Holy man hivi wee ulishaangalia documentaries za hawa addicts? Wewe imagine wana destroy lives ya mtu ambaye aliku IT expert taifa limemsomesha na kutegemea kuwa watavuna kitu baadala yake wanaishia kula hasara tuu.Sheria zetu nyingi, nyuma yake watungaji na watia saini ili zitumike wamekuwa ni watu wenye roho mbaya na wabinafsi na wenye roho za kukomoa. Hawavai uharisia wa kile wanacho kipitisha, na hawana hofu. Nilikua najua mtu anaefungwa maisha ni yule alie tishio kwa nchi au dunia.. ila hawa adhabu hiyo ina chuki na roho mbaya.. Mungu afanye mioyo ya wahusika kuwa milaoni na yenye tumaini la kumtumaini zaidi Mungu, awaondolea uzito na mawazo mioyoni mwao, aweke peace, joy and love
Hapo there shuld be no mercy at all. The purpose of any punishment is to deter others from doing the same hence its is supposed to be as harsh as possible.