Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

National Geographic Channel
Asante kaka. Hatari ile sikosagi kuangalia maana dah jamaa wana hela balaa.
Watu wananunua kisiwa ili iwe transit port ya kusafirisha mzigo.
Cocaine kilo $50,000 alafu mtu anasafirisha mzigo wa kilo 300...hapo ngachoka kabisa. Sex party zao ndio usisema kabisa.....natamani mzabzab wanialike nikafaidi mema ya dunia
 
hyo ni nguvu kaz ya taifa inapotea bure tu wangepigwa faini tu kubwa vjana waendelee na maisha mengine.
 
Inauma na inachoma shamimu kufungwa maisha na dada wa watu hauzi Unga na aliewaekea Unga ni makonda huyu makonda huyu Mungu atamuonesha kabla hajafa na uzao wake ni Roho mbaya sana.
una uhakika gani ??
 
Tawire
 
Acheni kumsingizia Zeze,baba Iqra alioa mlitaka afanyeje!
 
Hawa ndo wanaojifanyaga ma-husttler na wenzao wooote waonekane wajinga, kumbe wauza ngada watupu....ila daah inamaana hiyo k haitumiki tena inaenda kuwekwa ndani maisha, seriously?
 
Wakupe hela za kilo 10 tu , wakuache uendelee na safari zako πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Dohhh

Ova
 
Alaa kumbe alikuwa mke wa mutu ingine akafuata mihela? Mmm pole yao ila ukiwa unaishi hapa duniani nafasi ipo ukitambua makosa

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Wakupe hela za kilo 10 tu , wakuache uendelee na safari zako πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
🀣🀣🀣🀣 Mie wala sina shida ya hizo hela mie wanialike tuu kwenye hizo sex party waniambie kijana mbususu ndio kama hivyo unaziona wee sasambua unavyotaka basi. Hela wakae nazo.
 
Watoto wanavyojuaga kubully wenzao huko shule wasikie wazazu wao ni wafungwa watabuliwa Hadi wakome

Laiti watu wangejua kuwa sheria ya madawa ya kulevya(biashara haramu) ni hatari kuliko hata biashara yenyewe wasingelithubutu hata kuwakaribia watu wanaodhani au kuhisi wanafanya biashara hii!

Hii sheria ni hatari si kitoto ukiisoma unaweza kuogopa maana hata ukifungwa haichi hata urithi kwa watoto wala wajukuu,,,,yani mali zote zinazo kuhusu zinachukuliwa zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…