Shambulizi la Urusi laua watu 41 Ukraine

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kwamba shambulizi la Urusi limeua zaidi ya watu 40, na kujeruhi wengine 180, katikamji wa Poltava wa Ukraine.

Rais Zelensky, ambaye anasema ripoti ya awali inaonyeshakuwa mji huo wa mashariki ulishambuliwa na makombora mawili ya ballistic yaUrusi.
Your browser is not able to display this video.

Watu wengine wanaburutwa kutoka chini ya vifusi nakuokolewa. Anasema makombora hayo yalishambulia "eneo lataasisi ya elimu na hospitali iliyo karibu". Moja ya majengo ya Taasisi ya Mawasiliano yaliharibiwakwa kiasi, anasema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…