Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana

Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana

Si kila unachokisoma unatakiwa kukitafsiri kama unavokisoma, ndo maana hata madarasani wanafundisha aina na dhana za aina kadhaa za ufahamu.
Wewe umekurupuka, hicho ulichokisoma kina dhana ya lugha ya picha ambayo kwa tukio husika ni lugha ya kisheria zaidi.
Si kila penye pazia ni mgahawa pengine panakuwa ni choo


Onestone

Haa haaa haaa haaaaa
 
Wanabodi,
Tangu kutokea kwa shambulizi kwa Tundu Lissu, ambalo mpaka sasa linaelezewa kufanywa na watu wasiojulikana, kumeibuka shauku kubwa ya kuwabaini hawa watu wanaoitwa kuwa ni watu wasiojulikana huku zikijengwa dhana mbalimbali kuhusiana na wasiojulikana hawa, hadi kufikia kuwanyooshea vidole baadhi ya watu, wakiwemo wale "jamaa" zetu.

Kufuatia taarifa nyingi za watu wasiojulikana kuhusika kwenye baadhi ya matukio na Jeshi letu la polisi ndio mamlaka rasmi ya kufanya uchunguzi na mara zote hutoa taarifa kuhusu kuhusika kwa wasiojulikana ambao mwisho wa siku hubakia hivyo hivyo kuwa wahusika wa tukio fulani ni watu wasiojulikana, kumbe sometimes sii kweli kuwa wahusika ni watu wasiojulikana, sometimes wahusika wa matukio hayo sio watu wasiojulikana bali ni watu 'wasiojulikana'.

Hivyo hili ni bandiko la kuwahusu watu wasiojulikana ambao mwisho wa siku baada ya uchunguzi wa kipolisi, watajulikana, lakini pia kuna mashambulio yanayofanywa na watu 'wasiojulikana', ambao kamwe hawatajulikana!.
Haswa pale ambapo 'wasiojulikana' ni wale "Jamaa Zetu"!.

Hebu fuatilia jinsi hawa ,"Jamaa zetu" 'wasiojulikana', wanavyotekeleza mashambulizi mbalimbali na sometimes hadi na mauaji in a very clean job and professional way hivyo kamwe hawawezi kuja kujulikana, hivyo kubaki ni watu 'wasiojulikana', daima.

1. Kuna kiongozi mmoja mkubwa serikalini anayesemekana alikufa kwa ajali ya gari, ila mwili wake ulikutwa na majeraha ya kitu fulani, inasemekana ni wale "jamaazetu"
Kifo cha Sokoine: Tujiondoe jela ya kifikra | JamiiForums | The ...

2. Aliyekuwa Waziri wa Fedha wa Mwinyi, Kighoma Malima alipo defect kutoka CCM na kujiunga na NRA, aliugua ghafla na kupoteza maisha. Inasemekana ni wale "jamaa zeta".
Ukweli wa kifo cha Kighoma Ally Malima ni upi? | JamiiForums | The ...

3. Horace Kolimba akiwa CCM high ranking oficer, aliposema CCM imepoteza Dira na Haina Mwelekeo, alipoteza maisha kwa kuugua ghafla. Ikasemekana niwale "jamaa zetu"
Kabla ya kutoka ccm jiulize mara mbili;horace kolimba,gen kombe ...
Wananchi wakitaka kujua nani alimuua nani? | JamiiForums | The ...
Vifo vya viongozi vyenye utata | JamiiForums | The Home of Great ...


4. Kiongozi mwingine mkubwa wa serikali alifariki ghafla baada ya tuu ya kukamilisha ziara ya kutembelea maonyesho ya Saba Saba, mmoja wa hao "jamaa" akajiunga jf na kutueleza kila kitu kuhusu madudu yao humu na kutueleza humu hiyo ni kazi, ya wale "jamaa zetu".
Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa ...
5. Tukio la kutekwa kwa Dr. Ulimboka, Absolom Kibanda, Roma Mkatoliki, Mwandishi wa habari wa DW, Salma Said, na kupotea kwa mwana jf maarufu Ben Saanane, pia kukihusishwa na wale "Jamaa zetu" 'wasiojulikana'.

6. Tukio la Uvamizi wa Kituo cha TV cha Clouds TV kilichofanywa na wale makirikiri wenye silaha wanasemekana ni wale ""jamaa zetu" na walitumia Nissan Patrol Nyeupe!.

7. Yule mpuuzi aliyemnyooshea Nape bastola, anajulikana kwa sura katika media zote, na alikuja kwa kutumia gari aina ya Nissan Patrol Nyeupe, naye licha ya picha yake na sura yake kuenea kote kuanzia kwenye mainstream media hadi kwenye social media, lakini na yeye a anaelezewa kuwa ni mtu 'asiyejulikana'!. Taarifa za chini chini zinaeleza huyu jamaa ni miongoni mwa wale jamaa "jamaa zetu".

8. Huyu Blogger wa Kenya amesema haya kwenye mitandao ya kijamii, hadi akataja majina ya wahusika na magari yaliyohusika ikiwemo hiyo Nissan Patrol Nyeupe na sijasikia yoyote akikanusha taarifa ya blogger huyu!, hata serikali yetu kukanusha. Hivyo sometimes silence ni admission of guilt, kwa vile ni 'wasiojulikana", hawana sababu ya kujibu lolote wasije wakajulikana!.
Hii inapelekea mimi kujiuliza maswali haya.
  1. Kama wahusika wa Tukio la shambulio la Tundu Lissu, ni wale "jamaa zetu", kwa vile wale ni ma pro, and they have never missed a target, kama ni kweli ni wao, how could they missed a target?. Hawa watakuwa sio wale!, na kama ni wale, saa hizi tungekuwa tunazungumza mengine!. Unless wamejifanya to miss the target makusudically ili kupiga maboya kwa kupoteza lengo ionekane ni amateurs.
  2. Kama they have 100 ways to do elimination in a good clean way, on natural death look like, accidents, or any clean job that nobody would've suspected anything, why did they do such a dirty job?!.
  3. Was Tundu Lissu such a threat to status quo ya yule boss wao?, kama kuna defectors very high rankings wame cross na wamejizolea kura nyingi kuliko zilizomuingiza Kikwete madarakani ile 2010, hawa ndio the real threat!, kwa nini hawa wasiwe targeted?. Why Lissu?.
  4. What if ni kutokana na issue nyingine yoyote na sio siasa?.
  5. Kama kuna chama viongozi wake waliwahi kutuhumiwa kupanga vitendo vya ugaidi na utekaji na video zikaletwa humu, hawawezi kuwa ndio wao waliopanga mpango huo?, kwa kufanya timing ya Dodoma ili wadhaniwe ni "wale jamaa?".
  6. Kama Wangwe alipotaka kugombea uenyekiti alikufa kwa ajali yenye utata mpaka kesho, na huu ni mwaka wa uchaguzi wa ndani, haiwezekani ikawa ni inside job ya friendly fires?.
  7. Kama Zitto alipotaka kugombea alifanyiwa life atempt kwa sumu, lakini kwa vile ameaga kwao, akasalimika, haiwezekani na Lissu pia kwao ameaga na ndio maana amesalimika?.
  8. Kama Mlinzi wa Dr. Slaa, alihudumiwa hivi,watu wanaoweza kushughulikia hivi binadamu wenzao, they are capable of doing anything, then haiwezekani hii sasa ndio the advanced methods za kudeal na the internal threats zao?.
Conclusion Kuwahusu hawa Watu Wasiojulikana na 'wasiojulikana', acording to the motive behind the shooting.
1. Kama the motive behind the shooting ya Lissu ni kwa sababu he is jvery vocal hivyo kuonekana ni mwiba, then hawa wanaoitwa ni wasiojulikana, kiukweli sio wasiojulikana, hawa watakuwa ni 'wasiojulikana' ambao ni wale "jamaa zetu", kama ni wale "jamaa zetu", then hawa sio watu wasiojulikana, hawa ni watu 'wasiojulikana', kama yule mpuuzi aliyemshikia Nape bastola ni mtu 'asiyejulikana' na mpaka leo hajulikani na kamwe hatajulikana, and if this being the case, then watu hawa hawatajulikana kabisa, hata yule aliyetajwa na blogger wa Kenya, pia ni mtu 'asiyejulikana'. Ila hukumu ya karma itawahusu wahusika wote.

2. Kama the motive behind the shooting ya wasiojulikana hawa ni partly politics ya siasa za ndani na run of kuelekea 2020, then polisi wetu waendelee na uchunguzi, soon watasalitiana na tutawabaini na watu wa tabaki midomo wazi kwa kutoamini.

3. Lakini kama the motive behind wasiojulikana hawa ni hawa wezi wa rasilimali zetu na lengo lao ni kutufarakanisha sisi na serikali yetu kwa kutuhamisha kwenye hoja ya rasilimali zetu, ili tusahau makinikia, Tanzanite, Dhahabu, Almasi na Gesi, then, hawa, sisi as sisi, hatuna uwezo wa kuwabaini bila msaada wa Scotland Yard, ila, kwa vile tayari, tumeisha wastukia nia yao ovu, hatuta farakana, tutasimama firm as one, and under th e united front. Kama lengo ni ili tufarakane, tuichukie serikali yetu kuwa ni ya kidikiteta, na kuanza kufanya vurugu, tukifarakana, tutakuwa tumewapa walichokitaka, tusikubali kufarakana, kwa kufakaranishwa na wafakaranishaji hawa, lets stand together as one, tupendane, tuheshimiane, tuvumiliane, tustahimiliane, tubishane bila kupigana, tukubaliane kwenye maslahi ya taifa na ikishindikana tukashindwa kukubaliana, then tukubaliane kutokubaliana lakini mwisho wa siku, wasiojulikana wajulikane lakini 'wasiojulikana', sijui.

We Wish TL To Get Well Soon.

Paskali
Vipi lakini mkuu hao wanaonyooshewa vidole nini maoni yako kifikra na kimtizamo
 
Kesi zote serikali ndio yenye wajibu wa kuzipatia majibu, lakini majibu hayawezi kupatikana kwa sababu serikali haiko tayari yapatikane.
Sishangai wanapowakataa scotland yard.
 
Ukweli lazima tuseme CHADEMA they are behind this well planned na mwenyekiti na mwenye chama THUS WHY kila siku tunasema humu FAMILIA ya LISSU they are should be more close na ndugu yao kuliko hao kina mbowe...WASIWAAMINI KABSA
Watu vwa EAGLE kamwe hawezi kupiga risasi kizembe hivyo na kama kweli wangekuwa ni wao lazima wangeakikisha LISSU kapotea kabsa kwenye USO WA DUNIA hiyo ndio one of the principles za watu wa EAGLE.....

Afu suspect mwingne ambaye naweza amini kabsa anaweza kuwa BEHIND this ni hawa CUF MAALIM...tuna wasahau sana hawa jamaa......na wao the only option ya kupambana na SERIKALI YA CCM ni kutengeneza matukio ya namna hii
Wakati mwingine Mungu anawaumbua watu. Hao unaowaita EAGLE inawezekana kabisa wakafanya uzembe. Kumbuka suala la Ulimboka hakuna asiyejua ni hao jamaa, na Mwanahalisi lilipowafunua likafungiwa. Kwa suala la Comrade Lissu sio lazima uwe na akili nyingi sana kujua nani mhusika. Mkuu alishatangaza hukumu; "katika vita hii ya uchumi huwezi kuwa msaliti ukaendelea ku survive". Unadhani maana yake ni nini? Ni nani aliyepinga hatua za serikali hii kuhusu madini zaidi Lissu. Na Mungu ni mkuu kama isingekuwa CDM Lissu angemaliziwa Muhimbili. Mungu ni mkuu amemponya Lissu na Mungu ana makusudi yake. TUTOE MUDA KIDOGO TUTAJUA NINI YALIKUWA MAKUSUDI YA MUNGU KUMUOKOA LISSU.
 
Hivi kuna polisi yeyote asiyependa uhai wake anayeweza kujitia kimbelembele kupeleleza characters wa hii movie ya TL?
 
Comrade Paschal Mayala a.k.a NJAA,
Naona sasa njaa inakusumbua. Hiki ulichoandika hapa kinadhihirisha hivo!!!
Tunajua Rais John Pombe Magufuli toka Chato Kanda ya Ziwa na wewe ni Msukuma kutokea Kanda hiyohiyo. Kwa watu waliosoma Saikolojia wanaweza kukusoma vizuri sana kwamba sasa unatafuta kuganga jina lako,'NJAA"!!

Andiko lako hili hakika linasikitisha na naonekana unajikomba kwa Msukuma mwenzio ili na wewe ukumbukwe katika ufalme wa nchi yake, Tanzania ya Magufuli na siyo ya Watz...!!
Watu wasiojulikana ni lugha ya kupumbaza Watz wengi ambao Serikali ya CCM imekuwa ikiwaona ni mazuzu, mbumbumbu, wasiojitambua na watu wasahaulifu katika dunia hii ya Mwenye enzi Mungu. Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu watu 'wasiojulikana' wapo na wanajulikana vizuri sana ila Serikali ya CCM kwa maksudi haitaki kuwataja au kuwakamata kwa vile itakuwa inajivua nguo yenyewe.....!!1

Kuhsu watu waliomshabulia TL mchana kweupe, kwenye mazingira ambayo wanakaa baadhi ya Viongozi Wandamizi wa Serikali na wakaweza kutoroka bila ya kujulikana ni jambo lisilowezekana. Kwamba shambulio limefanyika mchana kweupe kwenye maeneo ambayo kuna ulinzi wa uhakika ambako kuna Ma-gate na walinzi wa SUMA-JKT wanaoaminika, na hakuna hata mlinzi mmoja wa SUMA JKT alifyatua risasi ili kuonyesha angalao kulikuwa na juhudi za kupambana na wahalifu hao...!!Hii inaleta shaka kubwa. Lakini kama hilo halitoshi maeneo hayo yana CCTV Camera ambazo masaa 24 zinafanya survaillance ya ku-record matukio yote yanayoendelea sehemu hizo.....!!1

Je, Mr. Njaa hivi unajua kwamba zile CCTV camera zilizokuwa zikifanya kazi pale mpaka siku ile ya tukio kwa sasa HAZIPO TENA? Kwamba zimeng'olewa na kuondolewa kabisa na hazijulikani zilipo mpaka sasa...!!!Kama una akili na husumbuliwa na NJAA hebu jiulize tu KWANINI ZILE CAMERA ZIMEONDOLEWA???Je, nini kinafichwa hapo...??

Halafu mtu kwasababu ya NJAA yako unakurupuka tu kwamba CHADEMA wanaweza kuwa wamefanya shambulio hili kwa ajili ya mikakati ya Uchaguzi wa 2020!!!Napenda kukuhakikishia Mr. Njaa kwamba huo ni uongo ambao hata shetani mwenyewe anakuogopa wewe kwa uongo huo wa kutunga ili kuwachanganya Watanzania hasa wasiojitambua....!!

Kama ndiyo CHADEMA walipanga shambulio hilo kwanini CCTV Camera zing'olewa hapo area D??? Maana kama Serikali ya CCM wanasema CDM wenyewe wamejilipua basi ilikuwa ni vizuri sana kutumia hizo CCTV camera kuwabaini hao washambulizi waliotumwa na CHADEMA ili wakamatwe, washitakiwe na hatimaye wabanwe na waseme ni Viongozi gani wa CHADEMA wanahusika kama ni Lowasa, Mbowe, Sumaye,Nasari, Sugu,Mdee, Bulaya, Mnyika au yeyote washtakiwe na wafungwe na hapo CCM watakuwa wamewamaliza CDM kwa urahisi kabisa badala ya kuhangaika nao kuwakamata kila siku mtaani kwasababu zisizo na kichwa wala miguu.....!!

Mr.Pascal Njaa endelea kupiga ndogondogo ili Msukuma mwenzako akukubali kwa kujaribu kuwapakazia CHADEMA kwamba wao ndio walipanga na kutekeleza shambulio la Lissu na mimi nitakuwa mtu wa mwisho kuamini huu upuuzi wako unaotaka kuwaaminisha watu wasio na akili timamu.

Mr. Njaa hebu fikiria kuwa Tundu Lissu angelikuwa ni kaka yako, mdogo wako au binamu yako awe amefanyiwa unyama kama huo halafu unakaa nyuma ya key board unapika uongo mkubwa kuliko hata shetani mwenyewe...utajisikiaje??
Jaribu kufikiri kwa makini.......Itapendeza!!!
 
Wakati mwingine Mungu anawaumbua watu. Hao unaowaita EAGLE inawezekana kabisa wakafanya uzembe. Kumbuka suala la Ulimboka hakuna asiyejua ni hao jamaa, na Mwanahalisi lilipowafunua likafungiwa. Kwa suala la Comrade Lissu sio lazima uwe na akili nyingi sana kujua nani mhusika. Mkuu alishatangaza hukumu; "katika vita hii ya uchumi huwezi kuwa msaliti ukaendelea ku survive". Unadhani maana yake ni nini? Ni nani aliyepinga hatua za serikali hii kuhusu madini zaidi Lissu. Na Mungu ni mkuu kama isingekuwa CDM Lissu angemaliziwa Muhimbili. Mungu ni mkuu amemponya Lissu na Mungu ana makusudi yake. TUTOE MUDA KIDOGO TUTAJUA NINI YALIKUWA MAKUSUDI YA MUNGU KUMUOKOA LISSU.

Mbalinga,
Well said. Kama kuna mtu amesoma chapisho la Mwananchi la leo kuhusu maoni ya Mke wa ATL Bi Magabe namna mumewe alivyo-survive baada ya risasi 16 kumwingia mwilini lakini KWA MUUJIZA WA MUNGU RISASI ZILIKUWA ZINAFIKA KWENYE MAENEO NYETI NA MUHIMU KWA UHAI AA LISU k.m. FIGO, MOYO, MISHIPA YA FAHAMU, UTI WA MGONGO n.k. LAKINI ZIKAKWEPA NA KUPIGA MISULI TU ZIKIACHA HIZO SEHEMU NYETI......!!!!HUYO SIO MWANADAMU BAALI NI MUNGU ALIYE HAI. HII NI SALAMU KWA WABAYA WAKE WOTE WALIOPANGA SHAMBULIO HILO NA HAKIKA MUNGU HUYOHUYO ALIYEZUIA RISASI ZISIPIGE SEHEMU MUHIMU ZA UHAI WA LISSU KWA WAKTI ATAWEKA HADHARANI KILA KITU NA NDIPO ITAKUWA NI AIBU, VILIO NA KUSAGA MENO..!!!HAKUNA MWANADAMU AMEWAHI KUSHINDANA NA MUNGU NA AKAISHI,......!!!NI SWALA LA MUDA TU...!
TUSUBIRI.....!!

Loading..................
 
Just another suçker! Hivi Pàscal kwa uelewa wàko wa hawa jamaa ñaomba nieleweshe.Obote alivyopinduliwa 1972 Idd Amin aliwapeleka wapi jamaà.wa Obote. na yeye IDD Amin alivyoondoka jamaa zake walistàafishwa au.walienda wapi
WAko kama kinyonga. Wanatabia ya kufuata upepo.
 
Mbalinga,
Well said. Kama kuna mtu amesoma chapisho la Mwananchi la leo kuhusu maoni ya Mke wa ATL Bi Magabe namna mumewe alivyo-survive baada ya risasi 16 kumwingia mwilini lakini KWA MUUJIZA WA MUNGU RISASI ZILIKUWA ZINAFIKA KWENYE MAENEO NYETI NA MUHIMU KWA UHAI AA LISU k.m. FIGO, MOYO, MISHIPA YA FAHAMU, UTI WA MGONGO n.k. LAKINI ZIKAKWEPA NA KUPIGA MISULI TU ZIKIACHA HIZO SEHEMU NYETI......!!!!HUYO SIO MWANADAMU BAALI NI MUNGU ALIYE HAI. HII NI SALAMU KWA WABAYA WAKE WOTE WALIOPANGA SHAMBULIO HILO NA HAKIKA MUNGU HUYOHUYO ALIYEZUIA RISASI ZISIPIGE SEHEMU MUHIMU ZA UHAI WA LISSU KWA WAKTI ATAWEKA HADHARANI KILA KITU NA NDIPO ITAKUWA NI AIBU, VILIO NA KUSAGA MENO..!!!HAKUNA MWANADAMU AMEWAHI KUSHINDANA NA MUNGU NA AKAISHI,......!!!NI SWALA LA MUDA TU...!
TUSUBIRI.....!!

Loading..................
NI kweli Ndugu.
 
Hebu fuatilia jinsi hawa ,"Jamaa zetu" 'wasiojulikana', wanavyotekeleza mashambulizi mbalimbali na sometimes hadi na mauaji in a very clean job and professional way hivyo kamwe hawawezi kuja kujulikana, hivyo kubaki ni watu 'wasiojulikana', daima


Kama kutokosekana kwao katika nyumba za ibada kunalenga kujificha kwenye haya wayafanyayo, basi ninawasiwasi na utashi wao, Mungu siyo mnafiki, Mungu huyaweka yote wazi hapahapa, malipo ya hayo wayafanyayo ni machungu kuliko machungu wanayoyapata wanaotendewa na wanaojulikana
 
Comrade Paschal Mayala a.k.a NJAA,
Naona sasa njaa inakusumbua. Hiki ulichoandika hapa kinadhihirisha hivo!!!
Tunajua Rais John Pombe Magufuli toka Chato Kanda ya Ziwa na wewe ni Msukuma kutokea Kanda hiyohiyo. Kwa watu waliosoma Saikolojia wanaweza kukusoma vizuri sana kwamba sasa unatafuta kuganga jina lako,'NJAA"!!

Andiko lako hili hakika linasikitisha na naonekana unajikomba kwa Msukuma mwenzio ili na wewe ukumbukwe katika ufalme wa nchi yake, Tanzania ya Magufuli na siyo ya Watz...!!
Watu wasiojulikana ni lugha ya kupumbaza Watz wengi ambao Serikali ya CCM imekuwa ikiwaona ni mazuzu, mbumbumbu, wasiojitambua na watu wasahaulifu katika dunia hii ya Mwenye enzi Mungu. Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu watu 'wasiojulikana' wapo na wanajulikana vizuri sana ila Serikali ya CCM kwa maksudi haitaki kuwataja au kuwakamata kwa vile itakuwa inajivua nguo yenyewe.....!!1

Kuhsu watu waliomshabulia TL mchana kweupe, kwenye mazingira ambayo wanakaa baadhi ya Viongozi Wandamizi wa Serikali na wakaweza kutoroka bila ya kujulikana ni jambo lisilowezekana. Kwamba shambulio limefanyika mchana kweupe kwenye maeneo ambayo kuna ulinzi wa uhakika ambako kuna Ma-gate na walinzi wa SUMA-JKT wanaoaminika, na hakuna hata mlinzi mmoja wa SUMA JKT alifyatua risasi ili kuonyesha angalao kulikuwa na juhudi za kupambana na wahalifu hao...!!Hii inaleta shaka kubwa. Lakini kama hilo halitoshi maeneo hayo yana CCTV Camera ambazo masaa 24 zinafanya survaillance ya ku-record matukio yote yanayoendelea sehemu hizo.....!!1

Je, Mr. Njaa hivi unajua kwamba zile CCTV camera zilizokuwa zikifanya kazi pale mpaka siku ile ya tukio kwa sasa HAZIPO TENA? Kwamba zimeng'olewa na kuondolewa kabisa na hazijulikani zilipo mpaka sasa...!!!Kama una akili na husumbuliwa na NJAA hebu jiulize tu KWANINI ZILE CAMERA ZIMEONDOLEWA???Je, nini kinafichwa hapo...??

Halafu mtu kwasababu ya NJAA yako unakurupuka tu kwamba CHADEMA wanaweza kuwa wamefanya shambulio hili kwa ajili ya mikakati ya Uchaguzi wa 2020!!!Napenda kukuhakikishia Mr. Njaa kwamba huo ni uongo ambao hata shetani mwenyewe anakuogopa wewe kwa uongo huo wa kutunga ili kuwachanganya Watanzania hasa wasiojitambua....!!

Kama ndiyo CHADEMA walipanga shambulio hilo kwanini CCTV Camera zing'olewa hapo area D??? Maana kama Serikali ya CCM wanasema CDM wenyewe wamejilipua basi ilikuwa ni vizuri sana kutumia hizo CCTV camera kuwabaini hao washambulizi waliotumwa na CHADEMA ili wakamatwe, washitakiwe na hatimaye wabanwe na waseme ni Viongozi gani wa CHADEMA wanahusika kama ni Lowasa, Mbowe, Sumaye,Nasari, Sugu,Mdee, Bulaya, Mnyika au yeyote washtakiwe na wafungwe na hapo CCM watakuwa wamewamaliza CDM kwa urahisi kabisa badala ya kuhangaika nao kuwakamata kila siku mtaani kwasababu zisizo na kichwa wala miguu.....!!

Mr.Pascal Njaa endelea kupiga ndogondogo ili Msukuma mwenzako akukubali kwa kujaribu kuwapakazia CHADEMA kwamba wao ndio walipanga na kutekeleza shambulio la Lissu na mimi nitakuwa mtu wa mwisho kuamini huu upuuzi wako unaotaka kuwaaminisha watu wasio na akili timamu.

Mr. Njaa hebu fikiria kuwa Tundu Lissu angelikuwa ni kaka yako, mdogo wako au binamu yako awe amefanyiwa unyama kama huo halafu unakaa nyuma ya key board unapika uongo mkubwa kuliko hata shetani mwenyewe...utajisikiaje??
Jaribu kufikiri kwa makini.......Itapendeza!!!
Hizi zote ni hadithi za kufikirika tu. Hadi leo hakuna uthibitisho wa nani hasa alihusika na tukio hilo ovu na la kishetani.
 
Back
Top Bottom