Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Hahaaaahaaa!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]jamani kaah
 
Haifiki huko
Kweli ukisema ufunguke mambo ya thamani,ufungaji na kuelezea wanavyoichanganya heroin kutoka kwenye pure,mambo ya ku pack wanazotumia italeta kizaza humu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tupotezeee tu
Asije Melo akapata msala mwingine
Unaweza toa elimu lkn kumbe ikaleta shida

Ova
 

Hahahhaaaa. Ninachokiona ni watu wanafanya inflation ya bei iwatamanishe watu. Na wao waonekane wanafanya na kuingiza pesa mingi, ila kiuhalisia ni mzinguko tuu unawabeba maana capital to profit ratio haifiki hata 1:3.
 
Aserhh!!!shikamoo pesa
 
Hahahhaaaa. Ninachokiona ni watu wanafanya inflation ya bei iwatamanishe watu. Na wao waonekane wanafanya na kuingiza pesa mingi.
Hakuna bei kama hzo [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Unaonyesha nia. Kaka yako nakukanya. Usijaribu.
 
Reactions: Ilu
Mkwe don't forget kupeleka msosi kwa gereza[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Ila kweli Shamim alipaswa amsimamie mumewe kama kutajirika washatajirika wangefanya mambo mengine sasa hivi...
 
Mkwe don't forget kupeleka msosi kwa gereza[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Ila kweli Shamim alipaswa amsimamie mumewe kama kutajirika washatajirika wangefanya mambo mengine sasa hivi...
Muuza ngada hatosheki
Ni wachache sana wanaokubali kuachana na kazi hii na kufanya mambo mengine
Mwisho wa Unga ni jela,kufa,kuutumia
Formula ya biashara ya Unga ni ipo siku hela mali zote zitarudi huko
Ona shkuba hakuna mtu aliyekuwa anauza kma yeye lkn leo yuko wapi?

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…