Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Hahaaaahaaa!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]jamani kaah
Na anawapata machizi wenzake wengi tu, kuna wakati alianza kuwafundisha jinsi ya kupata mume CLAAs au MZUNGU , akawaambia acheni kutengeneza TRIANGLE yaani NYUMBANI, KAZINI KANISANI/MSIKITINI NYUMBANI, mkitoka kazini nendeni hotel kubwa agiza hata maji utapata watu class, hameni manzese hamieni masaki hata kwenye banda la uani utakutana na watu claa...basi kuna mmoja akaja kulalamika eti NILIFANYA HIVYO NIKAPATA MZUNGU AMENI..MBA SIKU MOJA TU , akaninyima namba yake nilikosea wapi? Akajibiwa we alikuona MALAYA kwa nini ulimpa MBUNYE siku ya kwanza? Hahhaaaaaaaaaaaa! huyu ndio Mange na ELIMU YAKE, shami na VIBUBU vyake..kila chizi na machizi wake jamani.
 
Ndo maana nimemwambia, bei haziwekwi hadharani kuepusha kutamanisha watu. Kama yeye tayari keshaingizwa chaka kuwa gram 400 ya heroine inathamani ya 200 million kitu ambacho hata hakina hata thamani ya robo ya hiyo pesa. Mwingine akisiki pesa nyingi kama hivyo anaingia tamaa kuanza kujihusisha nayo.

Kitu ambacho husikii mamlaka za usalama zikitangaza bei kuepusha kutamanisha watu.
Haifiki huko
Kweli ukisema ufunguke mambo ya thamani,ufungaji na kuelezea wanavyoichanganya heroin kutoka kwenye pure,mambo ya ku pack wanazotumia italeta kizaza humu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tupotezeee tu
Asije Melo akapata msala mwingine
Unaweza toa elimu lkn kumbe ikaleta shida

Ova
 
Haifiki huko
Kweli ukisema ufunguke mambo ya thamani,ufungaji na kuelezea wanavyoichanganya heroin kutoka kwenye pure,mambo ya ku pack wanazotumia italeta kizaza humu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tupotezeee tu
Asije Melo akapata msala mwingine
Unaweza toa elimu lkn kumbe ikaleta shida

Ova

Hahahhaaaa. Ninachokiona ni watu wanafanya inflation ya bei iwatamanishe watu. Na wao waonekane wanafanya na kuingiza pesa mingi, ila kiuhalisia ni mzinguko tuu unawabeba maana capital to profit ratio haifiki hata 1:3.
 
Aserhh!!!shikamoo pesa
Kuna uchawi wa Pete au wa kichupa (hapa mtu anaongelea kwenye Pete au chupa "nataka nisionekane kwa macho ya kibinadamu" hapo hawezi onekana mpaka atakapo iambia hiyo Pete au chupa "nataka kurudi kwenye hali ya ubinadamu") lkn,hiyo Pete au chupa mtu anapaswa kuilipia kila baada ya muda fulani (unamtoa mtu kafara)
 
Hahahhaaaa. Ninachokiona ni watu wanafanya inflation ya bei iwatamanishe watu. Na wao waonekane wanafanya na kuingiza pesa mingi.
Hakuna bei kama hzo [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Unaonyesha nia. Kaka yako nakukanya. Usijaribu.
Nashukuru sanaa kwa elimu hiii. Sijuwa najua kuwa kuna mfungaji nilijua huwa ziatoka hivyo hivyo kiwandani. Pale airport wanapopita mashine huwa hazitambui kuwa kuna mzigo tumboni? Maana naona kuna wanaokamatwa wengine wabahatika au ni sual la bahati nasibu?
 
  • Thanks
Reactions: Ilu
Ndio maana wanasema hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho.
Abdul is my brother/friend lakini kwa hizi tuhuma aisee nilikua namwangaliaga kwa jicho la tofauti.
Shamim hakuplay part yake kama mke kashindwa kumshauri mumewe ona sasa hivi wote wako ndani wameacha watoto wateseke kisa short cut ya utajiri.
Mkwe don't forget kupeleka msosi kwa gereza[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Ila kweli Shamim alipaswa amsimamie mumewe kama kutajirika washatajirika wangefanya mambo mengine sasa hivi...
 
Mkwe don't forget kupeleka msosi kwa gereza[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Ila kweli Shamim alipaswa amsimamie mumewe kama kutajirika washatajirika wangefanya mambo mengine sasa hivi...
Muuza ngada hatosheki
Ni wachache sana wanaokubali kuachana na kazi hii na kufanya mambo mengine
Mwisho wa Unga ni jela,kufa,kuutumia
Formula ya biashara ya Unga ni ipo siku hela mali zote zitarudi huko
Ona shkuba hakuna mtu aliyekuwa anauza kma yeye lkn leo yuko wapi?

Ova
 
Back
Top Bottom