Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana

Haya sasa kazi ya kuwatambua wasiojulikana kupitia kwa karma inaanza taratibu, Marekani imeanza kuwasaidia!, tunaianza safari mdogo mdogo mwisho wa siku, wasiojulikana watajulikana tuu!.
P

Naona uliyaona haya 2017 na hayakufanyiwa kazi anyway kule kwenu ziwani au kwenye mto Simiyu ukitaka kuvua samaki wadogo unaenda kuchimba minyoo midogo na kuiweka kwenye ndoano na ukitaka kukamata samaki wakubwa kama Sangara basi unatumia samaki mdogo kama chambo yako
 
Hili ni vizuri kuachia hapa kwasababu whoever who was behind shooting ya Tundu Lissu ni shetani kabisa, the devil in human flesh, mimi siamini tunaye shetani wa aina hii, ila kwa vile sio kila kinachofanywa na serikali lazima kiripotiwe kwenye media hivyo mimi ninaamini 100% chini ya 100% serikali imechunguza, zile CCTV ni nyumba ya Kalemani ila sio CCTV za serikali, naamini hadi Mzee atakuwa ameulizia, na uchunguzi umekwama kutokana na kukosekana mashahidi wawili wakuu ambao ni muhimu sana. Endapo kugetokea fatality kazi ingekuwa well done, by now file lingeisha fungwa, lakini kwasababu mashahidi wapo, wanasubiriwa wahojiwe ndipo uchunguzi uendelee.
P
 
Do not try to downplay UNYAMA aliofanyiwa. Kuna watu wamekufa kwa kupigwa risasi moja, sembuse 16 alizopigwa TL?
Mkuu Joka Kuu, kwanza ni kweli Tundu Lissu amefanyiwa tukio la kinyama, na hakuna binaadam yoyote mwenye utu na ubiadamu anaweza kufurahia tukio lile, tena naamini by now hata waliopanga na kutekeleza wanajuta, hivyo hakuna yoyote anaye try to Downplay, bali kwa vile mpaka sasa waliopanga na kutekeleza tukio lile ni watu wasiojulikana, zinatengenezwa postulates nyingi ili kuzitungia theory na kuzitafutia proof, sasa kwa vile moja ya theory hizo, waliofanya tukio hilo ni ma pro, hiyu jamaa yeye ni pro, anasema tukio hilo sio kazi ya ma amateurs ndio maana imelipuliwa, na wewe unasema they could be pro, you both might be right or wrong, kitu muhimu ni nawashukuru kwa hoja zenu na haswa uwezo wa ujengaji hoja na kuitetea hoja yako.

Mimi kwa upande wangu, wasiojulikana hawa niliisha wabaini siku nyingi na kuwaelezea humu
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums
Hapa kwenye bandiko hili ni just the role of dereva wa Lissu, was he part and parcel or not, jibu litapatikana soon Lissu ameomba kurejea, tumsubirie
P
 
Mkuu Gerald Magembe, asante kwa hii. Sisi watu wa fani ya uandishi wa habari, tunaangukia katika kundi la waelimishaji umma, hivyo tunapokutana na wabishi wa humu, tunawatumia kana fursa kwa kuutumia ubishi wao kuelimishia umma.
Kwenye hili la ngozi, ni kweli nina ngozi ngumu.
Asante.
P
 
Mkuu Konyola, nimekuleta huku kwasababu umewaombea Corona hawa wasiojulikana.
Kwa vile ni watu wasiojulikana, hata wakisombwa na Corona, hakuna atakayejua, ila tusiwaombee watu wafe kwa Corona kwa kuwahisi tuu bila ushahidi, karma inaweza kukugeuzia kibao.

Mfano ni kweli Tundu Lissu ameshambuliwa na watu wasiojulikana, kisha Mkuu Konyola akaombea shetani Corona awakusanye na kuwapeleka moja moja kwa mkuu wao Lucifer kule kwenye makao yao ya milele ya jahanum ya ziwa la moto wa milele, hii ni sawa ni ombi halali kwasababu Tundu Lissu ameshambuliwa kweli na waliopanga na waliotekeleza ushetani ule ni mashetani kabisa hivyo kuwaombea vifo ni halali kabisa na hili na mimi naliunga mkono.

Lakini ikitokea wewe Mkuu Konyola, kwavile mimi Paskali nimetofautiana na Tundu Lissu mahali, hivyo Tundu Lissu aliposhambuliwa, wewe Konyola bila ushahidi wowote ukahisi nitakuwa ni mimi kwasababu tulitofautiana na Tundu Lissu mahali, hivyo sasa unaniombea mimi Paskali ndio nife kwa Corona, ikitokea ni kweli mimi nilihusika, then naombi yako yatajibiwa na Corona itakula kichwa!, Lakini ikitokea sio mimi wala sihusiki na shambulio la Lissu, kitendo cha wewe Mkuu Konyola kuniombea nife kwa Corona, itakuwa ni ushetani, na kupitia kanuni ya karma, ombi lako hilo linaweza kujibiwa kwa kanuni ya 3 ya Newton's Laws of motion ile ya every motion there is equal and opposite reaction, hivyo ombi hilo likakugeikia.

Mungu kupitia kwa Bwana wetu Yesu Kristo alitufunza tusihukumu, tusije kuhukumiwa, hivyo wasiojulikana waliomshambulia Lissu, maadam hawajulikani na Mungu anajua kila kitu, mwachie Mungu.

P
 
Duh...!.
Hii ni hatari sana!.
Hata shambulio hili la Mhe. Mbowe, limefanywa na watu wasiojulikana.
Pole sana Mhe. Mbowe,
Get well soon.
P
 
Wanabodi, hiki nilichokisema hapa, sasa kimesemwa rasmi hapa
Uchaguzi 2020 - Samia Suluhu Hassan: Askari wa serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Hivyo shambulio hili ni an inside job iliofanywa na amateurs!.
P
 
Wanabodi, hiki nilichokisema hapa, sasa kimesemwa rasmi hapa
Uchaguzi 2020 - Samia Suluhu Hassan: Askari wa serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Hivyo shambulio hili ni an inside job iliofanywa na amateurs!.
P

Pascal,
Listen this good and clear.
Naskitika sana kwa Mama Samia Suluhu kwa kujiingiza kwene sakata hili tena wakti huu wa Kampeni za Urais na mbaya zaidi victim wa SHAMBULIO hili ni mgombea wa Urais...!!!
Briefly Mgombea mwenza wa CCM upande wa Urais amefanya a very grave mistake. Kwamba ameanza kujibu mapigo ya hoja za kushambuliwa kwa Lissu wakti huu wa Kampeni! Kiukweli Lissu ataiumbua CCM, Magufuli na Samia mapema mno.
Tayari Lissu anahoji kwa Samia kuwa kumbe ni kweli WASIOJULIKANA (ASKARI)wanatumia RISASI 3 TU KUUA basi ndio WAHUSIKA...!!!

Hawa unaowaita mapro they're human beings, they can miss the target as well! Ndiyo kilichotokea kwa SHAMBULIO la Tundu Lissu. Lakini pia lazima ujue kuwa kuna silaha Kama SMG,LMG na AK-47 ambazo hupiga risasi kwa mtindo wa "BURST" au mlipuko(kutoka risasi nyingi kwa mara moja).
Ndiyo maana risasi zilixompiga Mhe. Lissu zilikuwa takribani 38!

Mwisho nataka mjue wewe,Samia, Magufuli na CCM kuwa katika JARIBIO la KUUA Kuna Mungu pia anayeweza KURUHUSU au KUZUIA.
Leo Lissu Yuko hai kwa UWEZO WA MWENYE ENZI MUNGU. Nakumbuka kauli ya Madaktari wa Nairobi walomtibu Lissu wakti wakimhudumia walisema WALIKUWA WAKITIBU MUUJIZA WA LISSU. Kwa kawaida mtu akishapoteza DAMU kiasi Cha 80% ni KIFO! Leo Mhe. Tundu Antipas LISSU yuko "LIVE" a.k.a MUBASHARA akikabiliana uso kwa na maadui zake!
Huu ni MUUJIZA kwa Lissu, Tanzania na Dunia nzima.
Yawezekana muujiza huu was kuokoka Lissu ni mpango mahsusi kwa Watanzania.
Stay tuned come 28 October, 2020.
 
Waliomshambulia Lissu ni watu wasiojulikana.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…