Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

sijaelewa kidogo.

Nakumbuka hata awamu ya nne ya JK wa Msoga iliwakamata matycoon kama Shibuka na Abdallah Chonji wa pale Migomigo.

Kwenye tasnia ya madawa TZ Shikuba na Chonji unaongelea watu hatari kabisa kwenye network pana kabisa.
Nakumbuka kipindi hicho wauza unga walimuogopa sana mtu aliteitwa Kamanda Nzowa na aliwatight sana akiwemo Mama Reila Mkenya na washirika wa Tanzania.

Hiko hiko kipindi cha Magu wapo watu walikuwa bado wanatamba uraiani na hawakugushwa na bado waliendelea kushusha maboom in connect na Bosi wa Dar es salaam.
Ila chonji bado yuko ndani

Ova
 
Hata kama lazima kuwe na ushahidi na sheria zifuatwe ,mbona wengi tu wanafanya uhalifu sema tu wanajificha bila kuwajua hivyo wanapeta tu ,Kufungwa kwa hao watu kuna pia beef kati yao na wakuu(wa enzi hizo)!
Tena sahv ndiyo mbaya zaidi

Ukikamatwa na kidhibiti huchomoki

Kesi nyingi za nyuma watuhumiwa

Walikuwa na masinemasinema

Si uliona kila mtu akikamatwa anaanbiwa amekutwa na grm 210

Ova
 
Shikuba yuko jela USA, alikuwa na kimeo kingine huko sina uhakika kama katoka au la, ila kijana wake Tikotiko alitumikia akatoka.

Issue ya Abdul na huyu dada ni tofauti kidogo na Shikuba, Abdul aliingia kwenye mikono ya serikali wakati ambao serikali iliamua kudeal na wauza unga ili kuitokomeza biashara, lengo ilikuwa kumtarget na kumtia nyavuni haijalishi ana mzigo au hana maana habari zake tayari Serikali ilikuwa nazo kama ilivyokuwa kwa Chonji wa Magomeni naye, alitaitiwa baada ya awamu ya nne kumchoka na matukio yake, mamlaka ziamua kumlalia kinomanoma haijalishi ana mzigo au hana ni order ilitoka na ndio mpaka leo Chonji yuko mahabusu hajahukumiwa bado nafikiri.
Shkuba ameshatoka jela mwaka sasa yupo uraiani.

Ni Bora kufungwa miaka 20 ulaya kuliko miaka 10 africa.
Miaka 7 marekani unakaa 3 tu upo nje.

Jamaa kakaa miaka 3 tu yupo mjini humu ila kaamua kukausha ,,

mamlaka zinajuwa kwamba yupo uraiani humu humu ..
Ila zipo kimya
 
Shkuba ameshatoka jela mwaka sasa yupo uraiani.

Ni Bora kufungwa miaka 20 ulaya kuliko miaka 10 africa.
Miaka 7 marekani unakaa 3 tu upo nje.

Jamaa kakaa miaka 3 tu yupo mjini humu ila kaamua kukausha ,,

mamalaka zinajuwa kwamba yupo humu humu ..
Kitu kingine tanzania watuhumiwa wanakaa sana jela
Utakuta mtu kakamatwa alafu kile kidhibiti alichokutwa nacho(kama wanavyosema)mbeleni huko hakionekani [emoji1]

Ova
 
Kitu kingine tanzania watuhumiwa wanakaa sana jela
Utakuta mtu kakamatwa alafu kile kidhibiti alichokutwa nacho(kama wanavyosema)mbeleni huko hakionekani [emoji1]

Ova
Kidhibiti Ni Mali ya store keeper [emoji23][emoji23]
 
Shkuba ameshatoka jela mwaka sasa yupo uraiani.

Ni Bora kufungwa miaka 20 ulaya kuliko miaka 10 africa.
Miaka 7 marekani unakaa 3 tu upo nje.

Jamaa kakaa miaka 3 tu yupo mjini humu ila kaamua kukausha ,,

mamlaka zinajuwa kwamba yupo uraiani humu humu ..
Ila zipo kimya

sikuwa na uhakika na hili, inaonekana ameamua kuwa low profile.. maana alipambana aende zake akashitakiwe unyamwezini kuliko kuingia kwenye 18 za marehemu.. maana angekuwa ngome mpaka sasa kama wenzake au angekula za uso 30yrs kama mwenzie Yanga Omar wa Tanga.

Ila Unga unaleta jeuri sana.
 
Sasa mbona skuba mwenyewe alifungwa miaka 7 tu? Unajua aliyekamatwa na ngozi ndiye aliyeiba ng'ombe? Mtoto wa Liyumba na Skuba washatoka jela inagwa walikamata na mizigo ya hatari 209Kg,why mwenye 0.5Kg afungwe maisha?
mnashindwa kuelewa wakati wanakamatwa sheria za madawa zilikua bado simple tu chid alikamatwa na bank uwanaja wa airport akaachiwa kamatwa sasa ivi hata na bangi moja uone mnvua utakazo kula sheria zilibadilishwa na jiwe zikawa ngumu sana
 
Kitu kingine tanzania watuhumiwa wanakaa sana jela
Utakuta mtu kakamatwa alafu kile kidhibiti alichokutwa nacho(kama wanavyosema)mbeleni huko hakionekani [emoji1]

Ova
Ajabu kabisa,,

Mtu anakamatwa na kidhibiti lakini bado ushahidi haujakamilika.


Africa a shit hole [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom