshazishikilia mkononi tayari kwa mashambulio... Lakini hata hivyo, tushukuru kwa washukiwa hawa wawili kuzuliwa kufanya chochote walichokua wamekipangia!


E9eRl0NWEAUZ3Fb.jpg

TERRORISTS.png


E9eRlRqXsAQT8oW.jpg
E9eRmTKWEAcySWb.jpg





Hii ni taarifa ambayo bado haijaripotiwa vizuri, habari tulizopata ni za kutoka kwa watu binafsi, Kwahivyo baadae kukitollewa habari rasmi kwa vyombo vya habari vinavyotambulika ama serekali yenyewe basi ntaileta hapa ili tupate habari kamili.
 
Kenya imeponea shambulio lengine la kigaidi baada ya kikosi cha Anti-Terror ATPU kushika washukiwa wawili kabla ya kuingia kivukio vha Ferry pale likoni , Washukiwa hao wawili walikua ndani ya gari aina ya probox numbari ya usajili KCE 695U.

Tukio hilo la kushika hao washukiwa lilikua la kushangaza wakaazi ambao mwanzo walifikiri ni jaribio (training) kumbe ndo maisha yao yalikua yanaokolewa manake washukiwa hao kama hawangeshikwa ingekua stori tofauti..

Tazama video


Inasemekana infomation iliopeleka kushikwa kwa hili gari na washukiwa wake ilitoka kwa mkenya alierudi kutoka Somalia baada kuenda huko kujiunga na alshabaab...
Kwenye oparesheni hio iliofanywa na ATPU pia kulionekana komando mmoja wa kutoka kikosi maalum cha NIS (Intelligence) akiwa na vazi la brown, ambaye ndo inasemekana alikuja na hio infomation na kuwapatia ATPU ndo oparesheni ifanyike kwa dharura bila kupoteza wakati...


Kwenye buti la gari kulipatikana AK-47 mbili zikiwa zimefichwa vizuri, mimi nashuku jamaa walikua wanalenga hoteli za huko South Coast manake kumekua na watalii wengii walioingia Kenya tangu mwezi uanze, alafu bunduki zenyewe zilikua zimefichwa kwa buti kwahivyo sidhani kama shambulio ilikua lifanyike hapo kivukoni au kwenye ferry manake wangepatikana kama tayari wameshazishikilia mkononi tayari kwa mashambulio... Lakini hata hivyo, tushukuru kwa washukiwa hawa wawili kuzuliwa kufanya chochote walichokua wamekipangia!


View attachment 1905024
View attachment 1905027

View attachment 1905030View attachment 1905031




Hii ni taarifa ambayo bado haijaripotiwa vizuri, habari tulizopata ni za kutoka kwa watu binafsi, Kwahivyo baadae kukitollewa habari rasmi kwa vyombo vya habari vinavyotambulika ama serekali yenyewe basi ntaileta hapa ili tupate habari kamili.

Mbona hatuwaoni magaidi wakitolewa kwa gari
 
Hongera sana kwa maafisa wa usalama wa taifa, ikumbukwe kila siku tunapolala kwa amani kuna ndugu zetu hukesha wakipambana dhidi ya maovu yanayopangwa kwa ajili yetu.
 

Same to this..inaitwa drill

Nnimekuchukia sana baada ya kuandika umavi huu. Kama hujui kitu funga shimo hilo. Naomba binti yako wa miaka mitatu aendelee kumpiga na kumuuma mke wako kama ulivyoripoti hapa.
 
Taarifa imetjibitishwa, magaidi Hawa wamepatikana na makaratasi yanayoonyesha walikua wanapanga kushambulia Naivas Mall iliopo Nyali Mombasa
Thank God for the informant. Some of these informants can actually be useful in protecting our country.
 
Kenya imeponea shambulio lengine la kigaidi baada ya kikosi cha Anti-Terror ATPU kushika washukiwa wawili kabla ya kuingia kivukio vha Ferry pale likoni , Washukiwa hao wawili walikua ndani ya gari aina ya probox numbari ya usajili KCE 695U.

Tukio hilo la kushika hao washukiwa lilikua la kushangaza wakaazi ambao mwanzo walifikiri ni jaribio (training) kumbe ndo maisha yao yalikua yanaokolewa manake washukiwa hao kama hawangeshikwa ingekua stori tofauti..

Tazama video


Inasemekana infomation iliopeleka kushikwa kwa hili gari na washukiwa wake ilitoka kwa mkenya alierudi kutoka Somalia baada kuenda huko kujiunga na alshabaab...
Kwenye oparesheni hio iliofanywa na ATPU pia kulionekana komando mmoja wa kutoka kikosi maalum cha NIS (Intelligence) akiwa na vazi la brown, ambaye ndo inasemekana alikuja na hio infomation na kuwapatia ATPU ndo oparesheni ifanyike kwa dharura bila kupoteza wakati...


Kwenye buti la gari kulipatikana AK-47 mbili zikiwa zimefichwa vizuri, mimi nashuku jamaa walikua wanalenga hoteli za huko South Coast manake kumekua na watalii wengii walioingia Kenya tangu mwezi uanze, alafu bunduki zenyewe zilikua zimefichwa kwa buti kwahivyo sidhani kama shambulio ilikua lifanyike hapo kivukoni au kwenye ferry manake wangepatikana kama tayari wameshazishikilia mkononi tayari kwa mashambulio... Lakini hata hivyo, tushukuru kwa washukiwa hawa wawili kuzuliwa kufanya chochote walichokua wamekipangia!


View attachment 1905024
View attachment 1905027

View attachment 1905030View attachment 1905031




Hii ni taarifa ambayo bado haijaripotiwa vizuri, habari tulizopata ni za kutoka kwa watu binafsi, Kwahivyo baadae kukitollewa habari rasmi kwa vyombo vya habari vinavyotambulika ama serekali yenyewe basi ntaileta hapa ili tupate habari kamili.

Crazy thing is that these terrorists were Kenyans coming from DR Congo. That means that we should not just focus on Somalia but on all our destabilised neighbours as a source of threat from Congo, to South Sudan to Somalia to Mozambique. Right now any Kenyan coming from Mozambique should be scrutinized carefully.
 
Back
Top Bottom