Shambulio linalosadikiwa kufanywa na Israel dhidi ya Hezbullah kwa kupitia PAGERS lathibitisha akili kubwa ya Myahudi

Hizi zote ni propaganda mkuu. We jiukize kwanini all media house zilizokuwa zinaripoti ukweli zimefungiwa.

We endelea na propaganda za West. Kama hao mossad waneshindwa kujua walipo mateka eneo lenye ukubwa wa kigamboni eti "wali intercept consignment..." Shida ni soko la electronics device zao zilikua zinaenda kufa immediately so kufanya coverup ndio hiyo propaganda.

Kuna mambo mengi duniani hapa.
 
Ukweli ni kwamba myahudi bado ana makando kando mengi sana , Hezbollah wanatoa taarifa za wanajeshi wake walikokufa ila jamaa anaficha ...Shambulio la juzi tu hapa wamekufa ila hawasemi sasa ni vita hiyo ?

Huo mlipuko wa jana mbona wanatoa update na waliokufa wanasema mbona nyie hamseni ?

Walipopiga bandari kule Lebanon jamaa wametoa update ya wanajeshi wao waliokufa ila Israel mbona anaficha ? 😀 😀 😀 😀
 
Hiyo Kampuni ya kutengeneza hizo Pager ya GoldApolo ya Taiwan iliuza kwa Kampuni nyingine under License kutumia jina lake.

Daadeki Gaidi akaumeza Mshipi😆😆😆😅😅
 
Nani kawadhulumu acha ujinga bana Iran siagawe taifa lake awape Palestine kama anawapenda hakuna Taifa la Palestine time will tell Netanyahu amesha amua kama mbwai na iwe mbwai bado kichwa wamalize kazi huko Iran stay tune...
 
Nani kawadhulumu acha ujinga bana Iran siagawe taifa lake awape Palestine kama anawapenda hakuna Taifa la Palestine time will tell Netanyahu amesha amua kama mbwai na iwe mbwai bado kichwa wamalize kazi huko Iran stay tune...
Tupo hata tuone kama atawamaliza.
 
\Accumen, hebu usijidhalilishe Mkuu, Israel inaficha askari wake wanaokufa! Au source yako ya habari ni finyu kiasi hicho......Nakusaidia....

 

Soma magazeti ya Israel.....kila askari anapofariki na maziko yao yako kwenye TV.......Nikuulize Hamas mpaka sasa wanasema askari waowangapi wameuawa...Kila siku ni Wanawake na watoto...wanawake na watoto....! Gaza ni siri kabisa hata kwa familia kusema Mwana hamas kafariki....

Fungua wigo wako wa kupata habari........
 
Hawa Islamists wala siwashangai. Kwanza wamefunzwa Tawnya yaani kufanya ya kwa gharama yeyote ile kutetea uislam. Mbili ajili yao ni mdogo kama ya Shetani Allah aliyeandika Krk Quran 2:29 kuwa alianza kuumba Dunia halafu ndiyo akaemdelea kuumba mbingu
 
Yaani simu inalipuka yenyewe tu!

Iko siku Sasa tutaona vichwa vinapasuka pasuka tu. Hawa wazungu sio watu wazuri Aisee!!
 
Hizo Ndio akili sasa... Kujua njia na mipango ya Adui wako
 
Kabisa!....hili ni Kweli kabisa!
 
Acha stori za kuhadithiwa....ulikuwepo kipndi mudi anasali kwa huo msikiti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…