Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana

Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana

Waliosikiliza VOA leo kina kitu mmeskia,kutokusonga mbele kwa Africa shida ni siasa zake,

Leo kijana shupavu wa K.Kaskazini anajilinda vilivyo,wachambuzi wamesema kiukweli kwamba hataki vita,bali hataki pia wa kumnyasanyasa(usicheke)
Sasa sisi badala ya kupambana hivi vicheko vya wazungu,tunaendeleza mambo ya ki 72 kweli?


Maemdeleo lini?
 
Hapo ndipo ukweli ulipolalia Chadema wako tayari kwa uchunguzi huru chini ya FBI au Scotland Yard. Wahusika wa shambulizi hawataki uchunguzi huru ili dhambi zao zisiwekwe hadharani. Zaidi ya wiki polisi hawajasema ni nani mmiliki wa gari ambalo lilikuwa linamfuatilia Lissu na yeye kuweka plate number za gari hiyo hadharani. Hadi hii leo polisi imeamua kuwa kimya kuhusu walinzi wa geti kwenye makazi ya waheshimiwa. Hawataki kusema kama wamehojiwa au la lakini wanalalama kuhusu dreva wa Lissu! Bashite ni mtekaji, mtesaji na muuaji.

Kama unawahisi CHADEMA wao wamesema ufanyike uchunguzi huru imebaki GOT kukubali au kukataa huo uchunguzi.Na nahisi ungekua mbele ya GOT officials useme ruhusuni uchunguzi huru yawezekana ungepata matatizo.
 
Pasco nakuuliza uwe mkweli ktk nafsi yako!! Hivi hizi hotuba mbili za bwana mkubwa una act kuzisahau?!
1. Hotuba ya siku ya makinikia ya omera mwenzangu!! "Huwezi kuwa msaliti uka survive"
2. Na ile prof. Mruma spika alipopongezwa na kuagizwa "Hongera kwa kuwadhibiti bungeni endelea hivyo ili waje waropokee huku nje nami nitadeal nao na siwatishi"

Najuwa watu wanafanya juhudi ya kupotezea lakini watu kama kina Mobutu hawakutumia mikono yao bali makundi yaliyoandaliwa na kulelewa. Kumbuka Premio ya blue na Nissan nyeupe lakini waliomo hawajulikani [emoji40] [emoji40] [emoji85] [emoji120] [emoji120]

Umesahau ya tatu na muhimu siku ya tukio.. "Ni heri mtu mmoja afe lakini rasilimali za taifa zipone"
Huyo Pasco anataka kutuletea maigizo ya watu wasiojulikana
 
Upuuzi tu badala ya kuhamasisha wananchi kufanya revolution unatega vitendawili

Nchi yoyote ile hapa duniani inayoitwa developed country ilipigana damu za watu mamilion zilimwagika

Msifikiri tunaweza kuwa na uchumi mzuri bila kujitawala na Ku produce want we need

Kama unazalisha na bei ya ulichozalisha inakuwa fixed na nchi zilizoendelea usitegemee kupiga hatua ..

Hayo madini na gesi unayoyasema bila kuwa huru kama taifa na kuamua mambo yetu wenyew nothing

Raisi magufuli ana mzigo mzito sana ambao ulishindiliwa na watangulizi wake .

Vijana mmekuwa na maneno matamu sana mitandaoni ili ni waoga mliopitiliza mnamunya munya maneno kama bata maji

Naona suala LA lisu limezua kiki kwenye siasa !!
Kama alishambuliwa Kwa masilahi ya matumbo ya wasiojulikana tutegemee dhiki iliyotukuka ila kama ni economic war credit for unknowns
Excellent...watu wako busy kuwakabili wez...mtu mwingne kwa ujuzi wa sheria anawatetea af anajikosha kwa wananchi..ni upuuzi mkubwa...hakuna kuremba
 
Wanabodi,
Tangu kutokea kwa shambulizi kwa Tundu Lissu, ambalo mpaka sasa linaelezewa kufanywa na watu wasiojulikana, kumeibuka shauku kubwa ya kuwabaini hawa watu wanaoitwa kuwa ni watu wasiojulikana huku zikijengwa dhana mbalimbali kuhusiana na wasiojulikana hawa, hadi kufikia kuwanyooshea vidole baadhi ya watu, wakiwemo wale "jamaa" zetu.

Kufuatia taarifa nyingi za watu wasiojulikana kuhusika kwenye baadhi ya matukio na Jeshi letu la polisi ndio mamlaka rasmi ya kufanya uchunguzi na mara zote hutoa taarifa kuhusu kuhusika kwa wasiojulikana ambao mwisho wa siku hubakia hivyo hivyo kuwa wahusika wa tukio fulani ni watu wasiojulikana, kumbe sometimes sii kweli kuwa wahusika ni watu wasiojulikana, sometimes wahusika wa matukio hayo sio watu wasiojulikana bali ni watu 'wasiojulikana'.

Hivyo hili ni bandiko la kuwahusu watu wasiojulikana ambao mwisho wa siku baada ya uchunguzi wa kipolisi, watajulikana, lakini pia kuna mashambulio yanayofanywa na watu 'wasiojulikana', ambao kamwe hawatajulikana!.
Haswa pale ambapo 'wasiojulikana' ni wale "Jamaa Zetu"!.

Hebu fuatilia jinsi hawa ,"Jamaa zetu" 'wasiojulikana', wanavyotekeleza mashambulizi mbalimbali na sometimes hadi na mauaji in a very clean job and professional way hivyo kamwe hawawezi kuja kujulikana, hivyo kubaki ni watu 'wasiojulikana', daima.

1. Kuna kiongozi mmoja mkubwa serikalini anayesemekana alikufa kwa ajali ya gari, ila mwili wake ulikutwa na majeraha ya kitu fulani, inasemekana ni wale "jamaazetu".
2. Aliyekuwa Waziri wa Fedha wa Mwinyi, Kighoma Malima alipo defect kutoka CCM na kujiunga na NRA, aliugua ghafla na kupoteza maisha. Inasemekana ni wale "jamaa zeta".
3. Horace Kolimba akiwa CCM high ranking oficer, aliposema CCM imepoteza Dira na Haina Mwelekeo, alipoteza maisha kwa kuugua ghafla. Ikasemekana niwale "jamaa zetu"
4. Kiongozi mwingine mkubwa wa serikali alifariki ghafla baada ya tuu ya kukamilisha ziara ya kutembelea maonyesho ya Saba Saba, mmoja wa hao "jamaa" akajiunga jf na kutueleza kila kitu kuhusu madudu yao humu na kutueleza humu hiyo ni kazi, ya wale "jamaa zetu".
5. Tukio la kutekwa kwa Dr. Ulimboka, Absolom Kibanda, Roma Mkatoliki, Mwandishi wa habari wa DW, Salma Said, na kupotea kwa mwana jf maarufu Ben Saanane, pia kukihusishwa na wale "Jamaa zetu" 'wasiojulikana'.

6. Tukio la Uvamizi wa Kituo cha TV cha Clouds TV kilichofanywa na wale makirikiri wenye silaha wanasemekana ni wale ""jamaa zetu" na walitumia Nissan Patrol Nyeupe!.

7. Yule mpuuzi aliyemnyooshea Nape bastola, anajulikana kwa sura katika media zote, na alikuja kwa kutumia gari aina ya Nissan Patrol Nyeupe, naye licha ya picha yake na sura yake kuenea kote kuanzia kwenye mainstream media hadi kwenye social media, lakini na yeye a anaelezewa kuwa ni mtu 'asiyejulikana'!. Taarifa za chini chini zinaeleza huyu jamaa ni miongoni mwa wale jamaa "jamaa zetu".

8. Huyu Blogger wa Kenya amesema haya kwenye mitandao ya kijamii, hadi akataja majina ya wahusika na magari yaliyohusika ikiwemo hiyo Nissan Patrol Nyeupe na sijasikia yoyote akikanusha taarifa ya blogger huyu!, hata serikali yetu kukanusha. Hivyo sometimes silence ni admission of guilt, kwa vile ni 'wasiojulikana", hawana sababu ya kujibu lolote wasije wakajulikana!.
Hii inapelekea mimi kujiuliza maswali haya.
  1. Kama wahusika wa Tukio la shambulio la Tundu Lissu, ni wale "jamaa zetu", kwa vile wale ni ma pro, and they have never missed the target, kama ni kweli ni wao, how could they missed the target?. Hawa watakuwa sio wale!, na kama ni wale, saa hizi tungekuwa tunazungumza mengine!. Unless wamejifanya to miss the target makusudically ili kupiga maboya kwa kupoteza lengo ionekane ni amateurs.
  2. Kama they have 100 ways to do elimination in a good way, on natural death, look like, accidents, or any clean job that nobody would've suspected anything, why do such a dirty job?.
  3. Was Tundu Lissu such a threat to status quo ya yule boss wao?, kama kuna defectors very high rankings wame cross na wamejizolea kura nyingi kuliko zilizomuingiza Kikwete madarakani ile 2010, hawa ndio the real threat!, kwa nini hawa wasiwe targeted?. Why Lissu?.
  4. What if ni kutokana na issue nyingine yoyote na sio siasa?.
  5. Kama kuna chama viongozi wake waliwahi kutuhumiwa kupanga vitendo vya ugaidi na utekaji na video zikaletwa humu, hawawezi kuwa ndio wao waliopanga mpango huo?, kwa kufanya timing ya Dodoma ili wadhaniwe ni "wale jamaa?".
  6. Kama Wangwe alipotaka kugombea uenyekiti alikufa kwa ajali yenye utata mpaka kesho, na huu ni mwaka wa uchaguzi wa ndani, haiwezekani ikawa ni inside job ya friendly fires?.
  7. Kama Zitto alipotaka kugombea alifanyiwa life atempt kwa sumu, lakini kwa vile ameaga kwao, akasalimika, haiwezekani na Lissu pia kwao ameaga na ndio maana amesalimika?.
  8. Kama Mlinzi wa Dr. Slaa, alihudumiwa hivi,watu wanaoweza kushughulikia hivi binadamu wenzao, they are capable of doing anything, then haiwezekani hii sasa ndio the advanced methods za kudeal na the internal threats zao?.
Conclusion Kuwahusu hawa Watu Wasiojulikana na 'wasiojulikana', acording to the motive behind the shooting.
1. Kama the motive behind the shooting ya Lissu ni kwa sababu he is jvery vocal hivyo kuonekana ni mwiba, then hawa wanaoitwa ni wasiojulikana, kiukweli sio wasiojulikana, hawa watakuwa ni 'wasiojulikana' ambao ni wale "jamaa zetu", kama ni wale "jamaa zetu", then hawa sio watu wasiojulikana, hawa ni watu 'wasiojulikana', kama yule mpuuzi aliyemshikia Nape bastola ni mtu 'asiyejulikana' na mpaka leo hajulikani na kamwe hatajulikana, and if this being the case, then watu hawa hawatajulikana kabisa, hata yule aliyetajwa na blogger wa Kenya, pia ni mtu 'asiyejulikana'. Ila hukumu ya karma itawahusu wahusika wote.

2. Kama the motive behind the shooting ya wasiojulikana hawa ni partly politics ya siasa za ndani na run of kuelekea 2020, then polisi wetu waendelee na uchunguzi, soon watasalitiana na tutawabaini na watu wa tabaki midomo wazi kwa kutoamini.

3. Lakini kama the motive behind wasiojulikana hawa ni hawa wezi wa rasilimali zetu na lengo lao ni kutufarakanisha sisi na serikali yetu kwa kutuhamisha kwenye hoja ya rasilimali zetu, ili tusahau makinikia, Tanzanite, Dhahabu, Almasi na Gesi, then, hawa, sisi as sisi, hatuna uwezo wa kuwabaini bila msaada wa Scotland Yard, ila, kwa vile tayari, tumeisha wastukia nia yao ovu, hatuta farakana, tutasimama firm as one, and under th e united front. Kama lengo ni ili tufarakane, tuichukie serikali yetu kuwa ni ya kidikiteta, na kuanza kufanya vurugu, tukifarakana, tutakuwa tumewapa walichokitaka, tusikubali kufarakana, kwa kufakaranishwa na wafakaranishaji hawa, lets stand together as one, tupendane, tuheshimiane, tuvumiliane, tustahimiliane, tubishane bila kupigana, tukubaliane kwenye maslahi ya taifa na ikishindikana tukashindwa kukubaliana, then tukubaliane kutokubaliana lakini mwisho wa siku, wasiojulikana wajulikane lakini 'wasiojulikana', sijui.

We Wish TL To Get Well Soon.

Paskali
[paskali]Unataka kuwachanganya watu ili wamsimkamate mwizi maana unaleta story nyingi za kuzubaisha watu ili umpe nafasi mwizi akotokomee kusikojulikana,unaonekana na wewe ingawaje kwa kujificha unashirikiana na mwizi!!!
 
Wanabodi,
Tangu kutokea kwa shambulizi kwa Tundu Lissu, ambalo mpaka sasa linaelezewa kufanywa na watu wasiojulikana, kumeibuka shauku kubwa ya kuwabaini hawa watu wanaoitwa kuwa ni watu wasiojulikana huku zikijengwa dhana mbalimbali kuhusiana na wasiojulikana hawa, hadi kufikia kuwanyooshea vidole baadhi ya watu, wakiwemo wale "jamaa" zetu.

Kufuatia taarifa nyingi za watu wasiojulikana kuhusika kwenye baadhi ya matukio na Jeshi letu la polisi ndio mamlaka rasmi ya kufanya uchunguzi na mara zote hutoa taarifa kuhusu kuhusika kwa wasiojulikana ambao mwisho wa siku hubakia hivyo hivyo kuwa wahusika wa tukio fulani ni watu wasiojulikana, kumbe sometimes sii kweli kuwa wahusika ni watu wasiojulikana, sometimes wahusika wa matukio hayo sio watu wasiojulikana bali ni watu 'wasiojulikana'.

Hivyo hili ni bandiko la kuwahusu watu wasiojulikana ambao mwisho wa siku baada ya uchunguzi wa kipolisi, watajulikana, lakini pia kuna mashambulio yanayofanywa na watu 'wasiojulikana', ambao kamwe hawatajulikana!.
Haswa pale ambapo 'wasiojulikana' ni wale "Jamaa Zetu"!.

Hebu fuatilia jinsi hawa ,"Jamaa zetu" 'wasiojulikana', wanavyotekeleza mashambulizi mbalimbali na sometimes hadi na mauaji in a very clean job and professional way hivyo kamwe hawawezi kuja kujulikana, hivyo kubaki ni watu 'wasiojulikana', daima.

1. Kuna kiongozi mmoja mkubwa serikalini anayesemekana alikufa kwa ajali ya gari, ila mwili wake ulikutwa na majeraha ya kitu fulani, inasemekana ni wale "jamaazetu".
2. Aliyekuwa Waziri wa Fedha wa Mwinyi, Kighoma Malima alipo defect kutoka CCM na kujiunga na NRA, aliugua ghafla na kupoteza maisha. Inasemekana ni wale "jamaa zeta".
3. Horace Kolimba akiwa CCM high ranking oficer, aliposema CCM imepoteza Dira na Haina Mwelekeo, alipoteza maisha kwa kuugua ghafla. Ikasemekana niwale "jamaa zetu"
4. Kiongozi mwingine mkubwa wa serikali alifariki ghafla baada ya tuu ya kukamilisha ziara ya kutembelea maonyesho ya Saba Saba, mmoja wa hao "jamaa" akajiunga jf na kutueleza kila kitu kuhusu madudu yao humu na kutueleza humu hiyo ni kazi, ya wale "jamaa zetu".
5. Tukio la kutekwa kwa Dr. Ulimboka, Absolom Kibanda, Roma Mkatoliki, Mwandishi wa habari wa DW, Salma Said, na kupotea kwa mwana jf maarufu Ben Saanane, pia kukihusishwa na wale "Jamaa zetu" 'wasiojulikana'.

6. Tukio la Uvamizi wa Kituo cha TV cha Clouds TV kilichofanywa na wale makirikiri wenye silaha wanasemekana ni wale ""jamaa zetu" na walitumia Nissan Patrol Nyeupe!.

7. Yule mpuuzi aliyemnyooshea Nape bastola, anajulikana kwa sura katika media zote, na alikuja kwa kutumia gari aina ya Nissan Patrol Nyeupe, naye licha ya picha yake na sura yake kuenea kote kuanzia kwenye mainstream media hadi kwenye social media, lakini na yeye a anaelezewa kuwa ni mtu 'asiyejulikana'!. Taarifa za chini chini zinaeleza huyu jamaa ni miongoni mwa wale jamaa "jamaa zetu".

8. Huyu Blogger wa Kenya amesema haya kwenye mitandao ya kijamii, hadi akataja majina ya wahusika na magari yaliyohusika ikiwemo hiyo Nissan Patrol Nyeupe na sijasikia yoyote akikanusha taarifa ya blogger huyu!, hata serikali yetu kukanusha. Hivyo sometimes silence ni admission of guilt, kwa vile ni 'wasiojulikana", hawana sababu ya kujibu lolote wasije wakajulikana!.
Hii inapelekea mimi kujiuliza maswali haya.
  1. Kama wahusika wa Tukio la shambulio la Tundu Lissu, ni wale "jamaa zetu", kwa vile wale ni ma pro, and they have never missed the target, kama ni kweli ni wao, how could they missed the target?. Hawa watakuwa sio wale!, na kama ni wale, saa hizi tungekuwa tunazungumza mengine!. Unless wamejifanya to miss the target makusudically ili kupiga maboya kwa kupoteza lengo ionekane ni amateurs.
  2. Kama they have 100 ways to do elimination in a good way, on natural death, look like, accidents, or any clean job that nobody would've suspected anything, why do such a dirty job?.
  3. Was Tundu Lissu such a threat to status quo ya yule boss wao?, kama kuna defectors very high rankings wame cross na wamejizolea kura nyingi kuliko zilizomuingiza Kikwete madarakani ile 2010, hawa ndio the real threat!, kwa nini hawa wasiwe targeted?. Why Lissu?.
  4. What if ni kutokana na issue nyingine yoyote na sio siasa?.
  5. Kama kuna chama viongozi wake waliwahi kutuhumiwa kupanga vitendo vya ugaidi na utekaji na video zikaletwa humu, hawawezi kuwa ndio wao waliopanga mpango huo?, kwa kufanya timing ya Dodoma ili wadhaniwe ni "wale jamaa?".
  6. Kama Wangwe alipotaka kugombea uenyekiti alikufa kwa ajali yenye utata mpaka kesho, na huu ni mwaka wa uchaguzi wa ndani, haiwezekani ikawa ni inside job ya friendly fires?.
  7. Kama Zitto alipotaka kugombea alifanyiwa life atempt kwa sumu, lakini kwa vile ameaga kwao, akasalimika, haiwezekani na Lissu pia kwao ameaga na ndio maana amesalimika?.
  8. Kama Mlinzi wa Dr. Slaa, alihudumiwa hivi,watu wanaoweza kushughulikia hivi binadamu wenzao, they are capable of doing anything, then haiwezekani hii sasa ndio the advanced methods za kudeal na the internal threats zao?.
Conclusion Kuwahusu hawa Watu Wasiojulikana na 'wasiojulikana', acording to the motive behind the shooting.
1. Kama the motive behind the shooting ya Lissu ni kwa sababu he is jvery vocal hivyo kuonekana ni mwiba, then hawa wanaoitwa ni wasiojulikana, kiukweli sio wasiojulikana, hawa watakuwa ni 'wasiojulikana' ambao ni wale "jamaa zetu", kama ni wale "jamaa zetu", then hawa sio watu wasiojulikana, hawa ni watu 'wasiojulikana', kama yule mpuuzi aliyemshikia Nape bastola ni mtu 'asiyejulikana' na mpaka leo hajulikani na kamwe hatajulikana, and if this being the case, then watu hawa hawatajulikana kabisa, hata yule aliyetajwa na blogger wa Kenya, pia ni mtu 'asiyejulikana'. Ila hukumu ya karma itawahusu wahusika wote.

2. Kama the motive behind the shooting ya wasiojulikana hawa ni partly politics ya siasa za ndani na run of kuelekea 2020, then polisi wetu waendelee na uchunguzi, soon watasalitiana na tutawabaini na watu wa tabaki midomo wazi kwa kutoamini.

3. Lakini kama the motive behind wasiojulikana hawa ni hawa wezi wa rasilimali zetu na lengo lao ni kutufarakanisha sisi na serikali yetu kwa kutuhamisha kwenye hoja ya rasilimali zetu, ili tusahau makinikia, Tanzanite, Dhahabu, Almasi na Gesi, then, hawa, sisi as sisi, hatuna uwezo wa kuwabaini bila msaada wa Scotland Yard, ila, kwa vile tayari, tumeisha wastukia nia yao ovu, hatuta farakana, tutasimama firm as one, and under th e united front. Kama lengo ni ili tufarakane, tuichukie serikali yetu kuwa ni ya kidikiteta, na kuanza kufanya vurugu, tukifarakana, tutakuwa tumewapa walichokitaka, tusikubali kufarakana, kwa kufakaranishwa na wafakaranishaji hawa, lets stand together as one, tupendane, tuheshimiane, tuvumiliane, tustahimiliane, tubishane bila kupigana, tukubaliane kwenye maslahi ya taifa na ikishindikana tukashindwa kukubaliana, then tukubaliane kutokubaliana lakini mwisho wa siku, wasiojulikana wajulikane lakini 'wasiojulikana', sijui.

We Wish TL To Get Well Soon.

Paskali
Just hit the point brother, propaganda haiwezi kukutoa, mchawi anajulikana kwa uwazi kabisa kwa maneno na matendo, mara ngapi kumekuwepo na taarifa za watu kupotea na kuokotwa miili ya watu waliofariki kwa njia zisizokuwa za kawaida? Pamoja na kuwa suala la usalama ni la kila mmoja wetu inapotokea kwamba fulani hayupo salama au usalama wake upo mashakani nani anawajibika kumhakikishia raia usalama wake? Usipoteze uelekeo.
 
Just hit the point brother, propaganda haiwezi kukutoa, mchawi anajulikana kwa uwazi kabisa kwa maneno na matendo, mara ngapi kumekuwepo na taarifa za watu kupotea na kuokotwa miili ya watu waliofariki kwa njia zisizokuwa za kawaida? Pamoja na kuwa suala la usalama ni la kila mmoja wetu inapotokea kwamba fulani hayupo salama au usalama wake upo mashakani nani anawajibika kumhakikishia raia usalama wake? Usipoteze uelekeo.
Hapo PASKALI unatakiwe ujibu na wala kuzunguka mbuyu jamaa hapa kasema kweli na hakikia kabisa,nina Imani hutaangalia kushoto wala kulia bali utapita katikati ambapo ndipo kuna ukweli!!!!
 
Hapo PASKALI unatakiwe ujibu na wala kuzunguka mbuyu jamaa hapa kasema kweli na hakikia kabisa,nina Imani hutaangalia kushoto wala kulia bali utapita katikati ambapo ndipo kuna ukweli!!!!
Mkuu Echolima, hii ndio essence ya bandiko hili, kuwa kuna watu wasiojulikana, na 'wasiojulikana', nikasema kama shambulio limefanywa na watu wasiojulikana, then uchunguzi utatuwezesha kuwabaini hao watu na watajulikana!, lakini kama shambulio limefanywa na watu 'wasiojulikana', then hawa kamwe, hawatajulikana!. Hii inamaanisha kama ni 'wasiojulikana', then hakuna uchunguzi wowote utaoweza kuwabaini 'wasiojulikana' hawa!, na nikatolea kabisa mfano hai wa yule mpuuzi aliyemnyooshea Nape bastola, gari aliyokuja nayo ni Naissan Patrol Nyeupe, picha yake, sura yake na bastola yake zote zimeenea kuanzia kwenye maintream media hadi social media, lakini na yeye ameelezwa ni mtu 'asiyejulikana'!, then ndipo nika conclude, kama wasiojulika hawa ndio hawa 'wasiojulikana', then kamwe, hawatakuja kujulikana, ila only karma ndio ita take care of them!.

Paskali
 
Mkuu paskalis,ili kupunguza na kuondoa kabisa hizi conspiracy theories kwanini hii gvt isilete Scotland yard or FBI?we need answers and we need them quickly
Kweli mkuu, ila kwa vile kamati ya bunge ya ulinzi na usalama ni ma zombi ya mhimili uliojichimbia chini zaidi hilo halitaguswa kabisa, sana sana watakuja na ile slogan ya karne iliyopita. "Vyombo vya ulinzi havitalala hadi wapatikane" ukitahamaki wake zao wana ujauzito, sijui waliwamimba wima bila kulala?
 
Kweli mkuu, ila kwa vile kamati ya bunge ya ulinzi na usalama ni ma zombi ya mhimili uliojichimbia chini zaidi hilo halitaguswa kabisa, sana sana watakuja na ile slogan ya karne iliyopita. "Vyombo vya ulinzi havitalala hadi wapatikane" ukitahamaki wake zao wana ujauzito, sijui waliwamimba wima bila kulala?
Hawalali ya vyombo vya ulinzi na usalama ni kufanya kazi kwa 24/7 kwa kutumia shifts 3 za 8 hrs each.

Hivyo hata wale wa zamu za usiku kucha, mchana kutwa wako off, hivyo there is always enough time kutengeneza watoto, unless ulidhani watoto wanatengenezwa usiku tuu!.
P
 
Nimesoma ukawa unaenda vizuri tu. Nilipofikia hapo auliposema "Walimiss target" nikaachia hapo.

Wewe kwa maoni yako wale wauwaji walimiss target? Kauli gani hiyo? Au kwasababu deep inside hutaki kuamini
 
Ukweli lazima tuseme CHADEMA they are behind this well planned na mwenyekiti na mwenye chama THUS WHY kila siku tunasema humu FAMILIA ya LISSU they are should be more close na ndugu yao kuliko hao kina mbowe...WASIWAAMINI KABSA
Watu vwa EAGLE kamwe hawezi kupiga risasi kizembe hivyo na kama kweli wangekuwa ni wao lazima wangeakikisha LISSU kapotea kabsa kwenye USO WA DUNIA hiyo ndio one of the principles za watu wa EAGLE.....

Afu suspect mwingne ambaye naweza amini kabsa anaweza kuwa BEHIND this ni hawa CUF MAALIM...tuna wasahau sana hawa jamaa......na wao the only option ya kupambana na SERIKALI YA CCM ni kutengeneza matukio ya namna hii
Mkuu umepotea maboya kabisa
 
Nimesoma ukawa unaenda vizuri tu. Nilipofikia hapo auliposema "Walimiss target" nikaachia hapo.

Wewe kwa maoni yako wale wauwaji walimiss target? Kauli gani hiyo? Au kwasababu deep inside hutaki kuamini
Mkuu Jei Mushi, hakuna kitu kibaya kama kuwajaza the desperate expectants too much expectations za matumaini hewa!.

Tangu kutokea kwa shambulio hilo, kuna watu wako busy at pointing fingers as they are 100% sure wana uhakika ni fulani!.

Nilichosema humu ni kuwapa tuu options wasiwe too sure ni fulani, kwa sababu huyo fulani ni pro, hivyo kama ni pro, hawawezi ku shoot randomly kivile na ku miss the target. Watu wenye kazi zao, they usually finish the job, na nikawawekea na mifano hai ya jobs well done, no suspicious circumstances, they left no trail, no trace!, unless 'wasiojulikana' hawa walidhamiria kufanya hovyo ili kupoteza lengo!, hivyo it could be some others and even a friendly fires!.
P.
 
Mkuu Jei Mushi, hakuna kitu kibaya kama kuwajaza the desperate expectants too much expectations za matumaini hewa!.

Tangu kutokea kwa shambulio hilo, kuna watu wako busy at pointing fingers as they are 100% sure wana uhakika ni fulani!.

Nilichosema humu ni kuwapa tuu options wasiwe too sure ni fulani, kwa sababu huyo fulani ni pro, hivyo kama ni pro, hawawezi ku shoot randomly kivile na ku miss the target. Watu wenye kazi zao, they usually finish the job, na nikawawekea na mifano hai ya jobs well done, no suspicious circumstances, they left no trail, no trace!, unless 'wasiojulikana' hawa walidhamiria kufanya hovyo ili kupoteza lengo!, hivyo it could be some others and even a friendly fires!.
P.
Unakosea unaposema "walimiss target ", siyo kweli mkuu. Rather, "target was not eliminated".

Na hizo zinatokea sana tu. Hata special forces wenyewe huwa inawatokea. Kuna wanaopona baada ya kupigwa grenades. Kuna ambaye rocket propelled grenade ilipigwa ikatuwa kwenye mwili wake, lakini haikuexplode.

Sasa ndo unataka kushangaa hii ya Lissu kutokufa kwenye shambulizi as it walifanya shambulizi hawakukujuwa wanachokifanya?

Hao unadai waliacha no trails ni nani hao? Kama unatolea mifano ya kina Kolimba no, hao bado walikuwa karibu sana na ccm na sumu kuwekewa ni rahisi especially kama bado alikuwa anakaa na hao ccm wenzake nk. Ni rahisi zaidi pia kuwaondoa watu wenzako wa system.

Hata yule mrusi Livtichenko kama sijakosea, ambaye aliwekewa sumu London na ma spy wa KGB, ni kwasababu bado alikuwa amawasiliana nao.
 
Back
Top Bottom