Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Bana we🤣🤣🤣 kipindi ya kikwete hadithi Hizo sana tena wanamalizia"tunaomba radhi Kwa mtuhumiwa kwa usumbufu aliopata na kusababisha asile visheti vyake"
Kama Yale maunga ya masogange tuliambiwa sijui ni madawa ya kutengeneza nini huko jamani,baada ya siku kadhaa tunamuona mrembo anatupostia mapicha akiwa na mahela ya kila nchi mpaka udenda unatutoka......kweli Jk una haki ya kumisiwa na Hawa watu amna namna.
 
Ni kweli emba alikuwa ni punda?
 
Emba bado yumo ndani? Ndio maana nyandu naona kama kapoa hivi, na damon dash yeye vp?
Mtu mrefu dash anaishi kwa madiba
Sema anakjaga bongo kimachale anarudi
Huyo dash nmesoma naye pry tumekuwa pmja...mkuria huyo mbishi
Anajifanya

Ova
 
Dada wa USA alikwenda kumuaga Kiki wakati anaondoka kumfuata mumewe USA, alishinda kwenye boutique. Khe si amefika USA akafungua Bongolicious design nyingi zilikuwa za boutique.
Halafu KIKI huyo huyo ndio alikuwa matron kwenye harusi yake mange lakini bado mange akamuibia idea ya kazi mwenzake, ila kina Kiki na mumewe nao baada ya mange kuzidi kuwachokonoa wakamchokonoa vyema na ndoa yake ikafa..wadada wa mjini kazi kweli kweli.
 
Huwa ninajiuliza Kiki angekuwa anaishi USA angekuwaje mdada ana class yule
 
Nampata sana emba, ni kweli alikuwa punda?
Mtoto mmja mjinga sana
Kuchuzika hatari sana....
Mama yake namuelewa sana
Tatzo emba kiburi nlikua namwambia a stick na shule achane maisha ya kujifanya lil wyne gangstar atakuja umiaa
Kuna siku walinifata na rafiki zake sjui wakina pua yule mwarabu eti wanifanyie vurugu nkamwambia mm Siwezi ongea nao naongea na wazazi wao....
Kama uhuni tushafanya sana asione watu wametulia ilibidi dash awaonye Nyie mnapogusa sipo
Kama uhuni tushafanya uhuni zaidi yao
Sema emba alikuwa smart sana shule ila akaacha
Si unamuona yule dada yke M alivyosimama
Naona naye sahv kajanjaruka ila kalisomea sheria

Ova
 
Safi sana ,wameharibu nguvu kazi kubwa sana ya taifa
 
Huwa ninajiuliza Kiki angekuwa anaishi USA angekuwaje mdada ana class yule
Sana kuna wakati waligombana na mumuewe, mumewe alioa kwa siri Mange kama kawa akajua akavujisha na kuwa na hash tag ya BI MDO... wakashupaza shingo Kiki amuache mumewe walitengana tu na wala hakuwa anamsema vibaya mumewe, wakimuhoji wambea anawajibu ni baba wa mtoto wangu na tuna mss sana, baadae wakarudiana wakaongeza na mtoto washambea kina mange likawashuka..
 
Unamfahamu humjui
 
Mange ni chizi maarifa
 
Lbda ufaham jambo moja kuwa wanachofanya mamlaka wakiwa wanajua unauza unga hata kama ni Nairobi na sio dar na kila wakikutfta wanaona hawakupati basi wanakubambikia Mzigo. Ni kweli hao wahusika wanauza ngada lkn sio kupitia dar
Kama wanauza hiyo kitu ,wametendewa haki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…