SHAME: Mawaziri wawili Kenya waugua kipindupindu!

SHAME: Mawaziri wawili Kenya waugua kipindupindu!

Kwa iyo hao mawaziri nao walikula NYA sio 😆 🤣
 
Kuna habari kutoka Nairobi, Kenya kuwa mawaziri wawili wamelazwa kwa kuonekana na dalili za kipindupindu.
Kuharisha na kutapika!

Kipindupindu husababishwa na kula vyakula vyenye vidudu vinavyopatikana katika kinyesi!
Poleni Kenya lakini , its a shame!
Very unhygenic Nairobi!

"Since May, there have been numerous cholera cases, with the most recent involving Treasury Cabinet Secretary Henry Rotich.

A trade event

Mr Rotich, his Trade counterpart Adan Mohammed and Trade Principal Secretary Chris Kiptoo and several staff from the Trade and the Treasury ministries were treated for cholera-related symptoms on Friday.

That was after they ate food served during a trade event at the Kenyatta International Convention Centre."

Source: Nairobi in crackdown to contain cholera outbreak
Mpo wapi yaani KICC wana-serve contaminated food! 🙆‍♂️


#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Yosef Festo Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
kikihboy
nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo
, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
Back
Top Bottom