Shambulio la Kigaidi Ferry Likoni: Kenya yaponea chupu chupu

Shambulio la Kigaidi Ferry Likoni: Kenya yaponea chupu chupu

Crazy thing is that these terrorists were Kenyans coming from DR Congo. That means that we should not just focus on Somalia but on all our destabilised neighbours as a source of threat from Congo, to South Sudan to Somalia to Mozambique. Right now any Kenyan coming from Mozambique should be scrutinized carefully.
Wameingia Kenya kupitia mpaka wa Lunga Lunga, Hii inamaanisha walipitia ndani ya Tz na hawakushikwa. Intelligence ya Tz ilikua wapi?
 
Hakikisheni hawa wanachemshwa supu kabisa, hawa hawana haja ya kuwapeleka mahakamani.
Mi siamini mfumo huo wa kupambana na magaidi, Kwa mfano hawa wameshikwa na kikosi spesheli ambacho kimepewa mafunzo ya hali ya juu na wanajua wanachofanya, yani hua hawabahatishi, lakini wale polisi wa kawaida kazi yao kubahatisha, sometimes wanashuku mtu ni gaidi badala ya kuchunguza wanakungojea ukiwa pekyako na kukukamata na hautaonekana tena hata kama walikua hawajapata ushahidi wa kutosha...
Kwenye kupambana na Ugaidi unafaa ujue, Violence leads to more violence, Polisi kuua mtu kwa kumshuku ni gaidi bila kufwata sheria, familia yake, kaka zake, marafiki, jirani, msikiti anapoenda, watu wote hao umewatia chuki na hasira, kilichobaki tu ni sheikh ambaye ana itikadi kali za kidini kuchochea hio jamii kulipiza kisasi au kujiunga na ugaidi.....
Tunafaa tuingize utaalam zaidi ili tuweze kupambana na kesi za kigaidi vizuri zaidi hadi iwe tunaweza kushika mtu, kumshtaki na miezi sita baadae jamaa anahukumiwa..... Baada ya hapo tunaweza hata kutumia ile sheria ambayo haijawahi tekelezwa tangu 1985 ya kunyonga mtu anayehukumiwa kifo..... Mtindo huu wa kufywata sheria ndo utaleta utulivu kwa jamii, lakini mambo ya kuchemsha supu mwishowe tutajipata tunapigana vita vya kidini, Hebu angalia yanayotendeka kule afghanistan, Baada ya marekani kuua zaidi ya Taliban 10,000 ndani ya miaka ishirini, Taliban wa leo ni wengi kuliko wale walioanza vita, Kadri marekani inavyowaua kiholela ndo walikua kaka,dada,jomba na majirani wa alie uliwa wanajiunga na taliban...
 
Bado kuna watu wa roho mbaya na chuki humu nawaona, ni kana kwamba walitaka watu wauwawe hapa Kenya ili waje kukejeli ama isikue ni ukweli magaidi wamekamatwa, iwe tu ni drill.., mazuri ya Kenya kwao maumivu mno! Watanzania badilikeni jameni.
 
Nnimekuchukia sana baada ya kuandika umavi huu. Kama hujui kitu funga shimo hilo. Naomba binti yako wa miaka mitatu aendelee kumpiga na kumuuma mke wako kama ulivyoripoti hapa.
Acha ujinga wewe Kichwa maji
 
Back
Top Bottom