Shambulizi la Urusi laua watu 41 Ukraine

Shambulizi la Urusi laua watu 41 Ukraine

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Screenshot 2024-09-03 053038.png

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kwamba shambulizi la Urusi limeua zaidi ya watu 40, na kujeruhi wengine 180, katikamji wa Poltava wa Ukraine.

Rais Zelensky, ambaye anasema ripoti ya awali inaonyeshakuwa mji huo wa mashariki ulishambuliwa na makombora mawili ya ballistic yaUrusi.

Watu wengine wanaburutwa kutoka chini ya vifusi nakuokolewa. Anasema makombora hayo yalishambulia "eneo lataasisi ya elimu na hospitali iliyo karibu". Moja ya majengo ya Taasisi ya Mawasiliano yaliharibiwakwa kiasi, anasema.
 
Back
Top Bottom