Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana

Hizi zote ni hadithi za kufikirika tu. Hadi leo hakuna uthibitisho wa nani hasa alihusika na tukio hilo ovu na la kishetani.

In the long run itajulikana tu, picha zipo za satellite data base!!! ziko very clear, google siku hizi linanasa kila kitu kwa kutumia mitambo ya satalite! Kwa hiyo msiwe na hofu kila kitu kitakuwa hadharani wakati muafaka! Dunia ni ndogo saaaaaaaaaaaaaaaaana mbele ya technologia za sasa!
 
Watajulikana tu hata baada ya miaka 10 'There is no Secrete under the Sun they will confess before God'
 
Mkuu Chakaza, nisome hapa taratibu, niliwahi kuzungumzia hili.
P.
 
Naona umewataja taja mara nyingi watu wasiojulikana hadi wamejulikana.
Kisanduku ndiyo alikwenda Dodoma na Nissan nyeupe ile gari ya nyuma alikuwemo Le mutuz na wenzake ambao walitoa Amri ya papara kwa mpiga Risasi, akapiga kwa papara huku wakisepa faster wasijulikane, wakiletwa FBI wakawahoji hao wawili watapata jawabu pasipo hata kufika Eneo la Tukio lenyewe.
 
Hii issue ya hawa wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu, bado inasumbua.
P
Wanajulikana sana kwa sasa ingawa ni vigumu kuwakamata kutokana na kulindwa na wale waliowatuma kule Dodoma na wengine sasa wamehamia kwa waganga wa kienyeji baada ya kusikia Lisu anakaribia kurejea nchini hivi karibuni.
 
Naomba nikapumzike!!
 
Hivi zile cctv nazo kuondolewa bado mtu unaweza kusema hili tukio lilifanywa na watu wa ndani ya cdm. ?
 
Naona mipasho na porojo za vibarazani uswahilini tu.Waliofanya tukio hilo wanajulikana na ndio hao walioondoa CCTV eneo la tukio na ndio hao waliohakikisha kuwa walinzi wrote wanaondolewa siku hiyo
 

"Wangekuwa na akili hawa waandishi wetu wangeuliza aina ya sumu (chemical composition) aliyopewa".

Wasingeweza kuhoji kwa sababu ya ukanjanja wao.
 
Naona mipasho na porojo za vibarazani uswahilini tu.Waliofanya tukio hilo wanajulikana na ndio hao walioondoa CCTV eneo la tukio na ndio hao waliohakikisha kuwa walinzi wrote wanaondolewa siku hiyo
Walinzi wa Getini na aliyekuwa akiangalia cctv hawajawahi kuhojiwa ni ajabu ya Duniani kote, cha kushangaza wamekalia kusema wanamtaka dereva wa Lisu ili waende kumtesa au wafanye vyovyote apate kuleta uzushi mwingine wakwepe lawaza dhidi yao, aliyewatoa walinzi ama kuwazuia kukabiliana na tukio ni mmojawapo wa wapanga njama hizo.
 
"Wangekuwa na akili hawa waandishi wetu wangeuliza aina ya sumu (chemical composition) aliyopewa".

Wasingeweza kuhoji kwa sababu ya ukanjanja wao.
Pia wahoji CCTV za kule Dodoma zipo wapi? na ni kwa nini Ziliondolewa? na nina alitoa amri ya kuziondoa? na pia ni kwa nini walinzi wa Getini waliacha Geti wazi na kujificha pasipo kujihami wakati walikuwa na bunduki? Wakiletwa FBI au Scotland’ yard ni mda mchache watautumia kutoa jawabu la kila kitu,
 
Hizi zote ni hadithi za kufikirika tu. Hadi leo hakuna uthibitisho wa nani hasa alihusika na tukio hilo ovu na la kishetani.
Aliyeondoa CCTV na kuwazuia walinzi kujihami na shambulizi ndiyo huyo huyo aliyeshiriki kupanga na kutekeleza Tukio lote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…