Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana

Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana

Wanabodi,
Tangu kutokea kwa shambulizi kwa Tundu Lissu, ambalo mpaka sasa linaelezewa kufanywa na watu wasiojulikana, kumeibuka shauku kubwa ya kuwabaini hawa watu wanaoitwa kuwa ni watu wasiojulikana huku zikijengwa dhana mbalimbali kuhusiana na wasiojulikana hawa, hadi kufikia kuwanyooshea vidole baadhi ya watu, wakiwemo wale "jamaa" zetu.

Kufuatia taarifa nyingi za watu wasiojulikana kuhusika kwenye baadhi ya matukio na Jeshi letu la polisi ndio mamlaka rasmi ya kufanya uchunguzi na mara zote hutoa taarifa kuhusu kuhusika kwa wasiojulikana ambao mwisho wa siku hubakia hivyo hivyo kuwa wahusika wa tukio fulani ni watu wasiojulikana, kumbe sometimes sii kweli kuwa wahusika ni watu wasiojulikana, sometimes wahusika wa matukio hayo sio watu wasiojulikana bali ni watu 'wasiojulikana'.

Hivyo hili ni bandiko la kuwahusu watu wasiojulikana ambao mwisho wa siku baada ya uchunguzi wa kipolisi, watajulikana, lakini pia kuna mashambulio yanayofanywa na watu 'wasiojulikana', ambao kamwe hawatajulikana!.
Haswa pale ambapo 'wasiojulikana' ni wale "Jamaa Zetu"!.

Hebu fuatilia jinsi " Hawa Jamaa" wanavyotekeleza mashambulizi na mauaji.

1. Kuna kiongozi mmoja mkubwa serikalini anayesemekana alikufa kwa ajali ya gari, ila mwili wake ulikutwa na majeraha ya kitu fulani, inasemekana
ni wale jamaa.
2. Aliyekuwa Waziri wa Fedha wa Mwinyi, Kighoma Malima alipo defect kutoka CCM na kujiunga na NRA, aliugua ghafla na kupoteza maisha. Inasemekana ni wale jamaa.
3. Horace Kolimba akiwa CCM high ranking oficer, aliposema CCM imepoteza Dira na Haina Mwelekeo, alipoteza Marsha kwa kuugua ghafla. Ikasemekana ni "wale jamaa"
4. Kiongozi mwingine mkubwa wa serikali alifariki ghafla kwa ugonjwa baada ya tuu ya kukamilisha ziara ya kutembelea maonyesho ya Saba Saba, mmoja wa hao "jamaa" akajiunga jf na kutueleza kila kitu kuhusu madudu yao humu.
5. Tukio la kutekwa kwa Dr. Ulimboka, Absolom Kibanda, Roma Mkatoliki, Mwandishi wa habari wa DW, Salma Said, na kupotea kwa mwana jf maarufu Ben Saanane, pia kukihusishwa na "wale Jamaa" wasiojulikana.

6. Tukio la Uvamizi wa Kituo cha TV cha Clouds TV kilichofanywa na DAB, a.k.a PCM, wale makirikiri wenye silaha wanasemekana ni "wale James" na walitumia Nissan Nyeupe!.

7. Yule mpuuzi aliyemnyooshea Nape bastola, anajulikana kwa sura katika media zote, na alikuja kwa kutumia gari Nissan Nyeupe, naye anaelezewa kuwa ni mtu asiyejulikana!. Taarifa za chini chini zinaeleza huyu jamaa ni miongoni mwa "wale jamaa".

8. Huyu Blogger wa Kenya amesema haya kwenye mitandao ya kijamii, hadi akataja majina ya wahusika na magari yaliyohusika ikiwemo hiyo Nissan Nyeupe na sijasikia yoyote akikanusha hata serikali yetu kukanusha.
Hii inapelekea mimi kujiuliza maswali haya.
  1. Kama wahusika wa Tukio la shambulio la Tundu Lissu, ni "wale jamaa", kwa vile wale ni ma pro, and they have never missed the target, kama ni kweli ni wao, how could they missed the target?. Hawa watakuwa sio wale!, na kama ni wale, saa hizi tungekuwa tunazungumza mengine!.
  2. Kama they have 100 ways to do elimination in a good way, natural death, accidents, or any clean job and nobody would've suspected anything, why do such a dirty job?.
  3. Was Tundu Lissu such a threat to status quo ya yule boss wao?, kama kuna defectors very high rankings wame cross na wamejizolea kura nyingi kuliko zilizomuingiza Kikwete madarakani ile 2010, hawa ndio the real threat!, kwa nini hawa wasiwe targeted?. Why Lissu?.
  4. What
  5. Kama kuna chama viongozi wake waliwahi kutuhumiwa kupanga vitendo vya ugaidi na utekaji na video zikaletwa humu, hawawezi kuwa ndio wao waliopanga mpango huo?, kwa kufanya timing ya Dodoma ili wadhaniwe ni "wale jamaa?".
  6. Kama Wangwe alipotaka kugombea uenyekiti alikufa kwa ajali yenye utata mpaka kesho, na huu ni mwaka wa uchaguzi wa ndani, haiwezekani ika ni friendly fires?.
  7. Kama Zitto alipotaka kugombea alifanyiwa life atempt kwa sumu, lakini kwa vile ameaga kwao, akasalimika, haiwezekani na Lissu pia ameaga kwao?.
  8. Kama Mlinzi wa Dr. Alas alishughulikiwa vile, then haiwezekani hii sasa ndio advanced methods za kudeal na the internal threats zao?.
Conclusion Kuwahusu hawa Watu Wasiojulikana acording to the motive behind the shooting.
1. Kama the motive behind shooting ya Lissu ni kwa sababu he is jvery vocal hivyo kuonekana ni mwiba, then hawa wanaoitwa ni wasiojulikana, kiukweli sio watakuwa ni "wale jamaa", kama ni "wale jamaa", then hawa sio watu wasiojulikana, hawa ni watu 'wasiojulikana', kama yule mpuuzi aliyemshikia Nape bastola ni mtu 'asiyejulikana' na mpaka leo hajulikani na kamwe hatajulikana, and if this being the case, then watu hawa hawatajulikana kabisa, hata yule aliyetajwa na blogger wa Kenya, pia ni mtu 'asiyejulikana'. Ila hukumu ya karma itawahusu.

2. Kama the motive wasiojulikana hawa ni partly politics ya siasa za ndani na run of kuelekea 2020, then polisi waendelee na uchunguzi, soon watasalitiana na tutawabaini na watu wa tabaki midomo wazi kwa kutoamini.

3. Lakini kama the motive behind wasiojulikana hawa ni hawa wezi wa rasilimali zetu, na lengo lao ni kutufarakanisha na kutuhamisha kwenye hoja ya rasilimali zetu, ili tusahau makinikia, Tanzanite, Dhahabu, Almasi na Gesi, then, hawa sisi as sisi, hatuna uwezo wa kuwabaini bila msaada wa Scotland Yard, ila, tayari, tumeisha wastukia, hatuta farakana,, tutasimama firm, and under th e united front. Kama lengo ni tufarakane, tukifarakana, tutakuwa tumewapa walichokitaka, tusikubali kufarakana, tushikamane as one

We Wish TL To Get Well Soon.

Paskali
They have made us Stronger and united than ever
 
Ukweli lazima tuseme CHADEMA they are behind this well planned na mwenyekiti na mwenye chama THUS WHY kila siku tunasema humu FAMILIA ya LISSU they are should be more close na ndugu yao kuliko hao kina mbowe...WASIWAAMINI KABSA
Watu vwa EAGLE kamwe hawezi kupiga risasi kizembe hivyo na kama kweli wangekuwa ni wao lazima wangeakikisha LISSU kapotea kabsa kwenye USO WA DUNIA hiyo ndio one of the principles za watu wa EAGLE.....

Afu suspect mwingne ambaye naweza amini kabsa anaweza kuwa BEHIND this ni hawa CUF MAALIM...tuna wasahau sana hawa jamaa......na wao the only option ya kupambana na SERIKALI YA CCM ni kutengeneza matukio ya namna hii
Ukweli kwa mujibu wa ujinga wako, siyo? Nani alikuambia hao watu wako wa EAGLE ni wataalamu mno kwenye shabaha? Ulivyo mjinga unajifanya kusahau kwamba yule EAGLE wako aliyemtisha Nape kwa bastola ali behave kiwango cha chini sana kiasi cha kutilia shaka utendaji wa jumla wa hao EAGLE wako. Kwanini kama una akili usifikiri kuwa EAGLE wanaweza pia kutenda, kwa makusudi, kwa namna ambayo wajinga kama wewe muwe wepesi wa kuwaondoa katika kuwahusisha? Ripoti za karibuni kabisa zinaeleza kuwa katika kipindi cha mwaka mmoja hapa nchini kumekuwa na ongezeko la wagonjwa wa akili kutoka laki sita hadi laki saba, haitashangaza kama nawe ni miongoni mwa hao laki moja!
 
Kweli kabisa hapo hata wale wanaojulikana wanaweza kutumia kivuli cha wasiojulikana kutimiza malengo yao ili jumba bovu liwaangukie wale jamaa....ama yoyote kati ya hao uliowataja wanaweza kuwa ni wahusika...ila pia inawezekana kukawa na watu wenye chuki tu na mheshimiwa nao wakataka kutumia kivuli cha wale jamaa.
 
Wale jamaa did a dirty work so as to send a message to every activist wannabe! That is how drug dears and gangs roll.

Kuhusu kutommaliza Lissu, hayo ni maajabu ya Mungu. Only one in a million would survive such a rain of bullets. Tena those guys are not that clinical, they were caught napping when Kibiti hell broke loose. Tunashukuru ya Kibiti yameisha, ila yametusaidia kujua kwamba wanatumia resources nyingi kujua ya chadema na CUF kuliko kujikita ktk miji ambayo ni hotspots za ugaidi.
 
Nnape ambaye ni kuni mbichi alichomolewa bastola hadharani mbele ya kamera kwasababu ilionekana atakayoyasema yatamu-undermine mkuu, sasa kwa TL ambaye ni kuni kavu mnategemea nin?

Kuhusu uchaguzi wa chadema wa ndani, hiyo ni motive kwa wasiomjua Lissu. Lissu sio powermonger kama Zitto, cheo chochote atakachopata ndani ya chama kitakuwa cha kupewa. Ikumbukwe amefanya kazi kwa miezi kadhaa kumtetea Chacha Wangwe mpaka Mbowe akajua jamaa ni mwanachama wa chadema, kumbe bado alikuwa na kadi ya Nccr mageuzi. Raha ya Lissu ipo ktk kutetea wanyonge, sio ktk madaraka. Na hata angetaka uongozi angepata au angepewa bila kinyongo maana sio kibaraka wala msaliti.
 
Ukweli lazima tuseme CHADEMA they are behind this well planned na mwenyekiti na mwenye chama THUS WHY kila siku tunasema humu FAMILIA ya LISSU they are should be more close na ndugu yao kuliko hao kina mbowe...WASIWAAMINI KABSA
Watu vwa EAGLE kamwe hawezi kupiga risasi kizembe hivyo na kama kweli wangekuwa ni wao lazima wangeakikisha LISSU kapotea kabsa kwenye USO WA DUNIA hiyo ndio one of the principles za watu wa EAGLE.....

Afu suspect mwingne ambaye naweza amini kabsa anaweza kuwa BEHIND this ni hawa CUF MAALIM...tuna wasahau sana hawa jamaa......na wao the only option ya kupambana na SERIKALI YA CCM ni kutengeneza matukio ya namna hii
Inaonekana leo umejisaidia bila kuchamba na kama umechamba basi wewe ni kichamba-mavi!!!
 
Kuhusu Zitto kupewa sumu, mimi nawalaumu waandishi wetu wa habari na akili zao fupi kama mkia wa nguruwe. Zitto aliugua akiwa ktk kikao cha chama bagamoyo kama sikosei. Akaugua tumbo akalazwa agha Khan. Taarifa ya madaktari ikasema tatizo la Zitto ni 'food poisoning'.

Makanjanja wetu walivyoona neno poisoning wakajua maana yake amepewa sumu. Kimsingi food poisoning ni kuchafuka kwa tumbo. Kunatokea ukila chakula kichafu au ukila chakula halafu kikachacha tumboni kutokana na kuchelewa kumeng'enywa. Ni mwendo wa kuhara. Ni nan hajawahi kuchafuka tumbo?

Kitu cha kusikitisha tafsiri ya kupewa sumu ilitolewa na gazeti la Mwananchi ukurasa wa kwanza, gazeti kubwa kuliko yote Tanzania kwa market share. Sishangai mkuu Pasco kuendeleza hii stori inayotokana na tafsiri ya uongo ya food poisoning. Wangekuwa na akili hawa waandishi wetu wangeuliza aina ya sumu (chemical composition) aliyopewa. Zitto nae alivyo mjanja na Mafia wa siasa akaitumia fursa hizo kupata sympathy approval.

Kama chadema ina historia ya kuua viongozi wake basi wachunguzwe, washtakiwe na wafungwe. La sivyo ni propaganda tu.
 
Wanabodi,
Tangu kutokea kwa shambulizi kwa Tundu Lissu, ambalo mpaka sasa linaelezewa kufanywa na watu wasiojulikana, kumeibuka shauku kubwa ya kuwabaini hawa watu wanaoitwa kuwa ni watu wasiojulikana huku zikijengwa dhana mbalimbali kuhusiana na wasiojulikana hawa, hadi kufikia kuwanyooshea vidole baadhi ya watu, wakiwemo wale "jamaa" zetu.

Kufuatia taarifa nyingi za watu wasiojulikana kuhusika kwenye baadhi ya matukio na Jeshi letu la polisi ndio mamlaka rasmi ya kufanya uchunguzi na mara zote hutoa taarifa kuhusu kuhusika kwa wasiojulikana ambao mwisho wa siku hubakia hivyo hivyo kuwa wahusika wa tukio fulani ni watu wasiojulikana, kumbe sometimes sii kweli kuwa wahusika ni watu wasiojulikana, sometimes wahusika wa matukio hayo sio watu wasiojulikana bali ni watu 'wasiojulikana'.

Hivyo hili ni bandiko la kuwahusu watu wasiojulikana ambao mwisho wa siku baada ya uchunguzi wa kipolisi, watajulikana, lakini pia kuna mashambulio yanayofanywa na watu 'wasiojulikana', ambao kamwe hawatajulikana!.
Haswa pale ambapo 'wasiojulikana' ni wale "Jamaa Zetu"!.

Hebu fuatilia jinsi " Hawa Jamaa" wanavyotekeleza mashambulizi na mauaji.

1. Kuna kiongozi mmoja mkubwa serikalini anayesemekana alikufa kwa ajali ya gari, ila mwili wake ulikutwa na majeraha ya kitu fulani, inasemekana
ni wale jamaa.
2. Aliyekuwa Waziri wa Fedha wa Mwinyi, Kighoma Malima alipo defect kutoka CCM na kujiunga na NRA, aliugua ghafla na kupoteza maisha. Inasemekana ni wale jamaa.
3. Horace Kolimba akiwa CCM high ranking oficer, aliposema CCM imepoteza Dira na Haina Mwelekeo, alipoteza Marsha kwa kuugua ghafla. Ikasemekana ni "wale jamaa"
4. Kiongozi mwingine mkubwa wa serikali alifariki ghafla kwa ugonjwa baada ya tuu ya kukamilisha ziara ya kutembelea maonyesho ya Saba Saba, mmoja wa hao "jamaa" akajiunga jf na kutueleza kila kitu kuhusu madudu yao humu.
5. Tukio la kutekwa kwa Dr. Ulimboka, Absolom Kibanda, Roma Mkatoliki, Mwandishi wa habari wa DW, Salma Said, na kupotea kwa mwana jf maarufu Ben Saanane, pia kukihusishwa na "wale Jamaa" wasiojulikana.

6. Tukio la Uvamizi wa Kituo cha TV cha Clouds TV kilichofanywa na DAB, a.k.a PCM, wale makirikiri wenye silaha wanasemekana ni "wale James" na walitumia Nissan Nyeupe!.

7. Yule mpuuzi aliyemnyooshea Nape bastola, anajulikana kwa sura katika media zote, na alikuja kwa kutumia gari Nissan Nyeupe, naye anaelezewa kuwa ni mtu asiyejulikana!. Taarifa za chini chini zinaeleza huyu jamaa ni miongoni mwa "wale jamaa".

8. Huyu Blogger wa Kenya amesema haya kwenye mitandao ya kijamii, hadi akataja majina ya wahusika na magari yaliyohusika ikiwemo hiyo Nissan Nyeupe na sijasikia yoyote akikanusha hata serikali yetu kukanusha.
Hii inapelekea mimi kujiuliza maswali haya.
  1. Kama wahusika wa Tukio la shambulio la Tundu Lissu, ni "wale jamaa", kwa vile wale ni ma pro, and they have never missed the target, kama ni kweli ni wao, how could they missed the target?. Hawa watakuwa sio wale!, na kama ni wale, saa hizi tungekuwa tunazungumza mengine!.
  2. Kama they have 100 ways to do elimination in a good way, natural death, accidents, or any clean job and nobody would've suspected anything, why do such a dirty job?.
  3. Was Tundu Lissu such a threat to status quo ya yule boss wao?, kama kuna defectors very high rankings wame cross na wamejizolea kura nyingi kuliko zilizomuingiza Kikwete madarakani ile 2010, hawa ndio the real threat!, kwa nini hawa wasiwe targeted?. Why Lissu?.
  4. What
  5. Kama kuna chama viongozi wake waliwahi kutuhumiwa kupanga vitendo vya ugaidi na utekaji na video zikaletwa humu, hawawezi kuwa ndio wao waliopanga mpango huo?, kwa kufanya timing ya Dodoma ili wadhaniwe ni "wale jamaa?".
  6. Kama Wangwe alipotaka kugombea uenyekiti alikufa kwa ajali yenye utata mpaka kesho, na huu ni mwaka wa uchaguzi wa ndani, haiwezekani ika ni friendly fires?.
  7. Kama Zitto alipotaka kugombea alifanyiwa life atempt kwa sumu, lakini kwa vile ameaga kwao, akasalimika, haiwezekani na Lissu pia ameaga kwao?.
  8. Kama Mlinzi wa Dr. Alas alishughulikiwa vile, then haiwezekani hii sasa ndio advanced methods za kudeal na the internal threats zao?.
Conclusion Kuwahusu hawa Watu Wasiojulikana acording to the motive behind the shooting.
1. Kama the motive behind shooting ya Lissu ni kwa sababu he is jvery vocal hivyo kuonekana ni mwiba, then hawa wanaoitwa ni wasiojulikana, kiukweli sio watakuwa ni "wale jamaa", kama ni "wale jamaa", then hawa sio watu wasiojulikana, hawa ni watu 'wasiojulikana', kama yule mpuuzi aliyemshikia Nape bastola ni mtu 'asiyejulikana' na mpaka leo hajulikani na kamwe hatajulikana, and if this being the case, then watu hawa hawatajulikana kabisa, hata yule aliyetajwa na blogger wa Kenya, pia ni mtu 'asiyejulikana'. Ila hukumu ya karma itawahusu.

2. Kama the motive wasiojulikana hawa ni partly politics ya siasa za ndani na run of kuelekea 2020, then polisi waendelee na uchunguzi, soon watasalitiana na tutawabaini na watu wa tabaki midomo wazi kwa kutoamini.

3. Lakini kama the motive behind wasiojulikana hawa ni hawa wezi wa rasilimali zetu, na lengo lao ni kutufarakanisha na kutuhamisha kwenye hoja ya rasilimali zetu, ili tusahau makinikia, Tanzanite, Dhahabu, Almasi na Gesi, then, hawa sisi as sisi, hatuna uwezo wa kuwabaini bila msaada wa Scotland Yard, ila, tayari, tumeisha wastukia, hatuta farakana,, tutasimama firm, and under th e united front. Kama lengo ni tufarakane, tukifarakana, tutakuwa tumewapa walichokitaka, tusikubali kufarakana, tushikamane as one

We Wish TL To Get Well Soon.

Paskali
 
Mkuu paskalis,ili kupunguza na kuondoa kabisa hizi conspiracy theories kwanini hii gvt isilete Scotland yard or FBI?we need answers and we need them quickly
sasa ukiwaleta hao huoni nchi itapigwa madochi? Maana hao hawaji kwa lengo moja tu ! Ni multipurpose
 
Ukweli lazima tuseme CHADEMA they are behind this well planned na mwenyekiti na mwenye chama THUS WHY kila siku tunasema humu FAMILIA ya LISSU they are should be more close na ndugu yao kuliko hao kina mbowe...WASIWAAMINI KABSA
Watu vwa EAGLE kamwe hawezi kupiga risasi kizembe hivyo na kama kweli wangekuwa ni wao lazima wangeakikisha LISSU kapotea kabsa kwenye USO WA DUNIA hiyo ndio one of the principles za watu wa EAGLE.....

Afu suspect mwingne ambaye naweza amini kabsa anaweza kuwa BEHIND this ni hawa CUF MAALIM...tuna wasahau sana hawa jamaa......na wao the only option ya kupambana na SERIKALI YA CCM ni kutengeneza matukio ya namna hii
mwizi yule kuleeeeee , mwizi kakimbilia hukuuuuuuu . Hatimaye mwizi anatokomea kusikojulikana bila kukamatwa. Maana wakimbiza mwizi wanachanganywa ili mwizi asijulikane kakimbilia wapi
 
Naona unalengo la kuwatetea na kuwaangushia jumba bovu Chadema.Ila habari ya kupona Lissu binafsi naitazama kuwa ni uweza wa Mungu tu.Pascal husitumie nguvu kubwa Lissu alishasema anafuatiliwa na akawataja aliowadaka wakimfuatilia.Kama wasingekuwa wao basi kwa kuestimate namna serikali itakavyochafuka pale Lissu angeingia matatizoni basi wangefanya juhudi uwadaka ili serikali hisijekuchafuka pale Lissu angepata matatizo.
 
Sometimes hata ikijulikana sio "wale jamaa zetu" ni "inside job" hizi huwa haziwekwi hadharani ....wana tradeoff then huku kitaa tunabaki na conspiracy zetu ....sisi wananchi ndio tunaweza kuamua uelekeo wa siasa zetu ....tukiamua kuishi kishabiki na uzandiki wa vyama HATUTOFANIKIWA .....
 
Naona unalengo la kuwatetea na kuwaangushia jumba bovu Chadema.Ila habari ya kupona Lissu binafsi naitazama kuwa ni uweza wa Mungu tu.Pascal husitumie nguvu kubwa Lissu alishasema anafuatiliwa na akawataja aliowadaka wakimfuatilia.Kama wasingekuwa wao basi kwa kuestimate namna serikali itakavyochafuka pale Lissu angeingia matatizoni basi wangefanya juhudi uwadaka ili serikali hisijekuchafuka pale Lissu angepata matatizo.
itajulikana tu
 
Back
Top Bottom